nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
[h=5]JamiiForums
[/h][h=5]Kutoka Rasimu ya Katiba Mpya Tanzania:
- Tume inapendekeza mgombea binafsi aruhusiwe!
- Tume inapendekeza Rais asiwe na umri chini ya miaka 40
- Inapendekezwa Rais aunde Serikali ndogo iliyo na Mawaziri wasiozidi 15 na mawaziri hao wasiwe wabunge!
hapo kwenye red ndo kumemkata maini zitto na kuona ndoto zake zimefifia huku akiwa ametangaza kustaafu ubunge,ameamua kujipendekeza kwa jk angalau atafutiwe kinafasi kwenye taasisi za serikali
[/h]
[/h][h=5]Kutoka Rasimu ya Katiba Mpya Tanzania:
- Tume inapendekeza mgombea binafsi aruhusiwe!
- Tume inapendekeza Rais asiwe na umri chini ya miaka 40
- Inapendekezwa Rais aunde Serikali ndogo iliyo na Mawaziri wasiozidi 15 na mawaziri hao wasiwe wabunge!
hapo kwenye red ndo kumemkata maini zitto na kuona ndoto zake zimefifia huku akiwa ametangaza kustaafu ubunge,ameamua kujipendekeza kwa jk angalau atafutiwe kinafasi kwenye taasisi za serikali
[/h]