palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,456
Si alisema atakuwa wa mwisho kuondoka imekuwaje tena?Kuondoka CDM si jambo dogo!alifikiri ni rahisi ehee
Si alisema atakuwa wa mwisho kuondoka imekuwaje tena?Kuondoka CDM si jambo dogo!alifikiri ni rahisi ehee
Hakafu anasema "ACHA UFALA" teh teh teh
Masikini Zitto amebaki kama yatima CCM wanaitumia hiyo situation kumchezea wanavyotaka kama Joyce wowowo.
Si alisema atakuwa wa mwisho kuondoka imekuwaje tena?
Pole sana mkuu. Ushindi wa serikali za mitaa umewafanya kuwa viziwi na vipofu. Padri asiyesamehe ndo huyo anakimaliza chama chenu.
Halafu wanataka tuwape Nchi, Muhuni kama huyu adhabu yake ni kumpiga chini ifikapo october ili akaendelee kuvaa mlegezo huko mitaani, kwenye ubunge ameingia kwa bahati mbaya tu!
mbona bunge limeahirishwa na mzito kabwela hajasema lolote.
Halafu wanataka tuwape Nchi, Muhuni kama huyu adhabu yake ni kumpiga chini ifikapo october ili akaendelee kuvaa mlegezo huko mitaani, kwenye ubunge ameingia kwa bahati mbaya tu!
Slaa kwani vipi?We shika adabu yako!!!
Ingekuwa ni hiari yake asingeondoka, ila sasa si wachaga wenye chama chao wamemtimua?
Hatari sana, Mungu ni mkubwa ametufumbua macho na hawa wahafidhinaKipindi kile raia hawana uelewa mzuri na chama hiki wakijua ni cha kuwakomboa so,wamechukua majimbo na sera yao ya kulazimisha "UHANARAKATI" huku raia wema wanakufa kutokana na vurugu zao zisizo na kichwa wala Miguu. Sasa hivi WATANZANIA hawataki tena kusikia huo ujinga huku wakineemeka wachache kwenye Saccoss.
Kati ya Watu ambao hawatakaa wasahaulike Chadema bila shaka Zitto anaongozaZitto the legend.....Chadema wadau shazi lkn hamna kiongozi pale....yeyote bota liende ilimradi Chadema...lkn Zitto huyu nikiongozi aise..
DJ Sugu.Sugu mbeya wamemchoka kabisa, muda wote kuanzia asubuhi mpaka jioni amelewa bange na konyagi, hakuna kitu alichowafanyia wana mbeya
Spika akuombe wewe kama nani? Sema Spika ameamua niongee siku nyingine. Yani Spika ndie mwenye kutaka uhutubie au wewe Zitto na upuuzi wako?Zitto Ruyagwa Kabwe â@zittokabwe 6m6 minutes ago
Sitaongea jioni Hii Bungeni. Spika ameomba niongee siku nyingine.
hoja zipi?upuuzi wa kusema ana majina ya mabilioni ya uswiss?yapo wapi majina?
Kipindi kile raia hawana uelewa mzuri na chama hiki wakijua ni cha kuwakomboa so,wamechukua majimbo na sera yao ya kulazimisha "UHANARAKATI" huku raia wema wanakufa kutokana na vurugu zao zisizo na kichwa wala Miguu. Sasa hivi WATANZANIA hawataki tena kusikia huo ujinga huku wakineemeka wachache kwenye Saccoss.
Spika akuombe wewe kama nani? Sema Spika ameamua niongee siku nyingine. Yani Spika ndie mwenye kutaka uhutubie au wewe Zitto na upuuzi wako?