Wacha BM aingie ili anayejiona kuwa yeye ni jiwe atupigie magoti kuomba kura zetu na hatutampa.wanasiasa wana tabia za kimalaya hawana msimamo bahati nzuri tunaopiga kura ni sisi tunawajua vizuri wote wanafanana kitu kimoja wanakuja upinzani si kwa sababu wanapenda mageuzi bali waliamini kuwa wanastahili kuwa marais wa Tanzania na kwa sababu wapinzani wenyewe akili zao kama za kina Zitto wanajithidi kuwapamba waoneka wanamageuzi.
Zitto alikuwa anadai muda mrefu anataka kuwa mgombea urais kinachomzuia sasa hivi ni nini wakati umri unamruhusu au kwa sababu kipindi kile alikuwa anatumiwa kuvuruga upinzani?
Yaani hata hamjitambui nyie, can't you opposition see that Membe is a puppet, and so is Zitto? Kweli nchi hii haipigi hatua kisiasa coz upinzani umejaa viazi.Hahahahah KUMEKUCHA
I knew it
Membe - ACT
ACT+Chadema= Tutawajulisha
Mkuu tindo ,uliyoyaandika yote ndio hali halisi. Mungu Mwenyezi akubariki sana sana na kongole sana sana kwa kuliona hili.Zito hana ujanja lazima akubali masharti ya Membe. ACT ni chama kilichoundwa kwa ufadhili wa JK, Membe, Mwigulu nk. Na lengo lilikuwa ni kupambana na cdm. Baada ya Magufuli kuingia madarakani amekata supply yote ya kundi la kina JK, Membe nk. Hapo ndio uadui wa Zito na serikali ya ccm chini ya Magufuli ulipoanzia.
Zito anajua fika cdm ndio yenye wapiga kura wengi wa upinzani, kutokana na ukweli huu, Membe anamuagiza Zito kuwashawishi cdm ili waungane kisha Membe awatumie wapinzani kama ngazi. Ila tatizo liko kwetu sisi wapiga kura hasa wa cdm, kwani bado tunaugulia uhuni wa Lowassa, na hatuko tayari kurudia kosa. Na tumeapa kuwa hatuko tayari tena kusupport muhuni yoyote toka ccm...
Hahahahah KUMEKUCHA
I knew it
Membe - ACT
ACT+Chadema= Tutawajulisha
Anachotaka Zito ni kitu kimoja tu fedha ya ruzuku kupitia kura za urais anajua Membe atapata kura japo laki sita kwa hiyo kuna mshiko wa ruzuku hapo. Lakini pia anajua Membe anazo fedha kama Lowassa kwa hiyo ananyatia nyatiaBinafsi zito Nina wasi wasi nae mnooo. Kwanini anang'ang'ania Sana kumleta huyo bwana upinzani?. Mambo ya kugawa kura za wapinzani haya.
Lowasa alisaidia kuongeza idadi ya wabunge Chadema.
Kama unakumbukumbu Mbowe aliwahi pata kura laki tano.
Wapinzani wakimchukua member wamejimaliza wenyewe, wakumbuke ya lowasa, nimerudi nyumbani
Chadema iliundwa kwa ufadhili wa nani?rejea uchaguzi wa mwaka 2015Zito hana ujanja lazima akubali masharti ya Membe. ACT ni chama kilichoundwa kwa ufadhili wa JK, Membe, Mwigulu nk. Na lengo lilikuwa ni kupambana na cdm. Baada ya Magufuli kuingia madarakani amekata supply yote ya kundi la kina JK, Membe nk. Hapo ndio uadui wa Zito na serikali ya ccm chini ya Magufuli ulipoanzia.
Zito anajua fika cdm ndio yenye wapiga kura wengi wa upinzani, kutokana na ukweli huu, Membe anamuagiza Zito kuwashawishi cdm ili waungane kisha Membe awatumie wapinzani kama ngazi. Ila tatizo liko kwetu sisi wapiga kura hasa wa cdm, kwani bado tunaugulia uhuni wa Lowassa, na hatuko tayari kurudia kosa. Na tumeapa kuwa hatuko tayari tena kusupport muhuni yoyote toka ccm...
Chadema bila Lowassa wangepata kura ngapi?wabunge wangapi?Lowasa angegombea chama kama UDP angepata hizo kura milioni 6?!
Ngoja tusubiri tuone Mbowe atapata kura ngapi?Mbowe alipata kira laki 6 na hapo unaongelea 2005.
Wewe endelea kuzungusha mikonoRais wetu ni Lissu!
BM labda ajiunge kama mwanachama wa kawaida tu
Upinzani muungane kwenye uchaguzi Mumpasue JIWE kati kati maana hata CCM watampigia kura Membe!!Kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe amewataka wananchi kuondoa wasiwasi juu ya Bernard Membe endapo akipokelewa na kupewa nafasi kugombea urais ndani ya vyama vya upinzani.
Mheshimiwa Zitto Kabwe amesema upinzani kumpokea Membe wakati huu siyo sawa na kilichofanyika mwaka 2015 kwani Bernard Membe hajagombea Urais ndani ya CCM na kukatwa bali Bernard Membe amefukuzwa..
Nikwambie tu Membe hawezi simamishwa na upinzani kugombeaMbona zito anakuwa na wasiwasi na mgombea wao? Wamlete tumkanyage kwa hoja, akipata hata 2% ya kura nahamia Congo.
Na mimi kwa tume yenu hii iliyojaa Boot Lickers akipata hata asilimia moja, nahamia Malawi.Mbona zito anakuwa na wasiwasi na mgombea wao? Wamlete tumkanyage kwa hoja, akipata hata 2% ya kura nahamia Congo.