Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Zitto ni jembe ulaya.hongera zake kuachana na CHADEMA.
Ni kweli kabisa lakini ajifunze pia kuwa;umalaya wa siasa sio dili.
Zitto ni jembe ulaya.hongera zake kuachana na CHADEMA.
Zitto amesababisha Chadema imekufa
kama ilivyokosa mwenyekiti hata mmoja serikali za mitaaZitto atasababisha Chadema isipate mbunge hata mmoja October
usaliti na ubaguzi ni hulka kuu za zito,hatoacha kamwe,ngoja aingie huko actnenda bwana zitto nenda usaliti ujaanza leo:
Ona maneno ya mwigamba akikulaumu kumuacha juju ndanda na kumpendelea rafiki yako kafurila alipofukuzwa uanachama
"nilitegemea mambo yasiyoendana na sera na kauli mbiu za chama chenu ambazo zinatangazwa hata katika jina la chama (demokrasia na maendeleo) ambayo yalifanyika pale ukumbini uliyaona.najua jioni wakati wa kutangaza matokeo hukuwepo lakini nategemea ulipata taarifa za kauli za vijana mbalimbali walizotoa pale wakitaja waziwazi majina ya watu walioharibu uchaguzi ule.
sikutarajia kama naibu katibu mkuu wa chama upinge hatua ile iliyochukuliwa na msimamizi wa uchaguzi pamoja na kikao kingine chochote cha juu ya msimamizi wa uchaguzi eti kwa sababu tu rafiki yako kafulila alikuwa anaongoza.
hilo lilinipa taabu kubwa na naomba uniwie radhi rafiki
yangu lakini nasema ukweli wa nafsi yangu kwamba nilifikia kujiuliza mara mbilimbili kama ungechaguliwa wewe kuwa mwenyekiti wa chama hicho taifa, hali ingekuwaje?
Na mwisho nilipingana na wewe pale ulipopinga kwenye vyombo vya habari kuvuliwa wadhifa kwa david kafulila. Kwanza ulionekana umeweka ubaguzi kwa sababu katika maneno yote uliyonukuliwa ulisisitiza juu ya kafulila peke yake na hukumgusia kabisa danda juju wakati wote walivuliwa kwa sababu
zinazofanana.
lakini kwa sababu kafulila ni rafiki yako sana, umemwandaa kuwa mbunge na unamuunga mkono katika harakati zake, na ni mbunge mtarajiwa kwa kuwa anakubalika sana jimboni basi ukamtetea na kumsahau mhanga mwenzake. Hilo tu linafanya tutofautiane na zaidi sana tunatofautiana kwa kupinga maamuzi ya katibu mkuu wako nje ya vikao, maamuzi aliyoyachukua kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo" mwisho wa kunukuu.
chadema kama wapo macho washinikize jamaa asing'atuke kipindi hiki,vinginevyo huyo mtu ni very genious anataka achomoke aingie ACT kisha waanze na kina mwigamba na kitila kufanya kampen mapemaaa kabla jina lakw halijakauka midomon mwa watanzania,na mwisho wa siku chadema watajikuta wapo uchiiiii october.amin nakwambiaaaa
Nashukuru umenielewa japo nimekosea! Asingekwenda mahakamani angeshafukuzwa uanachama siku nyingi alikwenda mahakamani kutafuta haki
chadema kama wapo macho washinikize jamaa asing'atuke kipindi hiki,vinginevyo huyo mtu ni very genious anataka achomoke aingie ACT kisha waanze na kina mwigamba na kitila kufanya kampen mapemaaa kabla jina lakw halijakauka midomon mwa watanzania,na mwisho wa siku chadema watajikuta wapo uchiiiii october.amin nakwambiaaaa
Leo kukabidhiwa kadichadema kama wapo macho washinikize jamaa asing'atuke kipindi hiki,vinginevyo huyo mtu ni very genious anataka achomoke aingie ACT kisha waanze na kina mwigamba na kitila kufanya kampen mapemaaa kabla jina lakw halijakauka midomon mwa watanzania,na mwisho wa siku chadema watajikuta wapo uchiiiii october.amin nakwambiaaaa