Zitto: "Majibu ya Sumari ni 'ovyo ovyo'"; atakiwa kufuta kauli!

Kuna kila haja ya kuongeza idadi ya wabunge mahiri Bungeni kutoka kambi ya upinzani. Zitto I salute you on this.Pale inahitaji kila mbunge mwenye mapenzi akisimama anamkoma nyani bila huruma, na anamwaga point mwishowe wangeachia, ila bunge bado ni butu sana, kwani wanaomkoma nyani ki ukweli ni wawili tu Dr. Slaa na Zitto. wengine ni wa msimu na kutegemea upepo wa chama chao ukoje.

Maendeleo ya Tanzania na kushughulikia maswala ya ufisadi hususani wa Meremeta , tanggold, Deep green nk na wizi mwingie na ufisadi unaibuka kila siku kama hii EPA mpya ya Jk kunahitaji wabunge wa upinzani wasomi, werevu wajasiri na wenye mapenzi ya kweli na nchi. Sasa upinzani kwa kuanzia inabidi hata wabunge wa kuteuliwa ambao vyama vinapewa nafasi ya kufanya hivyo wachaguliwe wenye mapenzi na nchi na uelewa wa kutosha na elimu pambanishi. Sioni sababu ya mbunge wa upinzani anamaliza miaka mitano hakuna alilofanya zaidi ya kupiga makofi, najua uchache wetu lakini lazima wabunge wetu wawe ndio chachu ya maendeleo na mijadala ya kitaifa na ukombozi kutoka mikononi mwa chama chenye mafisadi na kinachozalisha ufisadi.

Zitto kwenye hansard yako umeweka point ya msingi sana kwamba asilimia 44 ni vijana chini ya miaka 20. Hawa ndio wapiga kura wa 2010/2015. Ni Kazi ya wabunge vijana wa upinzani kuanza kufikia hiki kizazi kipya cha dot.com kuhusisha maisha yao na utawala dhalimu wa CCM. Miundo mbinu mibovu, elimu duni ukosefu wa ajira vifo vya wapenzi wao wakijifungua, na watoto wao wachanga, ajali za barabarani zinazouwa kila kukicha kwa mfumo mbaya wa polisi na barabara mbovu, magari mabovu ni mengi sana yanaruhusiwa kubeba abiria na mizigo, hayana takwimu za matengenezo, matairi ya kanjanja kutoka china, break pads na drums mbovu, chasiss zilizopinda nk. Polisi wa usalama barabarani hawafanyi kazi kwani magari ni ya wahemiwa. haya yote taratibu yakiingia akilini nchi itakuwa nchi. 2010 tutakuwa na wabunge 100+ na 2015 tutakuwa na majority, hapo tutamkoma nyani kwa kwenda mbele.
 
Mawaziri wanaotoa majibu ya ovyo na ya kihuni wanastahili kuambiwa hivyo! Kikienda kama bata, kikilia kama bata, na kikiogolea kama bata huyo ni bata!!! Majibu ya Sumari ni zaidi ya hovyo ni ya kihuni. Wabunge wanaotetea majibu ya Sumari na kuvumilia maelezo duni ya serikali na kujificha vichwa vyao kama mbuni wanastahili kuambiwa wanavyostahili.

Wakitaka wazungumzwe kwa heshima, waanza kutoa majibu ya heshima. Si walisema wazee "heshimu nawe utaheshimiwa"? Iweze mawaziri wakejeli wabunge na wabunge wasiweze kuwakejeli mawaziri; nani aliwaambia kuwa mawaziri ni wana wa ufalme fulani ambao hata kuwaangalia machoni ni kujitakia adhabu?
 
Kwanza kabisa napenda kusema Zitto amesema yaliyohitajika kusemwa siku nyingi, bila ku sugar coat. Pili ameonyesha courage kwa kusimama kwenye maneno yake hata pale rungu la uzandiki wa Mwenyekiti lilipomshukia na kumtaka afute maneno yake.Tunahitaji watu wso na woga kama Zitto.

I certainly despise double standards.

But more than that, I despise the myopic thinking holding that two wrongs do make a right.

If Zitto wants to have the support of thinking people, he should stand by his words for their own merit and appropriateness, not on a relative comparison towards a CCM imbecile's hogwash.Doing the latter will be stooping down to the imbecile's level.

In any case, the CCM speaker can easily say we are apprehending you precisely because these uncalled for statements are becoming prevalent, and while we may not be able to stop every MP, we certainly can make an example out of any MP.

