Zitto Kabwe: "UKs Aid is reparation for colonial exploits"

Zitto Kabwe: "UKs Aid is reparation for colonial exploits"

Status
Not open for further replies.

Ragamuffin

Senior Member
Joined
May 2, 2009
Posts
160
Reaction score
6

Money given in aid by the people of the United Kingdom to Tanzania is reparationfor colonial exploits states Tanzanian M.P. Zitto Kabwe.

The "country was built by colonial exploitation. Whether your born or not. We can as well survive without youraid, take it” he says.

Zitto Kabwe is a member of the Tanzanian Parliament (CHADEMA), representingKigoma North and is Shadow Finance Minister and Chairperson for Tanzania’sPublic Investments Committee. He is therefore a man that shapes governmentpolicy in Tanzania.

In times of unprecedented recession in the UK, I am sure that most would indeed like to stop aid to a country whose policy makers display these kind of sentiments when you scratch the surface!

Pole Sana Tanzania!

Zitto Zuberi Kabwe@zittokabwe
@Chomachomp your country was built by colonial exploitation. Whether your born or not. We can as well survive without your aid, take it.

Zitto Zuberi Kabwe@zittokabwe11 Jan11 Jan@Chomachompyour case is genuine totally but don't link to aid Tanzania gets from UK. Your country's aid is reparation for colonial exploits




--------
Zitto's response to this thread:

Ndugu zangu. Nadhani ni hekima kujua Jambo kwa kina kabla ya kuanza kulitolea maneno na hukumu. Ninaomba kuelewa kifupi sana nini kilitokea huko twitter.

Kuna mama anaitwa Sarah. Mwingereza ambaye pamoja na mume wake waligombana na Benjamin Mengi kuhusu mashamba yanayoitwa sasa Silverdale Farms.

Ugomvi huu ulikuwa mkubwa na kuripotiwa mpaka katika Bunge la Uingereza. Huyu mama sasa hivi ameufanya Ugomvi ule binafsi na wa kibiashara kati yake na kina Mengi kuwa ni Ugomvi dhidi ya Watanzania wote. Amekuwa akiandika makala mbalimbali za kuichafua Tanzania. Amekuwa akitaka Serikali ya Tanzania imlipe yeye na mumewe fidia kwa makosa ya raia mmoja wa Tanzania anaitwa Benjamin Mengi.

Huyu mama na mumuewe hakuwahi kujiandikisha TIC ili kujua uwekezaji wake kwenye shamba na hata kupata protection ya kisheria. Sasa juzi kaandika makala kuhusu aid dependence ya Tanzania (Jambo ambalo ni la kweli) lakini akaweka takwimu nyingi sana za uwongo ambazo Watanzania wamezidaka na kuzizungumza Kama za kweli hivi. Baadhi yetu tukamwambia through twitter kwamba takwimu sake sio sahihi.

Pili tukamwambia alipaswa kusema Kama note katika makala yake kwamba yeye ana kesi na Serikali ya Tanzania. Kwamba yeye amekuwa akiilazimisha nchi yake ya Uingereza iinyime muswada Tanzania mpaka hapo Serikali ya Tanzania itakapomlipa fidia!

Mimi naongozwa na msimamo wa wazi kabisa kwamba 'right or wrong my country first' na hivyo siwezi kuruhusu mtu, tena mzungu anayejiita mwekezaji kuitukana nchi nchi yangu kwa sababu tu wamerushana na wafanyabiashara wenzake.

Hatuweziweka rehani kwa sababu ya magomvi ya watu binafsi.

Nimemwambia huyu mama na ninarudia kusema, muswada hii ni sehemu ya kurejesha Mali zilizonyonywa na ukoloni.

Nimemwambia huyu mama kwamba hata Waingereza wakitaka kuondoa misaada Yao waondoe na wala hatutakufa kwa kukosa misaada Yao. Nimemwambia hivyo na ninarudia hapa. That's me, what you see is what you get.

Huyu aliyeleta hii thread alete mtiririko wote wa mjadala na sio kipande kimoja tu cha mjadala na kuspin atakavyo yeye na wengi humu mmeingia katika mtego wake bila hata kuhoji.

Evidence Mr. Kabwe?
 
Zitto waambie wazi wazi kabisa basi, mbona mafumbo tuu!lol
 
kwani si hawa UK si wameshaichamba TZ kuwa ina kila kitu lakini ni ombaomba namba 3 duniani ikiongozana na nchi zenye vita. Ccm is leading us to death
 
Pamoja na ukweli kwamba UK was built in that way, we should not be fooled by politicians who use it as an excuse to justify their poor perfomance. Mkoloni aliondoka miaka 50 iliyopita, mbona hakuna kikubwa cha maana kilichofanyika? Kikubwa tulichofanya ni kuvuruga hata yale mazuri yaliyofanywa na wakoloni. Angalia shule alizoacha mkoloni uone hali yake ya sasa ikilinganishwa na mwaka 60, angalia hospitali, angalia barabara ovyo ovyo. Bado tunamlalamikia mwingereza?? Ukiangalia misaada iliyopata Tanzania toka kwa Uingereza, na nini kimefanyika na misaada hiyo unaweza kuonesha ni nini kimefanyika?

Si siri kuwa mkoloni alikuwa mwizi, lakini viongozi wetu wa sasa ni worse kuliko mkoloni, hawana haki ya kumlaumu mwingereza.
 
Viongozi wanaotumia ukoloni kama kisingizio cha umaskini wetu ni wa kuwaogopa kama ukoma. Wengi wao hutumia excuse hiyo kutowajibika kwa wananchi, huku wakijilimbikizia mali ya umma, na hali ikiwa mbaya, hukimbilia huko huko kwa hao wakoloni ambako wameshajinunulia majumba ya kifahari, na kujiwekea akiba za mamilioni ya dollar. Zitto has to be very careful na kauli yake hii, kwani ni rahisi sana kuzidi kubomoa kuliko kujenga.
 
Viongozi wanaotumia ukoloni kama kisingizio cha umaskini wetu ni wa kuwaogopa kama ukoma. Wengi wao hutumia excuse hiyo kutowajibika kwa wananchi, huku wakijilimbikizia mali ya umma, na hali ikiwa mbaya, hukimbilia huko huko kwa hao wakoloni ambako wameshajinunulia majumba ya kifahari, na kujiwekea akiba za mamilioni ya dollar. Zitto has to be very careful na kauli yake hii, kwani ni rahisi sana kuzidi kubomoa kuliko kujenga.

NI kweli kabisa, lazima tuwaogope sana. Jaribu kuangalia mambo aliyokuwa anafanya gavana na rais (gavana alikuwa fuska? mwizi? mwongo? mbabaishaji?) angalia mambo anayofanya leo RC, DC linganisha na yale alikuwa anafanya mtu wa namna hiyo mkoloni bado huwezi kufananisha hata kidogo. Unaona wazi kabisa kuwa tuliyenaye sasa ni mzugaji tu. It is very sad, very sad in deed, for a politician like Zito Kabwe to have that view, he should be there to tell us what is the way forward, sio kuanza kupiga politiki za kulialia.
 
NI kweli kabisa, lazima tuwaogope sana. Jaribu kuangalia mambo aliyokuwa anafanya gavana na rais (gavana alikuwa fuska? mwizi? mwongo? mbabaishaji?) angalia mambo anayofanya leo RC, DC linganisha na yale alikuwa anafanya mtu wa namna hiyo mkoloni bado huwezi kufananisha hata kidogo. Unaona wazi kabisa kuwa tuliyenaye sasa ni mzugaji tu. It is very sad, very sad in deed, for a politician like Zito Kabwe to have that view, he should be there to tell us what is the way forward, sio kuanza kupiga politiki za kulialia.

Barack Obama tells Africa to stop blaming colonialism for problems - Telegraph
 
Kila kukicha ni kutafuta visingizio vipya vya "kutowajibika kwa viongozi"....hata Zitto nae amekumbwa na wimbi hilo? Kaaz kwel kwel!
 
Pamoja na ukweli kwamba UK was built in that way, we should not be fooled by politicians who use it as an excuse to justify their poor perfomance. Mkoloni aliondoka miaka 50 iliyopita, mbona hakuna kikubwa cha maana kilichofanyika? Kikubwa tulichofanya ni kuvuruga hata yale mazuri yaliyofanywa na wakoloni. Angalia shule alizoacha mkoloni uone hali yake ya sasa ikilinganishwa na mwaka 60, angalia hospitali, angalia barabara ovyo ovyo. Bado tunamlalamikia mwingereza?? Ukiangalia misaada iliyopata Tanzania toka kwa Uingereza, na nini kimefanyika na misaada hiyo unaweza kuonesha ni nini kimefanyika?

Si siri kuwa mkoloni alikuwa mwizi, lakini viongozi wetu wa sasa ni worse kuliko mkoloni, hawana haki ya kumlaumu mwingereza.
Impact ya colonisation ipo, hilo ni fact.

Kwamba viongozi wetu ni wadhaifu, yes, lakini ukiangalia tena kwa upande mwingine,udhaifu huo unatumiwa bado na mkoloni, kwani mkoloni aliondoka kwa kupenda?

Na kile alichokuwa akikipata mkoloni ina maana sasa anaona kwamba hakina manufaa tena?

Kweli kuna namna nyingi za kufikiri lakini ni muhimu kufikiri kwa mapana zaidi.

Ni ukweli kwamba viongozi ni wabinafsi na ndiyo maana wanajali tu ten pasenti.

Hata hivyo wakiwa na msimamo kama lets say Gaddafi, yani kusimamia rasilimali vyema na kuwabana kwa manufaa ya wananchi.
 
hahaha! Itabidi sasa tupige hesabu za mali iliyochukuliwa, alafu tugawane vyetu. Maana baada ya miaka 50 ya uhuru na kupewa misaada inayokithiri bado viongozi wanaimba huu wimbo? Kaeni chini, mpige hesabu, tudaiane, tuache huu wimbo wa kipumbavu!
 
Nini maana ya "your born"?

Huyu mbona anachemka kuanzia lugha mpaka content, yaani hiyo dhana nzima ya reparation kaishusha vibaya sana.

Makombo ya mezani unaita reparation? Mbona wanafurahi wenyewe.
 
*Sigh

Zitto ameongea nini? Mambo mazito anayatumia kiwepesi wepesi mbona!
 
Viongozi wanaotumia ukoloni kama kisingizio cha umaskini wetu ni wa kuwaogopa kama ukoma. Wengi wao hutumia excuse hiyo kutowajibika kwa wananchi, huku wakijilimbikizia mali ya umma, na hali ikiwa mbaya, hukimbilia huko huko kwa hao wakoloni ambako wameshajinunulia majumba ya kifahari, na kujiwekea akiba za mamilioni ya dollar. Zitto has to be very careful na kauli yake hii, kwani ni rahisi sana kuzidi kubomoa kuliko kujenga.

Kweli kaka,

Viongozi kama Zitto wanaoendekeza kutafuta majibu rahisi kama ukoloni kwa maswali magumu kama "kwa nini sisi masikini?", au hata kujivika kilemba cha ukoka kwamba wanaweza kuongelea "raparation" inavyotakiwa tu, ni wa kuogopwa, ingawa siwezi kutaja ugonjwa kwa sababu nitakuwa naendeleza "stigma" na hiyo si jadi yangu.

Zitto is a simpleton and the harder he tries to look intelligent, the more he exposes himself. I am not sure where does he get the guts to even try to usurp this type of narrative, which may be framed in a relevant context by pertinent and abled individuals. He doesn't show that he has studied the reparation issue at all. Kuna proponents wa reparation wa kweli wanatokea kwenye Garveyite families huko wanajua reparation ni ninii wakimsikia anai debase na kuilinganisha na vimsaada anavyotoa Muingereza kwa hiyari yake wanaweza kutaka kumtundika mtini.

Utasemaje msaada unaotolewa baada ya watu kuridhika na bajeti zao, kubakisha crumbs on the table ngoja tuwatupie waafrika wana njaa hawa ndio ziwe reparation?

Lakini wa kuogopwa zaidi ya hawa wanaotaka kupanda mgongo wa common least denominator ya Watanzania karibu wote (kuchukia dhuluma tuliyofanyiwa wakati wa ukoloni, ambayo ni ya kweli) ni wale viongozi wanaoendeleza ukoloni wa mtu mweusi dhidi ya mtu mweusi, mtanzania dhidi ya mtanzania.

Kama utawala wa CCM vile.

Kwa sababu, hata tukisema tusihesabu mabaya yote, CCM wangetupa elimu tu, utawala wa CCM ungehakikisha mtoto wa Kigoma anapata elimu bora, labda tusingekuwa na kina Zitto leo.

Hapa hapendwi CHADEMA wala CCM, tunawalima wote sawa tu. Ignorance is ignorance anywhere . It is party agnostic.
 
This is nothing but a smoke screen.

Shameful!

Haya ni matokeo ya kufikiri unatakiwa useme mara zote, hata pale ambapo huna cha kusema.

Unaingia Twitter wakati huna kifua cha kuzuia maneno, unaweza kusababisha "a national security issue" ukatoa nyeti Twitter.Sasa wengine washaanza kusema "policy makers wa Tanzania ndivyo wanavyofikiri hivi".

Hata huyo Kiranga (ambaye by definition ana license ya kuwa na Kiranga) huwa kuna threads nyingine anaangalia anaona hapa sina mchango.Anajinyamazia.

Halafu hamna kitu kinachoangusha clarity of thought kama washabiki. Mtu akishajiona ana kaumaarufu basi bichwa hiloo, anajiona mtaalamu wa kila kitu.

Kupenda umaarufu/ sifa na kuogopa lawama kunawafanya watu wachemke kiasi cha ajabu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom