Zitto kutimkia ACT-Tanzania?

Zitto kutimkia ACT-Tanzania?

Mkuu elewa kwamba hapa hatuzungumzii Escrow,tunazungumzia Usaliti na mustakabali wake kisiasa.usichanganye mada.kwenye Escrow tulikuwa wakweli na tulimuunga mkono na kwenye mapungufu tulisema.Sasa Escrow haiwezi ku-offset Usaliti wa Zitto.Hata ivo issue ya Escrow haikuwa ni private(kama Zitto anavyowaamisha),ni kazi ya CAG na PAC ikachambua na finally bunge likaazimia,labda uniambie kama PAC ilishabinafsishwa

Ndio mkuu nimekuelewa, ndio maana nikasema binafsi simjui kiundani, labda kwa kua niko nje ya nchi. Kwa hiyo nivizuri vizuri tukawajua wanasiasa wetu ili tuweze kuchagua chama sahihi enye wanasiasa sahihi. Ukiwa nje ya nchi hasa kwenye nchi zilizo endelea ndio utaona tofauti kubwa ilio kwepo kwenye siasa na uzalendo. Inauma sana kuona nchi enye kila aina ya resource ikihesabiwa kama nchi maskini. Inabidi tuamke tuwajue tunao wachagua kiundani badala ya kusikia tu fulani ni mzuri sana au ni hodari sana
 
Kitaeleweka tu jibu analo mwenyewe aendako sisi tupo tunaendeleza mapambano M4C
 
Na wiki ijayo 'anachaguliwa' kuwa mwenyekiti wa ACT.

Intelejensia inaonyesha watamtangaza rasmi tarehe 8 mkuu tena sio kumchagua ni kumtangaza tu
Walishamchagua akiwa CDM ndio wakamweka yule kibaraka ashikilie nafasi kwa muda
 
Intelejensia inaonyesha watamtangaza rasmi tarehe 8 mkuu tena sio kumchagua ni kumtangaza tu
Walishamchagua akiwa CDM ndio wakamweka yule kibaraka ashikilie nafasi kwa muda

Huwezi kujua huyo jamaa anaelekea wapi. Chezea kufukuzwa wewe! Binadamu yeyote kitendo cha kufukuzwa kinaumiza ni sawa na Talaka, hata uwe mzuri kama Cleopatra lakini ukipewa talaka unachanganyikiwa.
ImageUploadedByJamiiForums1426830042.334920.jpg
 
Ndo kitu kinachoshangaza. Wamemfukuza wao na bado hawaishi kumuwaza. Tukiwaambia ndo mwanasiasa bora 2005-2015 wanakua wabishi ila vitendo vyao vinadhihilisha kukubaliana na ukweli huo.
msifieni tu lakini mjue mnamuangamiza.mwanzoni mlimpa kichwa na kudai CHADEMA haina ubavu WA kumfukuza na yeye akajiona kwamba sasa yamemkuta.
 
Nyie regam weye fikra finyu mnashindwa hata kufikiri mtu angekua kibaraka wa kuangusha serkali kama mara tatu na hao ambao so vibaraka wanapayuka hawana hoja za kuinyumbisha serikali. Ache wivu nyie mnatafuta chokochoko ili mfifize karama yake, Mungu yuko naye Zuberi Kabwe.

Anaweza kufanya hivyo kwa kutumikia makundi ya wasaka urais huko magambani.
 
Last edited by a moderator:
Tunamkaribisha sana. Na tunamuomba mheshimiwa Zito ziara ya kwanza kichama ianzie Jimbo la Kibaha mjini. Ni jimbo ambalo ACT wanaweza kujimilikisha bila kutumia nguvu kubwa kutokana na mbunge wake kutokuwa na mvuto kwa wananchi wake na hata wanaotajwa kumrithi hakuna mwenye ushwishi wakisiasa.
 
Lisemwalo lipo kama halipo laja huu ni msemo wa wahenga ila unamaana kubwa sana.

Baada ya hisia sasa imekuwa kweli Zitto kabwe rasmi ahamia ACT-Tanzania, Mwigamba ampokea kwa mbwembwe.
===========================



Chanzo: Mwananchi

Spika Anna Makinda yuko right kabisa kumnyima kuaga Bungeni. Alichosema Mh Aden Rage ni sahihi kabisa. Ingekuwa ni 'mahoka' kama angeruhusiwa kuaga bungeni.
 
Zitto atasababisha Chadema isipate mbunge hata mmoja October
 
Kila la heri ZItto uendako kama ni kweli.
 
sijui ataacha kuvaa magwanda maana si siri yalikuwa yanampendeza sana na aliyapenda japo sasa tumekuja kuona kumbe hakuwa anayatendea haki

Mkuu Magwanda ni nguo za Mgambo hizo yeyote anaweza kuvaa ili mradi asivunje sheria za nchi

IMG_8803.JPG
 
Back
Top Bottom