Zitto Kabwe: Wanasiasa Tujivue Minyororo ya Mwaka 2020

ACT Wazalendo

JF-Expert Member
May 5, 2014
610
1,540
Chama chetu kiliona dhamira ya Rais Samia Suluhu ya kuboresha mazingira ya Siasa nchini na kuamua kumwunga mkono; na hii ni kufuatia hotuba yake aliyoitoa siku ya kula Kiapo cha Urais, hotuba zake zingine za Bungeni, Mkutano wa Wadau (Dodoma I), kuundwa kwa Kikosi Kazi, Mkutano wa TCD (Dodoma II), Mazungumzo na Vyama na makala yake ya maarufu ya 4R; yaani Reconciliation, Resilience, Reforms na Rebuilding of the nation.

Hayo yalidhihirisha uungwana na nia yake thabiti kama Kiongozi; kwa sababu hiyo tulimuunga mkono. Tuliamua kumpa moyo (INCENTIVISE) kwani tunajua yupo katikati ya mfumo ambao hautaki mabadiliko yeyote.Tulikataa kuwa upande wa kumkatisha tamaa (DISCOURAGE.) Hivyo tulishiriki Kikosi Kazi KIKAMILIFU.

Tulitukanwa. Tulibezwa. Tulikashifiwa. Hatukujali. Sasa Kikosi Kazi kimekamilisha Taarifa na hivi karibuni itawasilishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ushauri wangu kwa wanasiasa wenzangu: Jivueni MINYORORO ya 2020. Hairudi tena. Mageuzi yanahitaji MSHIKAMANO kwa kila mmoja anayetaka Mageuzi Nchini ni muhimu kufanikisha Nchi yetu kuwa kwenye njia ya Demokrasia.

Tujenge mshikamano na Rais Samia Suluhu na kumpa moyo ili kufanikisha Hatua inayofuata ya utekelezaji wa Mageuzi makubwa ya kisheria na kikatiba. #INCENTIVISE

#WeAreTheFuture
#TheFutureIsPurple
20220919_203714.jpg
 
Wenzio wanafanya maridhiano huku wakiwaza Chama chao kipate nusu mkate. Wabinafsi na wamebaki kulia Lia na stori za hayati. Badae waangalie Kesho ya Taifa, acha waendelee na ujinga huku Chama chao kiendelea kukosa ushawishi
 
Kama Zitto anajua Rais yupo katikati ya wasiohitaji mabadiliko wakati Rais ndie kiongozi wao anataka tufanyeje?

Anasisitiza Rais aendelee kupewa ushirikiano wakati akijua Rais anaendelea kuukumbatia huo mfumo usiotaka mabadiliko, huyu akiitwa mnafiki haonewi, anastahili.
 
Kama Zitto anajua Rais yupo katikati ya wasiohitaji mabadiliko wakati Rais ndio kiongozi wao anataka tufanyeje?

Anasisitiza Rais aendelee kupewa ushirikiano wakati akijua Rais anaendelea kuukumbatia huo mfumo usiotaka mabadiliko, huyu akiitwa mnafiki haonewi, anastahili.
Zito ni mnafiki, mzandiki, mdini. All this is because mama is a dinimate!
 
Hongereni Chadema kwani mmemaliza mkutano wenu na sasa Zitto anawajulisha kwamba mambo sio mabaya.
Kwani Chedema mngekaa kimya mkisubiria kikosi kazi kije na majibu Zitto asingekuja na hili leo.
Msiridhike na maneno ya Zitto njooni press yenu mliyoiandaa kama ilivyo ili tupate hoja zenu zenye afya.
Sio hizi hoja za kuviziana ili kupotezeana muda
 
Chama chetu kiliona dhamira ya Rais Samia Suluhu ya kuboresha mazingira ya Siasa nchini na kuamua kumwunga mkono; na hii ni kufuatia hotuba yake aliyoitoa siku ya kula Kiapo cha Urais, hotuba zake zingine za Bungeni, Mkutano wa Wadau (Dodoma I), kuundwa kwa Kikosi Kazi, Mkutano wa TCD (Dodoma II), Mazungumzo na Vyama na makala yake ya maarufu ya 4R; yaani Reconciliation, Resilience, Reforms na Rebuilding of the nation.

Hayo yalidhihirisha uungwana na nia yake thabiti kama Kiongozi; kwa sababu hiyo tulimuunga mkono. Tuliamua kumpa moyo (INCENTIVISE) kwani tunajua yupo katikati ya mfumo ambao hautaki mabadiliko yeyote.Tulikataa kuwa upande wa kumkatisha tamaa (DISCOURAGE.) Hivyo tulishiriki Kikosi Kazi KIKAMILIFU.

Tulitukanwa. Tulibezwa. Tulikashifiwa. Hatukujali. Sasa Kikosi Kazi kimekamilisha Taarifa na hivi karibuni itawasilishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ushauri wangu kwa wanasiasa wenzangu: Jivueni MINYORORO ya 2020. Hairudi tena. Mageuzi yanahitaji MSHIKAMANO kwa kila mmoja anayetaka Mageuzi Nchini ni muhimu kufanikisha Nchi yetu kuwa kwenye njia ya Demokrasia.

Tujenge mshikamano na Rais Samia Suluhu na kumpa moyo ili kufanikisha Hatua inayofuata ya utekelezaji wa Mageuzi makubwa ya kisheria na kikatiba. #INCENTIVISE

#WeAreTheFuture
#TheFutureIsPurple
View attachment 2361984
Zitto waliohusika na uchafu ule wote wapo , aliyekufa ni mmoja tu , unataka tujivueje huku Polepole , Bashiru , Mambosasa , Mahera , Kamati kuu ya ccm na wote waliohusika;na uchafu ule akiwemo unayesema ana dhamira njema wakiwa wangalipo ? Dhamira ya Samia ni ipi huku waliokamatwa kwa uzushi na kubambikwa kesi wakiwa bado jela , bado katazo batili la Mikutano ya siasa ya wapinzani likiendelea , wakati Kinana , chongolo na Shaka wakiendelea kuhutubia hadharani ?

Hicho kikosi kazi Batili ni cha kazi gani wakati Mzee Warioba na wananchi walishamaliza kazi ?

Watanzania siyo wajinga na Nakuhakikishia IKO SIKU WATALIPA TU
 
Chama chetu kiliona dhamira ya Rais Samia Suluhu ya kuboresha mazingira ya Siasa nchini na kuamua kumwunga mkono; na hii ni kufuatia hotuba yake aliyoitoa siku ya kula Kiapo cha Urais, hotuba zake zingine za Bungeni, Mkutano wa Wadau (Dodoma I), kuundwa kwa Kikosi Kazi, Mkutano wa TCD (Dodoma II), Mazungumzo na Vyama na makala yake ya maarufu ya 4R; yaani Reconciliation, Resilience, Reforms na Rebuilding of the nation.

Hayo yalidhihirisha uungwana na nia yake thabiti kama Kiongozi; kwa sababu hiyo tulimuunga mkono. Tuliamua kumpa moyo (INCENTIVISE) kwani tunajua yupo katikati ya mfumo ambao hautaki mabadiliko yeyote.Tulikataa kuwa upande wa kumkatisha tamaa (DISCOURAGE.) Hivyo tulishiriki Kikosi Kazi KIKAMILIFU.

Tulitukanwa. Tulibezwa. Tulikashifiwa. Hatukujali. Sasa Kikosi Kazi kimekamilisha Taarifa na hivi karibuni itawasilishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ushauri wangu kwa wanasiasa wenzangu: Jivueni MINYORORO ya 2020. Hairudi tena. Mageuzi yanahitaji MSHIKAMANO kwa kila mmoja anayetaka Mageuzi Nchini ni muhimu kufanikisha Nchi yetu kuwa kwenye njia ya Demokrasia.

Tujenge mshikamano na Rais Samia Suluhu na kumpa moyo ili kufanikisha Hatua inayofuata ya utekelezaji wa Mageuzi makubwa ya kisheria na kikatiba. #INCENTIVISE

#WeAreTheFuture
#TheFutureIsPurple
View attachment 2361984

Kikosi kazi ni kupotezeana tu muda. Wenye maamuzi ndani ya CCM hawataki maridhiano maana wanajua CCM ndio itakayopoteza. Mfano halisi ni maridhiano yaliyokuwepo huko Znz mwaka 2010-2015, lakini uchaguzi ule wa 2015 CCM iliposhindwa ukafutwa! Hivyo wahafidhina ndani ya CCM hawataki maridhiano, na wanayachukulia kama ni maridhiano ya mama Samia na wapinzani, na sio ya CCM.

CCM wameshajua wanaweza kuchezea uchaguzi na kusiwe na Mbinyo wowote wa kimataifa, na humu ndani watu ni waoga kufanya machafuko. Hivyo bila kutokea machafuko msitarajie CCM kukubali maridhiano yoyote. CDM wasilogwe kukubali huo utapeli wa hicho kikosi kazi.

CCM wanajua hata wakifanya mauaji, kupora uchaguzi nk, baada ya uchaguzi watawaita viongozi wa upinzani na kufanya nao muafaka fake, kisha watawapa vyeo vya kuwahadaa ili watulie.
 
Chama chetu kiliona dhamira ya Rais Samia Suluhu ya kuboresha mazingira ya Siasa nchini na kuamua kumwunga mkono; na hii ni kufuatia hotuba yake aliyoitoa siku ya kula Kiapo cha Urais, hotuba zake zingine za Bungeni, Mkutano wa Wadau (Dodoma I), kuundwa kwa Kikosi Kazi, Mkutano wa TCD (Dodoma II), Mazungumzo na Vyama na makala yake ya maarufu ya 4R; yaani Reconciliation, Resilience, Reforms na Rebuilding of the nation.

Hayo yalidhihirisha uungwana na nia yake thabiti kama Kiongozi; kwa sababu hiyo tulimuunga mkono. Tuliamua kumpa moyo (INCENTIVISE) kwani tunajua yupo katikati ya mfumo ambao hautaki mabadiliko yeyote.Tulikataa kuwa upande wa kumkatisha tamaa (DISCOURAGE.) Hivyo tulishiriki Kikosi Kazi KIKAMILIFU.

Tulitukanwa. Tulibezwa. Tulikashifiwa. Hatukujali. Sasa Kikosi Kazi kimekamilisha Taarifa na hivi karibuni itawasilishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ushauri wangu kwa wanasiasa wenzangu: Jivueni MINYORORO ya 2020. Hairudi tena. Mageuzi yanahitaji MSHIKAMANO kwa kila mmoja anayetaka Mageuzi Nchini ni muhimu kufanikisha Nchi yetu kuwa kwenye njia ya Demokrasia.

Tujenge mshikamano na Rais Samia Suluhu na kumpa moyo ili kufanikisha Hatua inayofuata ya utekelezaji wa Mageuzi makubwa ya kisheria na kikatiba. #INCENTIVISE

#WeAreTheFuture
#TheFutureIsPurple
View attachment 2361984
Majasusi majasusi tu mwangalieni kinana anavochora mchora zitokabwe
 
Nitashangaa sana kama kuna watu wataenda kupoteza muda wao kwenye mistari ya kura. Machafuko ndio njia pekee itakayorudisha heshima ya box la kura. Wenzetu Kenya machafuko ndio yaliyofanya box la kura kuheshimiwa.
Kabisa....hata mimi nikiona mtu anaenda piga kura,ntamuona kichwan
Siyo mzima

Ova
 
Kama Zitto anajua Rais yupo katikati ya wasiohitaji mabadiliko wakati Rais ndio kiongozi wao anataka tufanyeje?

Anasisitiza Rais aendelee kupewa ushirikiano wakati akijua Rais anaendelea kuukumbatia huo mfumo usiotaka mabadiliko, huyu akiitwa mnafiki haonewi, anastahili.
Enemy of the people. Akili nyingi huondoa maarifa. Bila shaka wapo Watanzania wenye macho ya kuona kinachoendelea. Hiyo ndoa ya ujanjaujanja na ubinafsi mwingi kati ya ACT na utawala huu siyo njema hata kidogo; misingi yake ni hatari kwa mustakabali wa nchi ya Nyerere. ACT hawamuungi mkono rais ili kuleta mabadiliko ya kweli katika nchi yetu. ACT wamerubuniwa kuwa rasilmali ya kisiasa kwenye mradi wa 2025 wenye lengo la kudhoofisha ushindani wa kisiasa, kuhujumu mageuzi ya kisiasa na kushiriki kuwezesha "project" kama ile ya nchini Kenya kwenye uchaguzi wa 2022! Natumaini hata ccm wanaliona hili kwani siyo jema kwa demokrasia ndani ya chama chao. Come 2025 ni either mitano tena kwa mama au kwa mtu anayemtaka yeye!
 
Back
Top Bottom