It is similar to being stopped by a traffic police for speeding, and pointing to other cars saying "This is not fair, how come everybody is speeding and only I am arrested ?". This is hardly a defence. A more convinving defence would be in saying "I was not speeding, show me how I was speeding"

In this case, MP Kabwe must demonstrate beyond a degree of doubt that his words were appropriate, factual and defensible.Regardless of other MPs remarks.

You shouldn't have started with the words "I certainly despise double standard" Reading through the whole posting,you certainly and clearly demonstrated the real meaning of double standard.

You have stated that you despise myopic thinking that"Two wrongs do make it right" i certainly do agree with the statement,however how,can a patriotic mind agree with those kind of answers that were given?

You have claimed that there shouldn't be a relative comparisons towards ccm's imbecile hogwash,at the same time you want the imbeciles to question the merit of patriotic minds? Doing the latter is indeed an imbecile level.

On the the other hand, the issue that has a lot to do with our social,political and economic well beings....Therefore with the above facts put into considerations in our minds,then how can you describe the answers to Mh Slaa that Meremeta should now become noneissue?

FYI,I personall think the words were appropriate,factual and defensible,"Hovyo hovyo" is a rightway to describe the answers given by the minister,and so therefore you're not right to want the imbeciles/Mental retards people to question the "Hovyo hovyo" statement given by Mh Zitto...Dont you think we should first deal with the mental retardation issues and or a low IQ within the rulling party members ?before demanding Zitto's merit on his words by requiring him to demonstrate beyond a degree of doubt that his words were Apropriate,factual and defensible,how can you defend the "Imbicile's hogwash" description on ccm PM'S? And how can one answer the imbicels appropriately?
 
Naona zitto yuko online kakimbia bunge duh - mhe zitto tafadhali omba bunge radhi pamoja na watanzania wote kwa ujumla kwa kashfa ulizotoa


Ebo aombe radhi ya nini?? Huyu ndie Shujaa ambaye dares to talk openly hapa na kule public wakati mimi na wewe ni dumb!!! Tumejificha hapa kwa anonyms!!!!! Zitto, mama yako angekuwa anazaa tena, ningeomba azae as many ZITOs as she can. You are special. Keep it up. Mungu akulinde wasikutumie lori. Tunakuombea.
 
I was referring to the earlier justification based on other MPs comments.

This is straigh out of JFK's "Profiles in Courage"

Maybe they need the dictionary definition of "ovyo ovyo"? . Ovyo ovyo si tusi, ni description ambayo kutegemea na case, inaweza kuwa very accurate and valid, sasa wao waulizie hiyo accuracy na validity ipo wapi waonyeshwe, sio kuwa hypersensitive.

Also hii issue ya kukataza kuongelea Meremeta is so saddening! Wanaona maji marefu sasa wanatumia trump card ya "national security"

Samahani umetoa posting hii na wakati huo huo nikiwa na maswali kwenye previous posting yako,swali langu lilikuwa based on the previous posting BUT this one ume defend neno "Hovyo hovyo" na kusema kuwa si tusi,na kwahivyo basi ukitaka kujibu kuhusu double standards unaweza kufanya hivyo,ila kwasababu umeshakubaliana na issue ya merit na pia kuwa the words are appropriate,factual and defensible,then huna haja ya kujibu kuhusu maswali hayo,unless you want to.
 
Karibuni wabunge, mawaziri na watu wa usalama kati ya hawa hapa anonyms hapa chini mtoe maoni yenu. Jioneeni jinsi ambavyo Wazalendo, wenye nchi tumechoshwa na Siasa zenu. Tunataka pratical actions not theories, please!!!!!
_________________________________________________________
Currently Active Users Viewing This Thread: 145 (51 members and 94 guests)
911
, Alamasroad, BabaJ, Balantanda, Chakaza, Chaku, CreativeThinker, froida, Hard Hitter, jmushi1, Josh Michael, Kaizer, Kijunjwe, kilandu, Madela Wa- Madilu, Masatu, masesa, mgafilika, Miruko, Mkaguzi, mkereme, Mpita Njia, msasa, mtazamowangu, MTM, Mubii, Mukuru, mwalimu, MwanaFalsafa1, Mzawa Halisi, ndamwe, Next Level, NgomaNzito, Ngorunde, Nsololi, nyamungo, Pasco, Patrick Nyemela, Prince William, Rufiji, Rugishar, Shakazulu, Sinkala, The Farmer, Tuandamane, Tusker Bariiiidi, TzPride, ZeMarcopolo, Zion Train
 
You shouldn't have started with the words "I certainly despise double standard" Reading through the whole posting,you certainly and clearly demonstrated the real meaning of double standard.

