oupinzani ni dhaifu mno, mpinzani pekee mwenye nguvu ni Tundu Lisu, Tatizo hapati sapoti kutoka kwa wenzake
Wenzake akina nani? Tatizo la nchi hii liko kwa wananchi siyo wapinzani. Wananchi hawajielewi.
Hao unaowaita wapinzani ni watu waliojitokeza mbele kwa lengo la kuwahamasisha, kuwasemea na kuwaongoza wananchi kuukataa udhalimu na kuitafuta haki. Sasa kama wananchi wenyewe wamelala, unataka Zitto na wenzake wafanye nn?