Zitto: Kwanini Mama Rwakatare haagwi Bungeni kwa mujibu wa Kanuni za Bunge? Kwanini azikwe na Serikali kama hajafa kwa COVID19?

Mh. Zitto tafadhali naomba tuheshimu maamuzi yoyote yaliofanywa na serikali au familia inapokuja swala la misiba.

Haina haja ya kuhoji, tuheshimu familia ya marehemu, tumuombee marehemu na wanafamilia wapate nguvu wakati huu mgumu wanaopitia.

Hoja yako haitabadilisha kitu, hata kama kafariki kwa Corona na ikatangazwa itakusaidia nini?

Pumzika Mama Rwakatare na poleni wafiwa.
 
Acheni utani mnapo jibu hoja. Mbunge akifa kuna kanuni na taratibu za mazishi yake. Tumekuwa tuna fichwa sababu za vifo vingi vya viongozi tangu hiki kicorona kilipo ingia Tz.
Hata kama familia ime amua je ni sahihi azikwe kimya kimya na serikali?
Sioni mantiki ya kuficha ugonjwa ulio muua huyu mama.
Mungu amuweke anapo stahili. Akamwambie Mungu Zitto bado ana wapambania Watanzania wanyonge. Hata yule alie shauri Zitto auawe ata kufa kabla ya Zitto akamuandalie makao

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hata ukimjibu hawezi kukuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutakuwa busy na Ibada ya kuliombea Taifa, Hivyo Mama Rwakatale atapewa heshima yake ya mwisho kwa usiri ili kuepusha kuenea kwa Corona.
 
Siku zote marehemu anapaswa aheshimiwe. Hatupaswi kuanza kujadili vitu inaumiza sana kama ndugu zake wanasoma hapa.

Halafu ndugu zangu tusibeze kifo, kila nafsi lazima itaonja mauti. Anayetangulia asibezwe wala kunyooshewa kidole hiyo ni njia yetu sote
 
39 Reactions
Reply
Back
Top Bottom