Zitto amesababisha Chadema imekufa
utakufa wewe,CHADEMA itaendelea kuwepo na kuwa imara zaidi ya mnavyofikilia! u just wait time will tell kama hao waliosema mwisho wa CHADEMA 2013 lakini leo ni 2015 wanahenyeshwa ile mbaya! 37 kwa 5 unafikiri mchezo? ukimuliza NAPE atakwambia mpaka sasa hajapata hayo matokeo! chezea wengine siyo CHADEMA.