Zitto Kabwe: Rais Samia alipaswa kutangaza kifo cha Hayati Magufuli akiwa ameshaapishwa, kitendo Cha Wakuu wa Ulinzi kuwa Watoa Taarifa ni hatari!

KC mstaafu wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema Dr Samia alipaswa Kutangaza Kifo Cha Hayati Magufuli akiwa ameshaapishwa

Zitto amesema kitendo Cha kuwafanya Wakuu wa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama kuwa ndio Watoa Taarifa ni Cha hatari Sana

Hili ni jambo linapaswa kuwa somo kwetu na kuyaweka mambo ya mabadilishano ya Madaraka " Power Transfer" kuwa ya Kisheria , amesisitiza Kabwe

Source: Jambo TV
Kuchamba kwingi kutoka na MAVVI

HIS SENTIMENTS ARE UNCALLED FOR
 
Suluhisho ni moja tu, tangazo la kifo cha rais linapotelewa na makamu wa rais automatically papo hapo linapaswa kuchukuliwa kuwa, Makamu wa Rais ni kiongozi wa nchi kwa kipindi chote cha mpito mpaka atakapoapishwa rasmi kuwa rais.
 
Kiufupi Nchi ilikua chini ya Mabeyo angekua na uchu wa Madaraka Mabeyo angeturusha kichurachura mpaka tuelewe.
Ukweli ni kwamba, nchi ipo chini ya mkuu wa jeshi wakati wote.
Kinachofanya Rais wa kiraia awe na madaraka ni Katiba na sheria.
Utamaduni wa kuvunja au kutotii katiba na sheria ukiendekezwa, mwenye uhakika wa kuchukua madaraka ni mkuu wa jeshi tu.
 
Suluhisho ni moja tu, tangazo la kifo cha rais linapotelewa na makamu wa rais automatically papo hapo linapaswa kuchukuliwa kuwa, Makamu wa Rais ni kiongozi wa nchi kwa kipindi chote cha mpito mpaka atakapoapishwa rasmi kuwa rais.
Sahihi Kabisa
 
KC mstaafu wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema Dr Samia alipaswa Kutangaza Kifo Cha Hayati Magufuli akiwa ameshaapishwa

Zitto amesema kitendo Cha kuwafanya Wakuu wa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama kuwa ndio Watoa Taarifa ni Cha hatari Sana

Hili ni jambo linapaswa kuwa somo kwetu na kuyaweka mambo ya mabadilishano ya Madaraka " Power Transfer" kuwa ya Kisheria , amesisitiza Kabwe

Source: Jambo TV
Akwende zake huko, kwani hayo ndo mahitaji ya wanyonge wa nchi hii? Fisadi tu zitto hana lolote
 
Zitto hajateleza. Katiba iko wazi, Makamu wa Rais atashika madaraka ya Rais kama
1. Rais amefariki dunia
2. Rais hawezi kumtimiza majukumu yake kama rais kutokana na maradhi. Tena katiba imeweka utaratibu wa hili jambo,

Sasa, kama umemsikiliza vizuri Rtd CDF alisema siku ya tar 17.03.2021 waliitwa na watu wa hosp kuwa hali ya mhe Rais JPM sio nzuri, na walipofika hosp walikuta amepumzika, haongei (amekata kauli) maana yake hawezi kutimiza majukumu yake kwa wakati huo. Hapa ndio palipaswa kufanyika alichosema ZZK,

Tuache Mihemko, tujadili Hoja. Kumbuka, kwa mujibu wa CDF mstaafu, nchi ilikaa masaa 48 bila kuwa na Rais, kutokana na Ubishi uliokuwepo
Hiyo kushindwa kutimiza majukumu kutokana na ugonjwa sio automatic kuna conditions kadhaa kama aina ya ugonjwa na muda ambao mgonjwa katumia akipata matibabu.

Swala la kuapisha Rais mwingine sio la kukurupuka tu kama unavyofikiri wewe na huyo zito wako.

What if mnaapisha mtu mwingine kwakua aliyepo kalazwa tu wiki moja halafu akaja kupona wiki inayofuata anakuja kukuta kuna Rais mwingine?