You have stated that you despise myopic thinking that"Two wrongs do make it right" i certainly do agree with the statement,however how,can a patriotic mind agree with those kind of answers that were given?

You have claimed that there shouldn't be a relative comparisons towards ccm's imbecile hogwash,at the same time you want the imbeciles to question the merit of patriotic minds? Doing the latter is indeed an imbecile level.

On the the other hand, the issue that has a lot to do with our social,political and economic well beings....Therefore with the above facts put into considerations in our minds,then how can you describe the answers to Mh Slaa that Meremeta should now become noneissue?

FYI,I personall think the words were appropriate,factual and defensible,"Hovyo hovyo" is a rightway to describe the answers given by the minister,and so therefore you're not right to want the imbeciles/Mental retards people to question the "Hovyo hovyo" statement given by Mh Zitto...Dont you think we should first deal with the mental retardation issues and or a low IQ within the rulling party members ?before demanding Zitto's merit on his words by requiring him to demonstrate beyond a degree of doubt that his words were Apropriate,factual and defensible,how can you defend the "Imbicile's hogwash" description on ccm PM'S? And how can one answer the imbicels appropriately?

i feel you...........but, thats not the way fight a good fight...........

tunahitaji tufahamu kutoka kwa CCMs wao wanaelewa nini kuhusu neno "hovyo hovyo" or ovyo ovyo.........whatever the case may be

at the same time kama Mh Zitto kweli alisema.......eti kuna wabunge wengine wanasema maneno "yasiyokubalika"........na eti kwa nini wanaachwa na ingali yeye anaandamwa.......thats what we call "a weak argument"............kama yeye ni mtu wa ku-call a spade a spade.......basi akisikia jamaa wanasema "hovyo".....inabidi awashukie forthwith vile vile sio kusubiri mpaka anaposemwa yeye...................
 
Samahani umetoa posting hii na wakati huo huo nikiwa na maswali kwenye previous posting yako,swali langu lilikuwa based on the previous posting BUT this one ume defend neno "Hovyo hovyo" na kusema kuwa si tusi,na kwahivyo basi ukitaka kujibu kuhusu double standards unaweza kufanya hivyo,ila kwasababu umeshakubaliana na issue ya merit na pia kuwa the words are appropriate,factual and defensible,then huna haja ya kujibu kuhusu maswali hayo,unless you want to.

Of course I want to, I wouldn't be Bluray If I wouldn't, if you would.

Nimeeleza ninavyo despise double standards (meaning Mwenyekiti/ Speaker kuwaachia wabunge wa CCM kusema maneno bila mpaka, na kumuandama Zitto kwa sababu hiyo hiyo).

Nikaendelea kusema ninachochukia zaidi ya double standards ni justification ya "two wrongs make a right", kwamba muheshimiwa Zitto aende ku justify maneno yake presumably yasiyo mpaka kwa sababu wabunge wa CCM hufanya hivyo. Nikamtaka muheshimiwa Zitto Kabwe ayatetee maneno yake kwa merit yayo, na si kwa kuyalinganisha na maneno mengine ya wabunge wa CCM. Muheshimiwa Zitto akaonyesha alivyosimamia maneno yake kama maneno yake, bila ya kuyashirikisha na maneno ya wabunge wengine.

Kumwambia muheshimiwa Zitto ayatetee maneno yake kama appropriate, factual na defensible by no means hakuna maana kwamba mimi namaanisha siyaoni hayo maneno kama appropriate, factual na defensible. Post zangu zilizofuatia zime demonstate hili, mpaka nimempa Zitto medali yangu ya "Profiles in Courage" -Mbunge pekee klupata medali hii.It is just a line of action that is more logical and more convincing to me.
 
i feel you...........but, thats not the way fight a good fight...........

tunahitaji tufahamu kutoka kwa CCMs wao wanaelewa nini kuhusu neno "hovyo hovyo" or ovyo ovyo.........whatever the case may be

at the same time kama Mh Zitto kweli alisema.......eti kuna wabunge wengine wanasema maneno "yasiyokubalika"........na eti kwa nini wanaachwa na ingali yeye anaandamwa.......thats what we call "a weak argument"............kama yeye ni mtu wa ku-call a spade a spade.......basi akisikia jamaa wanasema "hovyo".....inabidi awashukie forthwith vile vile sio kusubiri mpaka anaposemwa yeye...................

Lione na wewe....midoti miiiiiingi. Unaboa bana
 
Hongera sana Mdogo wangu Zitto Kabwe, umesimama na umedhihirisha ni kweli umesimama imara. Sasa tumsubiri Speaker Six, akikushukia, laana ya wapenda haki itamshukia yeye na chama chao na kipimo ni Biharamulo.
 
