Ragamuffin
Senior Member
- May 2, 2009
- 160
- 6
Money given in aid by the people of the United Kingdom to Tanzania is reparationfor colonial exploits states Tanzanian M.P. Zitto Kabwe.
The "country was built by colonial exploitation. Whether your born or not. We can as well survive without youraid, take it he says.
Zitto Kabwe is a member of the Tanzanian Parliament (CHADEMA), representingKigoma North and is Shadow Finance Minister and Chairperson for TanzaniasPublic Investments Committee. He is therefore a man that shapes governmentpolicy in Tanzania.
In times of unprecedented recession in the UK, I am sure that most would indeed like to stop aid to a country whose policy makers display these kind of sentiments when you scratch the surface!
Pole Sana Tanzania!
Zitto Zuberi Kabwe@zittokabwe
@Chomachomp your country was built by colonial exploitation. Whether your born or not. We can as well survive without your aid, take it.
Zitto Zuberi Kabwe@zittokabwe11 Jan11 Jan@Chomachompyour case is genuine totally but don't link to aid Tanzania gets from UK. Your country's aid is reparation for colonial exploits
--------
Zitto's response to this thread:
Ndugu zangu. Nadhani ni hekima kujua Jambo kwa kina kabla ya kuanza kulitolea maneno na hukumu. Ninaomba kuelewa kifupi sana nini kilitokea huko twitter.
Kuna mama anaitwa Sarah. Mwingereza ambaye pamoja na mume wake waligombana na Benjamin Mengi kuhusu mashamba yanayoitwa sasa Silverdale Farms.
Ugomvi huu ulikuwa mkubwa na kuripotiwa mpaka katika Bunge la Uingereza. Huyu mama sasa hivi ameufanya Ugomvi ule binafsi na wa kibiashara kati yake na kina Mengi kuwa ni Ugomvi dhidi ya Watanzania wote. Amekuwa akiandika makala mbalimbali za kuichafua Tanzania. Amekuwa akitaka Serikali ya Tanzania imlipe yeye na mumewe fidia kwa makosa ya raia mmoja wa Tanzania anaitwa Benjamin Mengi.
Huyu mama na mumuewe hakuwahi kujiandikisha TIC ili kujua uwekezaji wake kwenye shamba na hata kupata protection ya kisheria. Sasa juzi kaandika makala kuhusu aid dependence ya Tanzania (Jambo ambalo ni la kweli) lakini akaweka takwimu nyingi sana za uwongo ambazo Watanzania wamezidaka na kuzizungumza Kama za kweli hivi. Baadhi yetu tukamwambia through twitter kwamba takwimu sake sio sahihi.
Pili tukamwambia alipaswa kusema Kama note katika makala yake kwamba yeye ana kesi na Serikali ya Tanzania. Kwamba yeye amekuwa akiilazimisha nchi yake ya Uingereza iinyime muswada Tanzania mpaka hapo Serikali ya Tanzania itakapomlipa fidia!
Mimi naongozwa na msimamo wa wazi kabisa kwamba 'right or wrong my country first' na hivyo siwezi kuruhusu mtu, tena mzungu anayejiita mwekezaji kuitukana nchi nchi yangu kwa sababu tu wamerushana na wafanyabiashara wenzake.
Hatuweziweka rehani kwa sababu ya magomvi ya watu binafsi.
Nimemwambia huyu mama na ninarudia kusema, muswada hii ni sehemu ya kurejesha Mali zilizonyonywa na ukoloni.
Nimemwambia huyu mama kwamba hata Waingereza wakitaka kuondoa misaada Yao waondoe na wala hatutakufa kwa kukosa misaada Yao. Nimemwambia hivyo na ninarudia hapa. That's me, what you see is what you get.
Huyu aliyeleta hii thread alete mtiririko wote wa mjadala na sio kipande kimoja tu cha mjadala na kuspin atakavyo yeye na wengi humu mmeingia katika mtego wake bila hata kuhoji.
Evidence Mr. Kabwe?