Kuugua sio kuaga dunia.

Rais wa Nigeria alilazwa UK miezi kadhaa na bado akarudi kuendelea na majukumu yake , kwanini unafikiri hao wanigeria hawakuapisha makamu muda huo huo baada ya Rais kwenda nje kwa matibabu kwa miezi kadhaa.
 
Hiyo kushindwa kutimiza majukumu kutokana na ugonjwa sio automatic kuna conditions kadhaa kama aina ya ugonjwa na muda ambao mgonjwa katumia akipata matibabu.

Swala la kuapisha Rais mwingine sio la kukurupuka tu kama unavyofikiri wewe na huyo zito wako.

What if mnaapisha mtu mwingine kwakua aliyepo kalazwa tu wiki moja halafu akaja kupona wiki inayofuata anakuja kukuta kuna Rais mwingine?

Kuugua sio kuaga dunia.

Rais wa Nigeria alilazwa UK miezi kadhaa na bado akarudi kuendelea na majukumu yake , kwanini unafikiri hao wanigeria hawakuapisha makamu muda huo huo baada ya Rais kwenda nje kwa matibabu kwa miezi kadhaa.
Zitto ana tamaa ya madaraka
 
Pamoja na ukakasi wa kauli ya Zitto lakini uapishwaji wa Rais mpya siyo lazima RAIS awe amekufa ndo Makamu aapishwe. Hata kama Rais yupo katika hali ambayo kitabibu hawezi kutekeleza majukumu yake ya Urais Makamu anaweza kuapishwa kuwa Rais. Na upo utaratibu wa kufanya hivyo!.

Katika Process zote hizo hakuna TAKWA LA KISHERIA WALA LA KIKATIBA KUWA ILI MAKAMU AAPISHWE KUWA RAIS LAZIMA AUTANGAZIE UMMA KABLA KUWA RAIS KAFA AU KASHINDWA KUTIMIZA MAJUKUMU YAKE ETI NDO URAIS WAKE UWE HALALI!.

Na hakuna takwa la kikatiba wala la kisheria kuwa Uapishwaji wa MAKAMU kuwa RAIS lazima ufanywe Hadaharani!

Katika hii mada tuanchanganya BUSARA na SHERIA.

Kibusara ni kweli si vizuri kutangaza urais wa makamu kabla hujawajulisha wananchi kilichojiri kwa rais wa zamani, lakini kisheria hilo siyo lazima hata kidogo!
 
Ukweli ni kwamba, nchi ipo chini ya mkuu wa jeshi wakati wote.
Sahihi mtawala wa nchi ni mwajeshi wakati wote ambaye ni amiri jeshi mkuu ambaye huvaa nguo za kiraia.Ni sahihi kabisa kusema nchi wakati wote iko chini ya jeshi.
 
KC mstaafu wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema Dr Samia alipaswa Kutangaza Kifo Cha Hayati Magufuli akiwa ameshaapishwa

Zitto amesema kitendo Cha kuwafanya Wakuu wa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama kuwa ndio Watoa Taarifa ni Cha hatari Sana

Hili ni jambo linapaswa kuwa somo kwetu na kuyaweka mambo ya mabadilishano ya Madaraka " Power Transfer" kuwa ya Kisheria , amesisitiza Kabwe

Source: Jambo TV
Tumezoea hatari tangu Uhuru, kuna jambo la hatari zaidi ya ccm kuendelea kuwa madarakani?
 
KC mstaafu wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema Dr Samia alipaswa Kutangaza Kifo Cha Hayati Magufuli akiwa ameshaapishwa

Zitto amesema kitendo Cha kuwafanya Wakuu wa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama kuwa ndio Watoa Taarifa ni Cha hatari Sana

Hili ni jambo linapaswa kuwa somo kwetu na kuyaweka mambo ya mabadilishano ya Madaraka " Power Transfer" kuwa ya Kisheria , amesisitiza Kabwe

Source: Jambo TV
Hayo si yatakuwa mapinduzi unaweza kuapishwa kabla ya umma kujua status ya siting president.
 
Back
Top Bottom