Kigoma 2015
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 371
- 93
unaongea tu hauelewi... ivi unajua maana ya kurithisha??? au unaropoka tu!! haya unasema chama wanarithushana tuambie mrithi wa ZZK n nan? katiba ya ACT ipo waz kuwa mgombea urais ndiye atakua kiongoz wa chama na endapo akishidwa uchaguz ndan ya miez sita kutaitishwa mkurano mkuu na atakua amepoteza sifa ya kuwa kiongoz wa chama hivyo atachaguliwa mwingine. Sifa ya kuwa kiongoz wa chama n lazma ushinde uchaguz wa serkal
Naona mnamuandalia njia Lowasa???