La.kuvunda halina ubani atadondoka tu hawezi kwenda kinyume na mapenzi ya mungu...lazima atadondoka tu.mifano ya watu sampuli ya zito ipo mingi na walivyoishia tunajua ni suala la muda tu
Hahaha CDM,Hata mkimfukuza ZZK uanachama hakika atawaacha na majeraha makubwa coz ana siri nzito juu ya CDM na kwa kua jamaa nae huwaga ana genuine data cku akizishusha CDM kwisha kabsa
Taarifa nilizo zipata muda mchache uliopita ni kuwa teamwork ya mwana siasa machachari,kijana, mwenye mvuto, anayependwa na vijana wengi hapa nchini Zitto Zuberi Kabwe imewasili mjini Tabora kwa ajili ya kuratibu mapokezi ya mwanasiasa huyo ambapo anategemea kuwasili mjini Tabora siku ya Jumamosi.
Yanayoratibiwa na meneja kampeni wa Rostam Aziz wa Igunga na Mwanadada wa Familia ya Sarungi akishirikiana na mtoto wa Kapuya?
Zzk your career is over like Mike anyone Tyson,Jackson,Jordan.
Tulia na uandike vema, hakuna neno "haende" katika lugha ya Kiswahili, iwe ni sanifu au fasihi halipo neno hilo bali lipo neno "aende au waende au tuende".
Isije kuwa ni ghadhabu juu ya kulisikia jina la Zitto likishamiri, tofauti na ilivyofikiriwa.
Na wewe hapo kwenye neno "Sanifu" ilistahili kuwa "Sarufi"
Ahsante mkuu, nimekusoma.Na wewe hapo kwenye neno "Sanifu" ilistahili kuwa "Sarufi"
nauliza tu hivi zitto aliwahi kufanya ziara za aina hii mwaka gani, yaani ziara zisizo na itikadi ya chama (chadema) , kwanini wakati huu??
Noted.Mkuu asante kwa masahihisho, tunajifunza kila siku... Pia zingatia huo ushauri 'aende mpaka vijijini'
Nampongeza dr kitila mkumbo kwa ukimya wake,kweli kuna kusoma kwa faida na kusoma kwa hasara........