Chadema wanaweza kuongoza dola vyombo vyao vya upelelezi havikosei
Kilichomponza zito ni kutaka uenyekiti wa mfalme mbowe
Chadema wanaweza kuongoza dola vyombo vyao vya upelelezi havikosei
Kilichomponza zito ni kutaka uenyekiti wa mfalme mbowe
Kilichomponza zito ni kutaka uenyekiti wa mfalme mbowe
Zitto njoo ugombee ubunge Arusha mjini, tutakupigia kura kwa asilimia 100.
Tumeondoa kansa ndani ya chama
Zito ni sawa
Zitto amesababisha Chadema imekufa
Kilichomponza zito ni kutaka uenyekiti wa mfalme mbowe
Kilichomponza zito ni kutaka uenyekiti wa mfalme mbowe
Zito jeshi la mtu mmoja
Zitto amesababisha Chadema imekufa
Tunamkaribisha sana. Na tunamuomba mheshimiwa Zito ziara ya kwanza kichama ianzie Jimbo la Kibaha mjini. Ni jimbo ambalo ACT wanaweza kujimilikisha bila kutumia nguvu kubwa kutokana na mbunge wake kutokuwa na mvuto kwa wananchi wake na hata wanaotajwa kumrithi hakuna mwenye ushwishi wakisiasa.
Kumbuka alisema atakuwa wa Mwisho kutoka CDM!! sasa inakuwaje? msaliti huyu!
Alisema atakuwa wa mwisho kutoka chadema kwa hiyali yake! Hakutoka kwa hiyali yake amefukuzwa