Zitto: Kwanini Mama Rwakatare haagwi Bungeni kwa mujibu wa Kanuni za Bunge? Kwanini azikwe na Serikali kama hajafa kwa COVID19?

Inawezekana sana tu, marehemu alikuwa mbunge ameitumikia serikali hata matibabu serikali ndo inagharamia (kama ameumwa) unless familia iamue kugharamia. So suala la maziko inawezekana pia kama familia wameomba pengine ni kutokana na gharama ama vinginevyo ( sijui kama utanielewa hapa)
... na kwa kweli sijakuelewa! Yaani mazishi ya Rev. Hon. Dr. Getrude Rwakatare unazungumzia "gharama"! Be serious Mkuu. Yaani hata waumini wa kanisa lake walioko kwa maelfu washindwe kumzika askofu wao hadi msaada wa Serikali? Tena azikwe na watu wasiozidi 25? Again, acha masikhara kwenye mambo ya msingi.
 
Maelezo ya walioushuhudia mwili kama watu wa karibu ....wamesema wameruhusiwa kumuona ila ni kwa Mbali kabisa ...hawakuruhusiwa kuukaribia ....mwili wake
 
Unajua ukitumia dawa nyingi za kienyeji mwisho wa siku anaanza kuwa KM chizi naona dawa zimeanza kuisha nguvu na mama yako hayupo sasa cjui utakuwa je utakuwa km mwanyekit wako wa chama akili zimeruka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekumbuka taarifa ya Spika kuwa kuna Mbunge mmoja anaumwa CORONA. RIP Mom Rwakatare
 
Maelezo ya walioushuhudia mwili kama watu wa karibu ....wamesema wameruhusiwa kumuona ila ni kwa Mbali kabisa ...hawakuruhusiwa kuukaribia ....mwili wake
Walihofu waombolezaji wasije wakauambukiza corona mwili wa marehemu.....
PENGINE!
 
Mheshimiwa ZZK kukaa kimya ni sehemu ya hekima kubwa ya mwanadamu.

Hizi ni siku ambazo mkusanyiko wowote ule una madhara ya watu kuambukizwa corona.

Mama Marehemu kama angepewa heshima ya kibunge ni lazima ungekuwepo mkusanyiko mkubwa ambalo ni jambo la hatari kwa wale ambao ni negative wakichanganyika na wale positive.

Siku hizi ni vyema mazishi yakahudhuriwa na watu wachache iwezekanavyo hata kama mtu anakufa kwa magonjwa mengineyo tofauti na corona.

Kwa hadhi ya ZZK sikutegemea suala hili kuingiziwa mawazo ya kisiasa.
 
... na kwa kweli sijakuelewa! Yaani mazishi ya Rev. Hon. Dr. Getrude Rwakatare unazungumzia "gharama"! Be serious Mkuu. Yaani hata waumini wa kanisa lake walioko kwa maelfu washindwe kumzika askofu wao hadi msaada wa Serikali? Tena azikwe na watu wasiozidi 25? Again, acha masikhara kwenye mambo ya msingi.
Ndo maana nimesema hutanielewa ila tuishie hapa mkuu, am too lazy kwny kubishana kifupi siyawez malumbano tufanye umeshinda! Kila mmoja abaki na anachokiamini
 
Back
Top Bottom