Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,503
- 113,616
Wanabodi,
Japo bandiko hili liko addressed kwa Mhe. Zitto, lakini hoja zake ni kwa Wapinzani wote, namuelekezea Zitto Kabwe kwa sababu kwa maoni yangu ndio mpinzani pekee kwa sasa anayeweza kusimama na rais Magufuli 2020, na Magufuli akahisi kijoto joto japo kwa mbali.
Ni kwa muda mrefu kumekuwa kukitolewa hoja za udikiteta wa rais Magufuli. Kama watu wale wale, wanatoa hoja zile zile miaka nenda miaka rudi bila kuchukua hatua zozote, then kuendelea kutumia hoja hizo ni kupiga tuu kelele, na kiukweli kabisa kelele zikizidi, zinageika a nuisances.
Swali ni hili
Swali kwa Zitto Kabwe na Wapinzani Wengine: Hoja ya Udikiteta wa Rais Magufuli, Kwa Nini Wewe Zitto na Wapinzani Mnapiga Tuu Kelele Bila Kuchukia Hatua Yoyoye?. Kelele zikizidi Zinageuka Nuisances, Jee Kelele Hizi za Udikiteta wa Rais Magufuli hivi sasa Isn't it a Nuisance?. Kama Upinzani Wenyewe wa Tanzania Ndio Upinzani Huu Ambao Umeishiwa Kabisa Hoja za Msingi!, Jee Tukisema Uchaguzi wa 2020 ni CCM Pekee?, Tutakuwa Tunawakatisha Tamaa Wapinzani? au Tunawaandaa Watanzania kupokea Ukweli Mchungu kuwa Tanzania Hatuna Kabisa Upinzani wa Maana?.
Bandiko hili linafuatia hoja ya Zitto kwenye bandiko hili Tanzania imetimiza Hatua 8 za kujenga Utawala wa Kidikteta?
Watanzania wa sasa hawataki kelele, wanataka matendo. Kesho ni uchaguzi wa serikali za mitaa, mnatakiwa mje kwa wananchi mtuambie mmefanya nini au mtafanya nini ili mchaguliwe na sio hizi kelele za udikiteta!.
Naomba kukukumbusha siku ile tulipokutana pale Karimjee, nilikushauri nini kuhusu hii hoja ya Udikiteta ?. Jikumbushe.
View: https://youtu.be/A_YPEHtM9WM?si=iSm1YWvqtF8Fyd77
Watu wa mwanzo kuupinga udikiteta ni Chadema kwa kuanzisha Ukuta, na mtu wa mwanzo very vocal kuhusu udikiteta, nilitoa ushauri muhimu kwa Lissu kuhusu huu udikiteta, hivyo nakushauri Mhe. Zitto, niliisha kushauri kitu cha kufanya, na hapa kwa faida ya wengi, nashauri tena.
Kwa msio jua, udikiteta sio hoja ya kisiasa, ni hoja ya kisheria, matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa na matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria.
Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele! - JamiiForums
Udikiteta unapingwa kwa njia moja tuu, Court Review kupitia Mamlaka ya Mahakama Kuu kutoa kitu kinachoitwa Prerogative orders ziko 6, ila maarufu zaidi ni 3.
Tukisema Tanzania hatuna kabisa any serious and credible opposition, viongozi wote wa upinzani mliopo ni wababaishaji tuu, na vyama vyote vya upinzani ni vyama vya upinzani uchwala, itakuwa ni kuwaonea?.
Kwa mwendo huu, acha tuu CCM itutawale milele, na wapinzani wanaojitambua na kuamua politics ndio full professional yao, tusiwalaumu wakijiunga CCM, wanaona mbali.
Kama haya yote unayaona, kwa nini hizo hatua usianze nazo wewe au na wewe pia kwa vile ni mtu wa Ujiji, hivyo unafanya kile Watu wa Ujiji wanachoita Surat Zubaa?.
