chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,013
- Thread starter
- #141
Teh teh, chadema wapime faida na hasara za kumtoa zitto chamani! Wakiöna faida ni nyingi kuliko kubaki cc ifanye kazi yake!
Mkuu hata kama kuna hasara basi itakuwa hakuna maana ya sheria na dhana ya hakuna aliyejuu ya sheria haitakuwa na maana na hatuhitaji kuwa na sheria na kama ndivyo niataacha siasa za Tanzania