Zemacorpolo
Nakubaliana na wewe unaposema kwamba ni lazima wakati mwingine kuangalia "what is at stake", lakini ni muhimu kujua kwamba viongozi wetu wengi ni sensitive kwa sababu wamezoea kuwa bulldozers. Heshima haiji kwa kubulldozi watu bwana. Ukitoa heshima na wewe utapewa heshima. Ukitranslate nenoe ovyoovyo inaweza kuwa nonsense. Na mimi nadhani Mhe Sumari kumkatiza Dr. Slaa ilikuwa a nonsense act. Kuhusu kufukuzwa shuleni na vyuoni ni lazima ukubali kwamba wazee wetu hawapendi kuwa challenged. Kwa mfano hivi watu wakiandamana kwa amani kutaka mabadiliko kwenye kitu muhimu katika maisha yao ni lazima uwashambulie? Ni lazima watumishi wa serikali wakubali constructive criticism. Ukiniuliza mimi naona aibu kwa niamba ya wabunge wa CCM, kwa sababu wanaonekana wajinga sana wanaposhabiki kila kitu regardless of its implications. Long story short, nashukuru kwamba unaangalia pande zote mbili. Nakubalina na wewe kwamba ni lazima Zitto aaangalie ni ni jinsi gani anaweza kuavoid kuwa unnecessary controvercial. Kama anaweza kuavoid kutumia maneno mbadala, basi afanye hivyo. Lakini labda turudi kwa Slaa kidogo, mbona Slaa alikuwa mtulivu na mkimyaa na bado alikuwa disrespected. Saa nyingine labda people like Zito wanakuwa forced to counterattack because they have no other alternative.
Kwa kweli labda ni jinsi mfumo wetu wa Uongozi ulivyo. Kazi ipo na inasikitisha. Nakumbuka siku moja wabunge wawili wa CCM nao ni Sagaaf nad Chegeni walikuwa Dodoma Hoteli na kusema kwamba saa nyingine wabunge wa CCM wanaonekana wajinga sana kwa sababu ya kushabikia hoja hata kama hoja yenyewe si ya kutetea. Na Chegeni alisema ni muhimu sana kuweka pepmbeni UCCM and kuwa mstari kutetea wananchi.

Kwa kweli nilifurahi sana, na kama ukifuatilia Chegeni ni mmoja wa wabunge ambao huwa wanakosoa sana hoja na jimbo lake linamaendeleo ya kuridhisha.
Asante
 
Last edited:
Pamoja na haya yote UKWELI unabaki kuwa WABUNGE WA CCM ni butu na hata kushindwa kujua kuwa au kutambua kuwa ukweli upo wapi?? Hivyo kwani kuna nini
 
Pamoja na haya yote UKWELI unabaki kuwa WABUNGE WA CCM ni butu na hata kushindwa kujua kuwa au kutambua kuwa ukweli upo wapi?? Hivyo kwani kuna nini

Tuwe fair kidogo si wabunge wote wa CCM butu, kuna wale akina mama Malecela Ann Kilango, KImaro, Seleli, Mwakyembe etc etc wanasimamia ukweli
 
Tuwe fair kidogo si wabunge wote wa CCM butu, kuna wale akina mama Malecela Ann Kilango, KImaro, Seleli, Mwakyembe etc etc wanasimamia ukweli

Sawa lakini inapofikia kupiga kura za kupitisha vitu vibovu vibovu mfano bajeti iliyo pita huo msimamo wao huwa unaishia wapi? mbona huwa hatuoni wakipiga kura ya hapana?

Mimi nimeanza kupata wasi wasi nao pia, kuna zuga fulani
 
MWONGOZO WA SPIKA

MHE. PONSIANO D. NYAMI: Kanuni 68 na pia ningepata utaratibu. Katika kuongea kwa Mheshimiwa aliyekuwa anachangia sasa hivi sidhani kama ni uungwana. Ukiacha heshima aliyonayo na umri unavyokwenda kitendo cha kusema Waziri anajibu ovyoovyo, maana yake Serikali inajibu ovyoovyo na kwa maana hiyo ni kutokufikiria majibu wanayoyajibu. Lugha hiyo ni ya kuudhi sana na haipaswi kuwa ni lugha ya Bunge na haipaswi kukaa ndani ya Hansard.

Ninaomba maneno hayo ayafute na aombe radhi. (Makofi)

MWENYEKITI: Ahsante Mheshimiwa, nitamruhusu Mheshimiwa aendelee bila ya kuyatumia hayo maneno kwa sababu hayapendezi.

