Zitto Kabwe: Spika ameagiza Kamati za Bunge za PAC, LAAC, Bajeti na Uwekezaji kutofanya kazi na CAG, tunakwenda Mahakamani!

Unapojifanya MKALI halafu upo kwenye MSTARI, wakati una MAPUNGUFU yako kibao, basi ndio unawalazimisha watu wakukosoe na kumwaga mtama kwenye kuku wengi.

Mh Job Ndugai ni bora aachie kiti ili kulinda heshima yake, ila kama atalazimisha kukaa kwenye kiti, basi tutashuhudia makombora mengi sana.

Amsha amsha Zitto, usisahau alikutishia kukufungia usiongee bungeni mpaka #2020.

#2020 Kazi Na Bata, bado mwaka mmoja tu mungu akipenda.
Umesema ana Heshma? Ipi? Na ameshaipoteza?

Analipa fadhila hujui mpaka sasa ndie mgonjwa ghali wa 2018?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi sasa Spika ameagiza Kamati za Bunge za kuisimamia Serikali ( Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali [PAC] , Kamati ndogo ya Bunge Hesabu za serikali za Mitaa [LAAC] , Bajeti na Uwekezaji ) kutofanya kazi na CAG wala maofisa wake. Hii maana yake ni kuwa Bunge halitajadili Taarifa za PAC/LAAC kwenye mkutano ujao wa Bunge ( kukwepa TZS 1.5T ). Hapa Spika anavunja Katiba.

Baada ya kushauriana na Wanasheria na Wabunge tumeona ni muhimu sana kwa maslahi mapana ya nchi yetu kulinda Katiba yetu.

Baadhi ya Wabunge kutoka vyama vyote tumeamua kwenda mahakamani kuomba tafsiri ya KINGA ya CAG kwa mujibu wa Katiba na mamlaka ya Spika kutoa Wito kwa CAG.

=====

Kuna mpango wa muda sasa kutaka kumwondoa Prof. Assad Katika nafasi ya CAG kwa sababu ‘ana kiburi, misimamo mikali na hanyenyekei mamlaka ya juu’. Kikatiba wameshindwa. Walitaraji angetoka Septemba 2019 Lakini Kikatiba haondoki mpaka afike umri wa kustaafu. Wanatafuta njia

Prof. Assad alifanya Ukaguzi Maalumu Kuhusu matumizi ya shs 1.5T zilizokuwa hazina maelezo kwenye ukaguzi wa mwaka 2016/17. Taarifa hiyo ya Ukaguzi Maalumu ipo mezani kwa Spika na Spika ameikalia hajaipeleka PAC ili iwasilishwe Bungeni. Mvutano huu wa Spika na CAG ni ujanja tu

Hivi sasa Spika ameagiza Kamati za Bunge za kuisimamia Serikali ( PAC, LAAC, Bajeti na Uwekezaji ) kutofanya kazi na CAG wala maofisa wake. Hii maana yake ni kuwa Bunge halitajadili Taarifa za PAC/LAAC kwenye mkutano ujao wa Bunge ( kukwepa TZS 1.5T ). Hapa Spika anavunja Katiba

Baada ya kushauriana na Wanasheria na Wabunge tumeona ni muhimu sana kwa maslahi mapana ya nchi yetu kulinda Katiba yetu. Baadhi ya Wabunge kutoka vyama vyote tumeamua kwenda mahakamani kuomba tafsiri ya KINGA ya CAG kwa mujibu wa Katiba na mamlaka ya Spika kutoa Wito kwa CAG.

View attachment 989299
View attachment 989298
hekaya ndefu, tuambie mwananchi amefaidikaje na mradi huo
 
Yaah hayo yote ni ukosefu wa maadili kwa viongoz. Bado kauli ya jpm haikua specific kuwa ni mawazir wapi wanafanya vitu vya ovyo, kwa mawazir ilikua sio rahisi sana kusema wawajibike na msukumo mkubwa Ilitakiwa utoke kwetu kuwa hao mawazir kwanini asiwafukuze kazi?Hakuna popote unaweza jitetea kuvunja miiko ya Uongoz kwa mgongo wa oooh flani naye kavunja. Kelele humu zilipigwa lkn maajabu kwa CAG mnaleta SIASA uchwara. Kauli ya CAG ni sahihi hata Mimi ndio msimamo wangu kila siku lkn je kimaadili ni sahihi kwa CAG kusema hivo?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Kimaadili yuko sahihi kabisa,amesema udhaifu uko kwa bunge na si kwake maana yeye anafanya kazi yake na kuwapa wao wachukue hatua!
Sioni shida ya kauli hii,sana sana nauona ujasiri wake wa kusimamia ukweli!
 
