Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
huyo zitto ni kioo cha jamii sehemu alipo ni nuru ya nchi yetu lazima apaheshimu hata anachoongea sio sehemu ya mipasho travertine pale , hatuhitaji viongozi wa aina hii mbeleni hawa wanaweza kutupiganisha vita
So Mudhihir sio kioo cha jamii......na huwa hakanyagi pale unapopaita nuru ya nchi yetu eeeh? Hatutaki nchi inayoongozwa kwa double standards!