WABUNGE FULANI: Asiendelee

MWENYEKITI: Naomba niendelee kuongea asiendelee kuyatumia na yafutwe kwenye Hansard, naomba uyafute hayo maneno ovyoovyo halafu uendelee kuchangia.

MHE. KABWE Z. ZITTO: Mheshimiwa Mwenyekiti, kuna Mbunge hapa alitaka Mawaziri walaaniwe hakufuta kauli yake. Kuna Mbunge hapa leo asubuhi amemshambulia waziwazi Waziri wa Utumishi Mheshimiwa Hawa Ghasia hakuna mtu aliyesimama kuweza…

MWENYEKITI: Mheshimiwa Kabwe Zitto naomba ukae.

MHE KABWE Z. ZITTO: Mheshimiwa Mwenyekiti, maneno haya sitayafuta.

MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbunge usibishane na Kiti, nilichotaka ufanye ni kwamba ufute maneno yako halafu uendelee kuchangia, usianze kubishana na kuanza kutoa reference ya mambo yaliyopita, naomba ufute hiyo tu hiyo ovyoovyo halafu uendelee kuchangia. Tafadhali sana.

MHE. KABWE Z. ZITTO: Mheshimiwa Mwenyekiti, majibu ambayo Waziri alimpatia Mbunge wa Karatu yalikuwa ni ya ovyoovyo nasimamia maneno yangu na niko tayari kwa lolote ambalo Meza itakayoamua. (Makofi)

MWENYEKITI: Naomba uendelee sasa na mchango wako na hatua zaidi zitafuata kuhusiana na hiyo kauli yako. (Makofi)

MHE. KABWE Z. ZITTO: Mheshimiwa Mwenyekiti, la mwisho.

MWONGOZO WA SPIKA

MHE. DR. ZAINAB A. GAMA: Mheshimiwa Mwenyekiti, wakati Waziri Kivuli wa Wizara hii alipokuwa anazungumza alikatazwa kuzungumza baadhi ya mambo pamoja na Meremeta, leo inaruhusiwa tena lile lile alilokataza Naibu Spika, linazungumzwa, naomba Mwongozo wako.

MWENYEKITI: Ahsante nadhani ni sahihi katika kumbukumbu kwamba Mheshimiwa Waziri Kivuli alipokuwa akiongea masuala yote yaliyohusiana na Meremeta alitakiwa ayafute na yaondolewe kwanye Hansard. Kwa hiyo Mheshimiwa Zitto Kabwe utamalizia bila ya kuyazungumza tena masuala hayo kwa sababu uamuzi ulikwishakutoka wakati ule kwamba hayo masuala hayatazungumzwa humu ndani.

Mheshimiwa Kabwe endelea.


Mh. Zitto Kabwe,
Kwa maoni yangu, nilipoweka blue umepatia sana, ila penye nyekundu unahitaji kuboresha safari ijayo.
 
Katika sehemu zooote, nimependa supporting statistics . . . hata ingekuwa ni mahakamani huo ni ushaidi mzito tosha. Lakini siasa is just another dirty game.
 
Honourable Mr Zuberi Zitto Kabwe


In the face of the situation which we are in right now!!. unbearable poverty, unimagined suffering due to curable deseases, hopelessness that try to block light of hope,

In the face of all these odds, through the propagation of time, day by day, year after year, perplexed in the curves of dishonesty, corruption and selfishness that has crippled our nation and humbled it before shame.

Today My friend you have done this nation a big service, a service which will go down into the history of this nation as a critical one at the critical time, a story that will be refered to,and told by generations after generations.

That one day, one patriot stood before the house of this land with the sense of huge responsiblity and Patriotism,yelled without fear,Soundsthat echoed from the streets of dodoma to beaches of Daressalaam, To the Usambara Mountain ranges Upto toThe roof of Africa, Upto the shore of Lake Tanganyika and was head north there in the groud of Kaitaba, was head by men attending their Cashewnuts farms in Lindi and MTwara. to the wards of Muhimbili.All these brothers and sisters head this voice.

My friend, If they had to sit down and listern to this voice, a voice that reveal the secret concealed deep within our hearts.
In the curvature whose focal lies our sufferings, If they have to put themselves into our shoes and feel the pinch. Then they should realize how much we suffer, how much we are tired and fed up with these nonesense.

The Shadow of pain has gravitated our passion for so long, has resonated with uncertainity that has lured our vision as a nation,Succumb to the pressure that has almost trembled sanity. Yet they want us to believe that they will do the job well. HOW?
 
Back
Top Bottom