Hii Itakuwa Kama Ile Ya Kikokotoo Part Two
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Ataingia Katikati
 
Maadamu CAG hana uwezo wa kuamrisha Askari wetu basi yuko chini ya wanaoweza kuamrisha kuweni waangalifu sana hapa Zito Kabwe anawatumia kumjenga kisiasa lkn hana loyalty na chadema, hajawahi kuwa nayo na hatokuwa nayo huyo na Asadi ni damu damu, ,,the devil is in the details” wanasema.

BTW vipi ishu ya kutaka kuuliwa na Serikali yetu sasa huko Mahakamani si ndiyo Polisi wetu watakujenerali Kombe kwa urahisi? Anyway house negroes wameshatoka huko sasa wamehamia kwa CAG, ...
Acha kuweweseka. Unaleta habari gani tena. Kwa maana hiyo unasema jiwe anaweza kutoa amri kwa majeshi wammalize Assad au Zitto? Bwege kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna haja gani ya kuwa na Katiba, wakati viongozi hawaifuati na kila kukicha wanaivunja. Kuna haja gani ya kuwa na DELEGATED LEGISLATION/DIVISION OF POWER/SEPARATION OF POWER wakati mihimili yote inaendeshwa na watu wachache wanaojiamulia watakalo. Kuna haja gani ya sisi raia kuwachagua viongozi ambao wanatutungia SHERIA tusihoji uwajibikaji wao/matumizi/mahesabu/manunuzi/uendeshaji wa mihimili iliopo.

KAMA VIPI nchi iongozwe ki FALME badala ya urais. Kama SAUDIA na sehemu nyingine (Japokua hata baadhi ya Falme hua zinawekwa kikaangoni kama vile England).

Ushauri wangu,

Katika kampeni #2020 Zitto nakushauri PRINT (Tshrt Nyeupe & Nyeusi) zenye picha/majina ya ndugu zetu wa tanzania wote, waliopotea/kuuliwa/kutekwa ili tuwaenzi. Na kuwaonyesha hatujawasahau popote walipo. ***Kuhusu budget ya tshrt hizo, mziuze na sisi raia tunaopenda nchi yetu na raia wenzetu waliopata matatizo, tutanunua kwa bei yoyote***

Bado mwaka mmoja tu #2020, twendeni tutafika.

#2020 Zitto for Presidency
 
Hivi sasa Spika ameagiza Kamati za Bunge za kuisimamia Serikali ( Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali [PAC] , Kamati ndogo ya Bunge Hesabu za serikali za Mitaa [LAAC] , Bajeti na Uwekezaji ) kutofanya kazi na CAG wala maofisa wake. Hii maana yake ni kuwa Bunge halitajadili Taarifa za PAC/LAAC kwenye mkutano ujao wa Bunge ( kukwepa TZS 1.5T ). Hapa Spika anavunja Katiba.

Baada ya kushauriana na Wanasheria na Wabunge tumeona ni muhimu sana kwa maslahi mapana ya nchi yetu kulinda Katiba yetu.

Baadhi ya Wabunge kutoka vyama vyote tumeamua kwenda mahakamani kuomba tafsiri ya KINGA ya CAG kwa mujibu wa Katiba na mamlaka ya Spika kutoa Wito kwa CAG.

=====

Kuna mpango wa muda sasa kutaka kumwondoa Prof. Assad Katika nafasi ya CAG kwa sababu ‘ana kiburi, misimamo mikali na hanyenyekei mamlaka ya juu’. Kikatiba wameshindwa. Walitaraji angetoka Septemba 2019 Lakini Kikatiba haondoki mpaka afike umri wa kustaafu. Wanatafuta njia

Prof. Assad alifanya Ukaguzi Maalumu Kuhusu matumizi ya shs 1.5T zilizokuwa hazina maelezo kwenye ukaguzi wa mwaka 2016/17. Taarifa hiyo ya Ukaguzi Maalumu ipo mezani kwa Spika na Spika ameikalia hajaipeleka PAC ili iwasilishwe Bungeni. Mvutano huu wa Spika na CAG ni ujanja tu

