indundidotcom
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 229
- 226
Tumia akili kijana, waambie waweke wazi ili watu wajue Hali sio nzuri maana kwa kuficha huku mwisho utakuwa mbayaKwa hiyo mkimuaga itawasaidia nini?hawa watu sijui wanafikiria kwa kutumia nini?au wewe ndiyo yule mgonjwa mmoja?
Sent using Jamii Forums mobile app