indundidotcom
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 229
- 226
Tumia akili kijana, waambie waweke wazi ili watu wajue Hali sio nzuri maana kwa kuficha huku mwisho utakuwa mbayaKwa hiyo mkimuaga itawasaidia nini?hawa watu sijui wanafikiria kwa kutumia nini?au wewe ndiyo yule mgonjwa mmoja?
Kwa hiyo hao wabunge wanaopelekwa Bungeni, familia ndiyo huwa imepanga hivyo?
Itasaidia kwa wale aliokuwa na marehemu kabla hajafa bwanaMh. Zitto tafadhali naomba tuheshimu maamuzi yoyote yaliofanywa na serikali au familia inapokuja swala la misiba.
Haina haja ya kuhoji, tuheshimu familia ya marehemu, tumuombee marehemu na wanafamilia wapate nguvu wakati huu mgumu wanaopitia.
Hoja yako haitabadilisha kitu, hata kama kafariki kwa Corona na ikatangazwa itakusaidia nini?
Pumzika Mama Rwakatare na poleni wafiwa.
Uzuri wa Corona inaanza kula wote wenye magonjwa nyemelezi yaani wale wa 70+ kwanza.....watunga sheria za nchi..na watawala.Uzuri Corona inaanza na watu wakubwa sisi walalahoi tutakuwa wa mwisho maana hatukai kibwege maisha yetu yenyewe ni vita tosha na ni zaidi ya corona
Kwani Utaratibu wa mbunge anapofariki ukoje?Mh. Zitto tafadhali naomba tuheshimu maamuzi yoyote yaliofanywa na serikali au familia inapokuja swala la misiba.
Haina haja ya kuhoji, tuheshimu familia ya marehemu, tumuombee marehemu na wanafamilia wapate nguvu wakati huu mgumu wanaopitia.
Hoja yako haitabadilisha kitu, hata kama kafariki kwa Corona na ikatangazwa itakusaidia nini?
Pumzika Mama Rwakatare na poleni wafiwa.
Katazo la mikusanyiko halijaeleweka kabisa kwa walio wengi. Stay Safe, Stay at Home.
Huyu mtu naye, Kila kitu yeye anajua! Dah! Hadi kero! Umezuiwa mikusanyiko, unataka maiti ipelekwe Bungeni kuagwa kwani Rwakatare ni mali ya Bunge? Huyo ni mtu ana familia yake na maamuzi yao au Zitto unadhani Bunge ni kila kitu ktk dunia hii. Watu wa aina yako mwaka huu ukikosa ubunge nawe utazikwa kwa presaha
Ndio kashazikwa hivo!!Je ataagwa Bungeni au Karimjee?
Mbona Zitto hakuandika kama ulivyoweka wewe kwenye bichwa lako la habari?
Shangaeni nyinyi mnaokubali kudanganywa! Watu wakubwa kabisa, hadi viongozi wa nchi wameugua na wengine kufa huko kwa wenzetu na imetajwa kuwa chanzo ni Corona, sisi tunaficha nini?Hata Mimi huwa nawashangaa...
ndiyo abebwe na magari na watu wa halmashauri na ndugu watatu wanne tu?
wewe familia yako imeamuaje kuhusu msiba wako?Msiba ni maamuzi ya familia
Kwa tweet hii nimeamini Mh. Zitto anatatizo kubwa sana na uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana.Kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Mbunge akifariki Dunia analetwa ndani ya Bunge na kuagwa. Hata Mbunge awe amefariki akiwa nje ya Nchi huletwa Bungeni. Mbunge Mama G Lwakatare ( Mungu amrehemu ) anazikwa na Serikali na hataagwa na Wabunge wenzake. Serikali inasema SIO #COVID19TZA
Msiba ni maamuzi ya familia