GE2025 Zitto: Mkisusia uchaguzi CCM hawajali, wanachukua

GE2025 Zitto: Mkisusia uchaguzi CCM hawajali, wanachukua

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Elias Msuya

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
173
Reaction score
671
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka wananchi kujitokeza kupiga kura na kuwaepuka wanaosema watasusia, akisema kususa hakutawasaidia, kwani CCM hawajali.
Ameyasema hayo leo Julai 15 wilayani Namtumbo Mkoa wa Ruvuma alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara.

 
Zito anafurahisha sana. Ina maana hajui kuwa CCM wanashinda kwa sababu ya sheria kandamizi kwa vyama kama ACT? Mbona anajitoa ufahamu?
 
Kichipukizi kutoka Yanga hicho. Kinajitafutia ugali wake na kizazi chake
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka wananchi kujitokeza kupiga kura na kuwaepuka wanaosema watasusia, akisema kususa hakutawasaidia, kwani CCM hawajali.
Ameyasema hayo leo Julai 15 wilayani Namtumbo Mkoa wa Ruvuma alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara.

Ndio tunataka wachukue, kuliko kwenda kushiriki kuhalalisha wao kuchukua. Yaani unajua ukienda utalawitiwa, kwani usiache kwenda usije kulawitiwa?
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka wananchi kujitokeza kupiga kura na kuwaepuka wanaosema watasusia, akisema kususa hakutawasaidia, kwani CCM hawajali.
Ameyasema hayo leo Julai 15 wilayani Namtumbo Mkoa wa Ruvuma alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara.

Hili jamaa libinafsi sana.
Unaenda kushindana na nani ikiwa ccm ndiye mchezeshaji. Tamaa mbaya sana
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka wananchi kujitokeza kupiga kura na kuwaepuka wanaosema watasusia, akisema kususa hakutawasaidia, kwani CCM hawajali.
Ameyasema hayo leo Julai 15 wilayani Namtumbo Mkoa wa Ruvuma alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara.

kwani hata usiposusa unafikiri watakuachia jimbo?

upopoma ni kufanya kitu kile kile na kutegemea matokeo tofauti

I rest my case
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka wananchi kujitokeza kupiga kura na kuwaepuka wanaosema watasusia, akisema kususa hakutawasaidia, kwani CCM hawajali.
Ameyasema hayo leo Julai 15 wilayani Namtumbo Mkoa wa Ruvuma alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara.

Acha wachukue.Kwani 2020 hukushiriki uchaguzi/Mbona bungeni hukuwemo wala hata mbunge mmoja wa chama chako bara.
 
ZZK apambane na CCM.
CDM wao wameamua kutoshiriki uchaguzi hayo ni maamuzi yao hakuna wakuwaingilia, yeye ZZK kama ameamua kushiriki uchaguzi apambane na mpinzani wake kwenye huo uchaguzi CCM na sio CDM aliyeamua kukaa pembeni.

kwaheri Tehrani, uelekeo Basra na Fallujah.
 
ZZK apambane na CCM.
CDM wao wameamua kutoshiriki uchaguzi hayo ni maamuzi yao hakuna wakuwaingilia, yeye ZZK kama ameamua kushiriki uchaguzi apambane na mpinzani wake kwenye huo uchaguzi CCM na sio CDM aliyeamua kukaa pembeni.

kwaheri Tehrani, uelekeo Basra na Fallujah.
Ila ZZK anashangaza sana. Kauli zake ndizo zinasababisha watz wamuone kiwa sio mpinzani wa kweli. Anajifanya ya madhila yanayowapata wapinzani hayamhusu? Dhulma wanayotendewa wapinzani yy haguswi nayo? Mungu anamuona ujuwe
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka wananchi kujitokeza kupiga kura na kuwaepuka wanaosema watasusia, akisema kususa hakutawasaidia, kwani CCM hawajali.
Ameyasema hayo leo Julai 15 wilayani Namtumbo Mkoa wa Ruvuma alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara.

Mbona wasusaji wanaendelea na mambo yao tu?Iweje anayeshiriki ahangaike nao?Anatakiwa awaambie wanaomsikiliza nini ni sera zao,basi.Kwani huo ni mkutano kuhusu kususa?
 
Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka wananchi kujitokeza kupiga kura na kuwaepuka wanaosema watasusia, akisema kususa hakutawasaidia, kwani CCM hawajali.
Ameyasema hayo leo Julai 15 wilayani Namtumbo Mkoa wa Ruvuma alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara.

Unganeni nao ili mchukue pamoja,ila wengine sisi Tanzania kwanza na chama kinafuata,ila nyie wa sisi chama kwanza Watanzania wasubiri,jijalini nyie kwanza na Chadema itajali Wananchi kwanza kwa kutumia Chama.
 
Back
Top Bottom