Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Huyo ndio Kabwe Zuberi Zitto mutu ya Kigoma! Yuko wazi, kama hamuamini jaribuni
Kuwa na imani ya uchawi ni HARAMU kwa waislamu, anayefanya uchawi inabidi waislamu wasishirikiane naye, wala wasile nae chakula.

Uchawi pia kwenye ukristo umeharamishwa, na haukubaliki.
 

Lakini unaweza kushangaa ukija kugundua kuwa kuna wananchi wa kawaida kabisa ambao wamekaa kimya tu kama wewe wakihifadhi maoni yao.

Hivyo hauko peke yako.

Ila na wewe waonekana una uwezo wa kuunganisha dots.
 
Kuwa na imani ya uchawi ni HARAMU kwa waislamu, anayefanya uchawi inabidi waislamu wasishirikiane naye, wala wasile nae chakula.

Uchawi pia kwenye ukristo umeharamishwa, na haukubaliki.
Kama Zitto anao huo uchawi acha awaroge nyie ccm! Polisi, mahakama na majeshi yote mmejimilikisha! Zitto wakikujaribu fanya kweli! Kuua na kufunga watu kwenye viroba pia ni haramu ...... .
 
tukijua ukweli wa hili jambo tutabaki midomo wazi mengine hutokea kwa masilahi ya nchi.

Sijui kama ninakuelewa vizuri kwenye jambo hili.

Hivi hakuna taratibu tulizojiwekea kama nchi jinsi ya kuyakabili mambo kama hayo 'sensitive' kama ni kweli?

Kwa nini itumike njia ambayo inahalalisha maovu?

Kwa hiyo sasa tuanze kukubali taratibu zilizoko pembeni mwa sheria maadam jambo 'sensitive' linahusika?

Kikomo cha jambo 'sensitive' ni nini na ni nani anaamua hicho kitu 'sensitive?'

This is a very dangerous slippery slope, and we're being led into it with our eyes wide open! I hope it has nothing to do with it.
 
Huyu ndio Zitto wa siku hizi. Kutoka yule jamaa mkali wa kujenga na kupangua hoja mpaka huyu. Kweli life is a bitch!
 
Zitto anazingua. Kipindi kile kamtisha Musiba nkajikopesha bia kujipongeza mpaka sasa nadaiwa na Musiba yupo anadunda
Usnikunbushe tafadhali hasara nlio ingia maana mpak historia ya marehem nliandaa na kuchapisha kajarida kwa ajili ya kuuza SKU ya mazishi ,,kufa kufaana
 
Maajabu Zitto akawa mtu wa kwanza kufika kwenye lile eneo la ajali ,waliotaka kumuondoa wakastaajabu ,Zitto kweli kaaga kwao
 
Kama Zitto anao huo uchawi acha awaroge nyie ccm! Polisi, mahakama na majeshi yote mmejimilikisha! Zitto wakikujaribu fanya kweli! Kuua na kufunga watu kwenye viroba pia ni haramu ...... .
Ndugu imani ni kinga kubwa sana, ni mjinga tuu anayerogeka.
 
Unaamka unakuta kwako wameiba ndoo,kesho wanaiba Jiko,kesho kutwa unamkamata mwizi akiiba mkaa,huyo mwizi atakuwa ndiye muhusika wa wizi wote,sasa hawilisha hilo na anaeteka watu na kuwapoteza tunaambiwa ni asiejulikana,basi ni huyohuyo asiejulikana ambae amehusika kwenye utekaji wa Mo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…