Matokeo ya upinzani legelege na upinzani uchwara huu, tutayaona baada ya uchaguzi mkuu wa 2020, baada ya serikali ya Magufuli kugundua upinzani uliopo ni hakuna kitu, inakwenda kuufuta rasmi kwenye uchaguzi huo kwa CCM kukomba kila kitu, kwa kukomba mitaa yote, kata zote, majimbo yote ya huku bara na kuwa na Bunge la chama kimoja CCM.
Muda huo ukifika, upinzani wakagalagazwa, naombeni sana tusije anza kutafuta mchawi. Mchawi wa upinzani Tanzania ni wapinzani wenyewe!.
Paskali.
Cape Town.
RSA
Rejea kuhusu Udikiteta
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's ...
Udikiteta ni Dhana Tuu or ni Real?. "Lets Call A Spade A Spade ...
Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni ...
Udikiteta Tanzania: Je, Rais Magufuli kweli ni dikiteta au ...
Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
Kitendo cha Kukiuka Ilani ya CCM Bila Kikao Chochote, Sio ...
Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili ...
CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue ...
UDIKTETA: Hongera Sana TWAWEZA, TZ hakuna Udikteta! Ila ...
Kutoonyesha Hisia/Huruma wala pole za sauti si Udikteta bali ni ...
Fungia Fungia Magazeti: Ni Udikiteta wa Serikali Magufuli ...
CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala ...
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Kanda ya Ziwa na kuongea kwa ukali: Ukali wa Rais Magufuli ni ...
Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A ...
Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni ...
Japo bandiko hili liko addressed kwa Mhe. Zitto, lakini hoja zake ni kwa Wapinzani wote, namuelekezea Zitto Kabwe kwa sababu kwa maoni yangu ndio mpinzani pekee kwa sasa anayeweza kusimama na rais Magufuli 2020, na Magufuli akahisi kijoto joto japo kwa mbali.
Ni kwa muda mrefu kumekuwa kukitolewa hoja za udikiteta wa rais Magufuli. Kama watu wale wale, wanatoa hoja zile zile miaka nenda miaka rudi bila kuchukua hatua zozote, then kuendelea kutumia hoja hizo ni kupiga tuu kelele, na kiukweli kabisa kelele zikizidi, zinageika a nuisances.
Swali ni hili
Swali kwa Zitto Kabwe na Wapinzani Wengine: Hoja ya Udikiteta wa Rais Magufuli, Kwa Nini Wewe Zitto na Wapinzani Mnapiga Tuu Kelele Bila Kuchukia Hatua Yoyoye?. Kelele zikizidi Zinageuka Nuisances, Jee Kelele Hizi za Udikiteta wa Rais Magufuli hivi sasa Isn't it a Nuisance?. Kama Upinzani Wenyewe wa Tanzania Ndio Upinzani Huu Ambao Umeishiwa Kabisa Hoja za Msingi!, Jee Tukisema Uchaguzi wa 2020 ni CCM Pekee?, Tutakuwa Tunawakatisha Tamaa Wapinzani? au Tunawaandaa Watanzania kupokea Ukweli Mchungu kuwa Tanzania Hatuna Kabisa Upinzani wa Maana?.
Bandiko hili linafuatia hoja ya Zitto kwenye bandiko hili Tanzania imetimiza Hatua 8 za kujenga Utawala wa Kidikteta?
Mhe. Zitto, with due respect, kitendo cha kurudia rudia kauli hii ya Magufuli ni dikiteta bila kuchukua hatua zozote, nazo ni kelele tuu.Tanzania imetimiza Hatua 8 za kujenga Utawala wa Kidikteta?
Licha ushahidi wa wazi wa kusigina Katiba, vyama vya Upinzani hatuchukui hatua yeyote dhidi ya Rais Magufuli licha ya Katiba kutoa nafasi hiyo kwa mujibu wa Ibara ya 46A ya Katiba - kumshtaki Bungeni. Utadhani tumepigwa ganzi au tumesomewa kile Watu wa Ujiji huita Surat Zubaa!
Watanzania watavumilia kuishi kwenye nchi ya kidikteta inayokandamiza Uhuru wa watu? Tusubiri tuone
Zitto Kabwe
Nairobi
Watanzania wa sasa hawataki kelele, wanataka matendo. Kesho ni uchaguzi wa serikali za mitaa, mnatakiwa mje kwa wananchi mtuambie mmefanya nini au mtafanya nini ili mchaguliwe na sio hizi kelele za udikiteta!.
Naomba kukukumbusha siku ile tulipokutana pale Karimjee, nilikushauri nini kuhusu hii hoja ya Udikiteta ?. Jikumbushe.
View: https://youtu.be/A_YPEHtM9WM?si=iSm1YWvqtF8Fyd77
Watu wa mwanzo kuupinga udikiteta ni Chadema kwa kuanzisha Ukuta, na mtu wa mwanzo very vocal kuhusu udikiteta, nilitoa ushauri muhimu kwa Lissu kuhusu huu udikiteta, hivyo nakushauri Mhe. Zitto, niliisha kushauri kitu cha kufanya, na hapa kwa faida ya wengi, nashauri tena.
Kwa msio jua, udikiteta sio hoja ya kisiasa, ni hoja ya kisheria, matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa na matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria.
Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele! - JamiiForums
Udikiteta unapingwa kwa njia moja tuu, Court Review kupitia Mamlaka ya Mahakama Kuu kutoa kitu kinachoitwa Prerogative orders ziko 6, ila maarufu zaidi ni 3.
- certiorari, an order by a higher court directing a lower court to send the record in a given case for review;
- mandamus, an order issued by a higher court to compel or to direct a lower court or a government officer to perform mandatory duties correctly;
- prohibition, directing a subordinate to stop doing something the law prohibits;
- habeas corpus, demands that a prisoner be taken before the court to determine whether there is lawful authority to detain the person;
- quo warranto, requiring a person to show by what authority they exercise a power.
- procedendo, to send a case from an appellate court to a lower court with an order to proceed to judgment) mtanisamehe sizijui Kiswahili chake.
Tukisema Tanzania hatuna kabisa any serious and credible opposition, viongozi wote wa upinzani mliopo ni wababaishaji tuu, na vyama vyote vya upinzani ni vyama vya upinzani uchwala, itakuwa ni kuwaonea?.
Kwa mwendo huu, acha tuu CCM itutawale milele, na wapinzani wanaojitambua na kuamua politics ndio full professional yao, tusiwalaumu wakijiunga CCM, wanaona mbali.
Kama haya yote unayaona, kwa nini hizo hatua usianze nazo wewe au na wewe pia kwa vile ni mtu wa Ujiji, hivyo unafanya kile Watu wa Ujiji wanachoita Surat Zubaa?.
Matokeo ya upinzani legelege na upinzani uchwara huu, tutayaona baada ya uchaguzi mkuu wa 2020, baada ya serikali ya Magufuli kugundua upinzani uliopo ni hakuna kitu, inakwenda kuufuta rasmi kwenye uchaguzi huo kwa CCM kukomba kila kitu, kwa kukomba mitaa yote, kata zote, majimbo yote ya huku bara na kuwa na Bunge la chama kimoja CCM.
Muda huo ukifika, upinzani wakagalagazwa, naombeni sana tusije anza kutafuta mchawi. Mchawi wa upinzani Tanzania ni wapinzani wenyewe!.
Paskali.
Cape Town.
RSA
Rejea kuhusu Udikiteta
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's ...
Udikiteta ni Dhana Tuu or ni Real?. "Lets Call A Spade A Spade ...
Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni ...
Udikiteta Tanzania: Je, Rais Magufuli kweli ni dikiteta au ...
Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
Kitendo cha Kukiuka Ilani ya CCM Bila Kikao Chochote, Sio ...
Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili ...
CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue ...
UDIKTETA: Hongera Sana TWAWEZA, TZ hakuna Udikteta! Ila ...
Kutoonyesha Hisia/Huruma wala pole za sauti si Udikteta bali ni ...
Fungia Fungia Magazeti: Ni Udikiteta wa Serikali Magufuli ...
CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala ...
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Kanda ya Ziwa na kuongea kwa ukali: Ukali wa Rais Magufuli ni ...
Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A ...
Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni ...