Zitto Kabwe: Vitalis Maembe aachiwe mara moja, anaonewa.

Zitto Kabwe: Vitalis Maembe aachiwe mara moja, anaonewa.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,170
Reaction score
8,622
Nawataka Jeshi la Polisi Tanzania @tanpol kumwachia Huru mara moja ndugu Vitalis Maembe. Polisi Mkoa wa Pwani wamefanya la hovyo sana kumkamata Vitalis kutokana na kazi yake ya kisanii ya wimbo wa Kaisari. Haivumiliki na tunataka Vitalis aachiwe Huru SASA HIVI https://t.co/QKqRbVOrqm
IMG_20211103_155711.jpg
 
Nawataka Jeshi la Polisi Tanzania @tanpol kumwachia Huru mara moja ndugu Vitalis Maembe. Polisi Mkoa wa Pwani wamefanya la hovyo sana kumkamata Vitalis kutokana na kazi yake ya kisanii ya wimbo wa Kaisari. Haivumiliki na tunataka Vitalis aachiwe Huru SASA HIVI https://t.co/QKqRbVOrqmView attachment 1997097
Igudunde hayo no maoni na mtazamo was Zito, upi msimo wako juu ya hili.
 
Ahaaaa, acha unafiki.
Unafiki uko wapi hapo, nikutaoa kubadilishana mawazo tu, kwani mara zote nimekuwa nikiweza kusoma mrengo wako, ila kubadilika kipo, hivyo bila kuujumtazamo wako, itakuwa ngumu kubadilishana mawazo.
 
Mimi nilidhani zile desturi za utawala wa chuma zilishaachwa kule kule, kumbe zipo hadi huku! Kweli "mama anaupiga mwingi"
 
Back
Top Bottom