Zitto kugombea urais 2015?

Status
Not open for further replies.
zittto amesahau kuwa authority must back up other authority, at least in public, or else there is no authority at all.

anaonekana na tabia za ki narcissist tu, lazima saa zote ajipime anakubalika kwa kiwango gani na kuliko nani. SMH
 
Mie nilichomwelewa ni kuwakamata wananchi wa huko ambako kweli CHADEMA ni wazi itashinda kwa ule umati alioushika; ili wampe kura nyingi maana wanaona anaona mbali sio hapo tu ktk ubunge.

Zitto huwa ana tatizo la kupata munkari ktk umati kama akiona unamuunga mkono; hayuko objective na huwa hatimaye anakurupuka; ingawa ni haki kikatiba ila anatakiwa kutengeneza move inayokurahisishia kujieleza lengo hilo.

Hongera Zitto kwa kuwa huenda Kigoma unaweza kuiwezesha kupata walau wabunge wanne wa upinzani hapo utatengeneza ngome imara. Najua sasa ameleta mjadala mpya ndani ya CHADEMA kwa wanaojua; sasa attention zote zitaelekezwa CHADEMA; subiri in few days; is for good i know Zitto anamheshimu sana Slaa na hiyo kauli ni kauli ya kisiasa kama alivyosema LUTENI atakuwa 38yrs; inaleta ari mpya subiri mjadala utakaoanza sasa.

Naunga mkono maneno yake ingawa najua lengo sio urais kweli bali ameongeza more votes kwa slaa subirini muone kuanzia vyombo vya kesho; hata vile vya RA vitaanza kumpamba maana vinadhani anabomoa; subiri ataikamata kigoma yote kama ccm wasipoangalia; ndio lengo ni mkakati wa chadema; CCM Chalii; mnaelewa mmeelewa
 
Hivi niulize Zittoni chama gani hasa? maana sidhani kama yupo CHADEMA n the real sense.

Aisee I feel the same way. And I also feel that he kind of doesn't fit with CHADEMA though I can't put my finger on it as to why....
 
Kijana huyu mambo yamemuwea magumu jimboni kwake maana kuna mgombea mpya amejitokeza (kupitia CUF) na Zitto tayari ameanza kuweweseka.

Kauli hiyo ya kugombea urais ifikapo 2015 atakuwa ameitoa ili kuwadanganya wananchi wafikirie kwamba huyu ni ''potential president'' na itakuwa kosa kubwa mno kumkosa bungeni. Yaani anataka wananchi waone yeye ndie bora mpaka kufikia level ya kugombea Urais.

Ni political move tu ingawa sina uhakika kama ni sahihi. Inawezekana labda alipata ''baraka zote'' kutoka CHADEMA kabla hajaongea hayo
 
Hivi niulize Zittoni chama gani hasa? maana sidhani kama yupo CHADEMA n the real sense.
Tuwe na shukrani at least kidogo kwa kazi inayofanywa na Zitto ndani ya Chadema yeye pia ana weakness zake he can't make 100% perfect as many people wishes.

Kumbuka yeye ndiyo ka engineer movement ya wabunge na wanachama wengi kutoka CCM kuingia Chadema alikuwa anawafuata personally, yeye ndiye anafanya kampeni mkoa mzima wa Kigoma ili Chadema ipate wabunge wengi kama so wote, anafanya juu chini kuirudisha halmashauri ya Kigoma ndani ya Chadema. Mnataka afanye nini zaidi hata kama ni kibaraka wa chama kingine basi ni kibaraka mzuri kwa Chadema.

Kama mnavyosema inawezekana si Chadema, at the sametime anajitahidi kuivunja ngome ya CCM hasa huko Kigoma basi ni mtu mzuri kwa Chadema na ni mtu mwenye mapenzi na Chadema labda anataka hata kama ataondoka kwenye siasa awe ameijengea Chadema msingi mzuri. Chadema tunamwitaji kibaraka wa aina hiyo.
 
Tuwe na shukrani at least kidogo kwa kazi inayofanywa na Zitto ndani ya Chadema yeye pia ana weakness zake he can't make 100% perfect as many people wishes.

Kumbuka yeye ndiyo ka engineer movement ya wabunge na wanachama wengi kutoka CCM kuingia Chadema alikuwa anawafuata personally, yeye ndiye anafanya kampeni mkoa mzima wa Kigoma ili Chadema ipate wabunge wengi kama so wote, anafanya juu chini kuirudisha halmashauri ya Kigoma ndani ya Chadema. Mnataka afanye nini zaidi hata kama ni kibaraka wa chama kingine basi ni kibaraka mzuri kwa Chadema.

