MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,990
- 34,838
Mkuu on this Zitto is very Right labda tuseme angeongeza ujumbe kwa huyo mwana mama kuwa asitumie ugomvi wake binafsi na huyo Mengi kuwadhalilisha Watz wote! Hii ingesaidia huyo mama kuelewa kwanini Zitto ametoa msimamo huo! Sijui kwanini Kiranga amelipuka hivi kimtizamo wangu tunapaswa kujua chanzo cha huo mjadala then tujue Mtizamo wa Zitto ulikuwa base on what ?All said ukweli utabakia kwamba hii misaada wanayoitoa ni aibu yao wenyewe kama reparation...Can't fool me! huwezi nambia Muingereza ana huruma saaana kutusaidia sisi wakati anatumia - When we were rulers they were better off! Hizi ndio story nazisikia sana kuhusu Oman na Zanzibar ati Zanzibar ilikuwa imeendelea sana chini ya Sultan na wajinga wanaamini wanataka kuvunja muungano bora warudi kwa Sultan. Hii misaada yote anayoahidi ni aibu ya kukoloni watu ati huruma!.
Siwezi kumsemea Zitto lakini size yake kuwaambia They can stick that shit in their ashakum!...huwezi kumsaidia mtu na matusi juu ukitegemea sisi tutakaa kimya kama tulivyotukanwa na Israel..