Hivi sasa Spika ameagiza Kamati za Bunge za kuisimamia Serikali ( PAC, LAAC, Bajeti na Uwekezaji ) kutofanya kazi na CAG wala maofisa wake. Hii maana yake ni kuwa Bunge halitajadili Taarifa za PAC/LAAC kwenye mkutano ujao wa Bunge ( kukwepa TZS 1.5T ). Hapa Spika anavunja Katiba

Baada ya kushauriana na Wanasheria na Wabunge tumeona ni muhimu sana kwa maslahi mapana ya nchi yetu kulinda Katiba yetu. Baadhi ya Wabunge kutoka vyama vyote tumeamua kwenda mahakamani kuomba tafsiri ya KINGA ya CAG kwa mujibu wa Katiba na mamlaka ya Spika kutoa Wito kwa CAG.

View attachment 989299
View attachment 989298

Bwana Kabwe, hawa kaka zetu walitutaka sisi tusome, baadhi yetu alhamdulilahi wenye huruma wametupa, Zitto hali za maisha kila mtu anaiona, mimi hili jukwaa hua simchangiji bali msomaji. Lakini siku hizi kukodolea tu nashindwa basi najikuta naishia hapahapa kule kwenye machakachaka yangu sifiki, Kuna dogo anatengeza format ya cashflow. kwa mfanyakazi ambae anamiliki kabiasha kadogo.
Bila Katiba Nchi Hii au yoyote Africa haitonufaisha watu wake. Na siku zote, watakua ombaomba na hizyi katika maisha ya dunia hasa ya leo. ukijifanya we huombi kwa ukalia jamvi lakini unawatuma watoto wakaombe mchana, usiku unakaba majirani wewe utakua bado ni omba omba ila sasa ombaomba hatari.

Napongeza sana hatua mlio chukua. Ningependa pia kuona anaopata sapoti ya Tanzania Institute of Accountany.

Na inapokuja kwenye mambo ya katiba nataka nimuone mbunge wangu pale Mahakamani. Kuna haja ya kuelewesha wananchi kuhusu katiba na yaliyomo angalua kwa uchache. Wengi wetu hatuthamini Mikataba na Vitabu, tabia ambayo Mkoloni nafkiri aliipenda. Hebu uliza vijijini nani anamkataba wa nyumba yake? tusemeni ukweli, ni jamii hapa. Tunawaweka wenzetu katika umasikini sana kwa nia nzuri, wanashindwa hata kununua mbolea au dawa kwa kukosa hela ilhali mzee anamiliki mali. Tunawaweka wenzetu na wazee katika umasikini kwa nia nzuri, ni sawa baba.
Katiba, Ndio Mungozo unaoweza kuleta ustawi wa jamii kwa pamoja level the plain field. Leo, mlinzi anaetutizamia hawa mabwana wanatoka kumtoa, wapate ndiondio kama yeye mwenyewe.

Mahakama ni muhimili muhumu, na Kazi ya Mahamaka ni kutafsiri katiba. Inaelekea kuna ihtilafu ya tafsiri, kwa maana hiyo itabidi spika asubiri marejeo ya Mahakama.

Ninawaunga mkono ni matumaini yangu wabunge wabunge wa chama cha spika watawaunga mkono. Ni jambo la Uma.

Hiyo tabia wanayimwambia Prof. Mussa naona wanampa sifa madhubuti. It's a professional demeanor!
 
Kama anawagomesha wajumbe wa hizo kamati wasishirikiane na ofisi ya CAG sasa itakuwaje basi, wataidhinishaje bajeti mpya wakati ya zamani bado ina walakin?

Huu mpango inaonekana ni "Premeditated" kwani wakati hata huyo CAG hawajamhoji lkn tayari wameshaamuru ofisi yake isipewe ushirikiano, yaani kesi imeshaamuliwa kabla hata kusikillizwa...!!!

Kama lengo ni kufunika ufisadi wa Tsh.1.5 Trillion halafu tunaambiwa eti hii serikali ndio inapambana na ufisadi, safari ya kupambana na ufisadi kumbe bado hata hatujapanga lini tuianze.

Kumbe watanzania tuendelee tu ku-bet, serikali makini ya kuja kupambana na ufisadi baaado kabisa, kwa sasa bado tunaendelea na wapiga dili wetu wale wale wa siku zote. It will take time to get one.
 
Back
Top Bottom