Kama mnavyosema inawezekana si Chadema, at the sametime anajitahidi kuivunja ngome ya CCM hasa huko Kigoma basi ni mtu mzuri kwa Chadema na ni mtu mwenye mapenzi na Chadema labda anataka hata kama ataondoka kwenye siasa awe ameijengea Chadema msingi mzuri. Chadema tunamwitaji kibaraka wa aina hiyo.

labda u sahihi
 
Zitto ana haki ya kufanya hivyo. Chadema sii kama vyama vingine vilivyo kinganganizi wa madaraka. Maana kuna baazi vimempa mtu mmoja hati miliki ya ugombea wa kudumu na vingine mgombea akishinda lazima amalize vipindi viwili bila kupingwa.

Sasa kwa demokrasia ya chadema inatoa fursa kwa wanachama wake kupambana katika uteuzi wa kutafuta mgombea dhidi ya rais aliyepo madarakani ambaye kwa wakati huo ni Slaa. Chadema hakiitafuti dola kwa mawazo mgando ya ki-ccm bali mawazo mapya na ya demokrasia pana ya uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa. Ni kama divai mpya ndani ya kiroba kipya.

EWE MTANZANIA TUUNGANE SOTE KWA NGUVU YA KURA TUINGOE CCM MADARAKANI.

IMETAWALA TOKA UHURU LAKINI IMESHINDWA KUTUPATIA HATA HUDUMA YA MAJI. KAZI YAO NI KUTULISHA TAKWIMU TU NA AHADI ZISIZOTEKELEZEKA.
SAFARI HII HATUDANGANYIKIIII!!!
 
Zitto ana maadui wengi sana. Na sijui kama nin yeye alowavuta au ni kitu gani kwa sababu binafsi nimekutana naye na kuongea naye ni mtu safi mwenye kusikiliza zaidi ya kuzungumza yeye. Mkweli na mwepesi wa kuongeza anachokiamini yeye jambo ambalo hukaribisha mjadala kwa wale wasioamini maneno yake.

Labda niseme tu kwamba Chadema kuna vijana wengi wenye malengo na wakati mwingine haya malengo yao hutafsirika vibaya hasa inapokuja ktk jumuiya yenye mamlaka yake. Siwezi kubisha kama Zitto hawezi kuweka matumaini hayo isipokuwa kuzungumzia hili ktk mkutano wa kuomba kura za wananchi kugombea Ubunge, kusema kweli nashindwa kuamini hadi hapo ukweli kamili utakapo patikana.

Wakuu zangu tupo ktk wakati mgumu sana na hakika tusirukie vitu kwani CCM wanajaribu kila hali kuhakikisha vurugu inatokea ndani ya chama Chadema na wao wanajua fika kwamba the weakest link ni Zitto..Hivyo wakitumia jina la Zitto ktk maswala ya kuigawa Chadema itaweza kuaminika zaidi.
 
Zitto ana maadui wengi sana. Na sijui kama nin yeye alowavuta au ni kitu gani kwa sababu binafsi nimekutana naye na kuongea naye ni mtu safi mwenye kusikiliza zaidi ya kuzungumza yeye. Mkweli na mwepesi wa kuongeza anachokiamini yeye jambo ambalo hukaribisha mjadala kwa wale wasioamini maneno yake.

Labda niseme tu kwamba Chadema kuna vijana wengi wenye malengo na wakati mwingine haya malengo yao hutafsirika vibaya hasa inapokuja ktk jumuiya yenye mamlaka yake. Siwezi kubisha kama Zitto hawezi kuweka matumaini hayo isipokuwa kuzungumzia hili ktk mkutano wa kuomba kura za wananchi kugombea Ubunge, kusema kweli nashindwa kuamini hadi hapo ukweli kamili utakapo patikana.

Wakuu zangu tupo ktk wakati mgumu sana na hakika tusirukie vitu kwani CCM wanajaribu kila hali kuhakikisha vurugu inatokea ndani ya chama Chadema na wao wanajua fika kwamba the weakest link ni Zitto..Hivyo wakitumia jina la Zitto ktk maswala ya kuigawa Chadema itaweza kuaminika zaidi.
Mkandara nakuelewa kwamba CCM wanaona the weakest link kuwa ni Zitto, lakini kama Zitto mwenyewe analiona hilo na analijuwa hilo itawachukuwa CCM muda mrefu sana na gharama kubwa kufanikiwa.

Lakini kama Zitto mwenyewe hajui kama anawindwa kutumiwa itakuwa rahisi kwa CCM kwa sababu wanaweza kutumia kosa dogo tu likawa ni breaking point kama wewe unavyoita weakest link.

Kwa mfano habari hii ya leo ingawa sijamsikia personally akitamka inawezekana kabisa hakumaanisha hivyo, mfano, kwenye mkutano unaweza kuwauliza wananchi ...mnanitaka nigombee tena 2015...wakasema NDIYOOOOO lakini gombea urais. Sasa wewe kwa kukatisha maneno ukasema SAWA nimekubali.

Kitendo cha wewe kusema SAWA kinaweza kuchukuliwa na wapinzani wako wanaokuwinda kukitumia kama propaganda kama tunavyoona leo. Kwa hiyo Zitto has to be very very careful kwa vile ana maadui wengi wanaomzunguka ndani ya Chama na nje ya chama.
 
Hizi habari za kweli jamani ?

Kama za kweli, inamaana Slaa akishinda 2010, 2015 hatagombea? Au Zitto haamini kwamba Slaa anaweza kushinda 2010 ?

Kama kweli Zitto alijiandaa kusema alichokisema basi tunaweza kuhitimisha along Kiranga's line: (i) Zitto anaamini kwamba Slaa ni msindikizaji uchaguzi ujao, (ii) Chadema panafuka, especially kati ya Zitto na wenye chama chao. Mana tungetegemea katika hali yakawaida Slaa agombee tena urais 2015 baada ya kutumia muda huu kujitangaza.
 
Kama kweli Zitto alijiandaa kusema alichokisema basi tunaweza kuhitimisha along Kiranga's line: (i) Zitto anaamini kwamba Slaa ni msindikizaji uchaguzi ujao, (ii) Chadema panafuka, especially kati ya Zitto na wenye chama chao. Mana tungetegemea katika hali yakawaida Slaa agombee tena urais 2015 baada ya kutumia muda huu kujitangaza.
Na kama si kweli? the opposite is true.
 
Mkandara nakuelewa kwamba CCM wanaona the weakest link kuwa ni Zitto, lakini kama Zitto mwenyewe analiona hilo na analijuwa hilo itawachukuwa CCM muda mrefu sana na gharama kubwa kufanikiwa.

Lakini kama Zitto mwenyewe hajui kama anawindwa kutumiwa itakuwa rahisi kwa CCM kwa sababu wanaweza kutumia kosa dogo tu likawa ni breaking point kama wewe unavyoita weakest link.

Kwa mfano habari hii ya leo ingawa sijamsikia personally akitamka inawezekana kabisa hakumaanisha hivyo, mfano, kwenye mkutano unaweza kuwauliza wananchi ...mnanitaka nigombee tena 2015...wakasema NDIYOOOOO lakini gombea urais. Sasa wewe kwa kukatisha maneno ukasema SAWA nimekubali.

Kitendo cha wewe kusema SAWA kinaweza kuchukuliwa na wapinzani wako wanaokuwinda kukitumia kama propaganda kama tunavyoona leo. Kwa hiyo Zitto has to be very very careful kwa vile ana maadui wengi wanaomzunguka ndani ya Chama na nje ya chama.
Hapana mkuu wangu sio swala la Zitto kujua hilo isipokuwa wana Chadema ndio wanatakiwa kujua hilo.

Kuna watu CCM pia ndio weakest link yaani wana maadui ndani ni rahisi sana kuwachonganisha wao na chama kiasi kwamba watu wanaweza kuamini na kuhofia Uzalendo wake kwa Chama kwa mfano Mzee Sitta.
Mimi sina wasiwasi na Zitto ktk chama pamoja na kwamba kweli husema mambo mengine ambayo pengine hakupaswa kuyasema ingawa ndio ukweli kama alivyo mzee six vile..mara nyingi midomo yao huwaponza na vyama vya Upinzani huchukulia muhali na ku hit homerun..
 
Huyu Zitto huyu na mambo yake yenye kuacha maswali mengi;

-Alipendekeza mitambo ya Dowans itaifishwe, baadae akasema inunuliwe.
-Alipendekeza liundwe jopo la majaji kuchunguza Richmond...Rostam naye ali support
-Atafanya maamuzi makubwa ambayo hayajawahi kufanywa na mtu yoyote Tanzania
-Kusifia uongozi wa Kikwete kila kukicha.
-Alisema atamsaidia mgombea wa NCCR kwenye kampeni.
-Role models wake wote ni ccm.

This guy is a time bomb just waiting to go off
 
Huyu Zitto huyu na mambo yake yenye kuacha maswali mengi;

-Alipendekeza mitambo ya Dowans itaifishwe, baadae akasema inunuliwe.
-Alipendekeza liundwe jopo la majaji kuchunguza Richmond...Rostam naye ali support
-Atafanya maamuzi makubwa ambayo hayajawahi kufanywa na mtu yoyote Tanzania
-Kusifia uongozi wa Kikwete kila kukicha.
-Alisema atamsaidia mgombea wa NCCR kwenye kampeni.
-Role models wake wote ni ccm.

This guy is a time bomb just waiting to go off

Zitto is a loose cannon who just went rogue once again....
 
Hizi habari za kweli jamani ?

Kama za kweli, inamaana Slaa akishinda 2010, 2015 hatagombea? Au Zitto haamini kwamba Slaa anaweza kushinda 2010 ?
sio Zitto tu wengi hatuamini hilo. Namuunga mkono Zitto ktk nia nake hiyo. :playball:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom