Taarifa nilizo zipata muda mchache uliopita ni kuwa teamwork ya mwana siasa machachari,kijana, mwenye mvuto, anayependwa na vijana wengi hapa nchini Zitto Zuberi Kabwe imewasili mjini Tabora kwa ajili ya kuratibu mapokezi ya mwanasiasa huyo ambapo anategemea kuwasili mjini Tabora siku ya Jumamosi.