Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,428
- 11,837
Lowasa alisaidia kuongeza idadi ya wabunge Chadema.
Kama unakumbukumbu Mbowe aliwahi pata kura laki tano.
Upinzani sio kwasababu ya mtu. Imetokea kura za maruhani watu walimpigia nani??? JE wajinga walijifunza?? Gogo can do better than flesh and blood. WATCHMbona zito anakuwa na wasiwasi na mgombea wao? Wamlete tumkanyage kwa hoja, akipata hata 2% ya kura nahamia Congo.
Zitto anatofauti gani na Mbowe aliemkaribisha Eddo chadema, mpaka Zitto anaongea hivo huwezi jua kashamalizana na Mbowe.Membe=MVUTOLESS
Zitto yuko kazini kama Kawaida yake,enzi zile Zitto anafukuzwa Chadema waliweka mpk transactions zake za bank akiingiziwa pesa na wakina Jack Zoka(huyu mwamba nadhani mnamfahamu vyema).
Na Zoka na Membe ni ofisi 1 hao.
Mkuu Hayupo wa kumtoa magufuli ikulu labda jua lihame uelekeo kuanzia keshoHapo mnataka kuleta wasaliti na sio mabadiliko magugufuli anaweza kutolewa ikulu bila tatizo. Lakini sio kuweka mbwa.
forget it.Hahahahah KUMEKUCHA
I knew it
Membe - ACT
ACT+Chadema= Tutawajulisha
Umeelezea vizuri.Katika hili tafakuri yangu ipo hivi:
1. Membe hana ushawishi mkubwa, na hawezi kuusaidia upinzani kwa kiwango kikubwa kufikia athari chanya zilizoletwa na Lowasa, ikiwemo kuongezeka kwa kura za upinzani na hadi kupata wabunge. Hili hata Zitto Kabwe na Maalim Seif wanalifahamu.
2. Malengo ya ACT-Wazalendo katika uchaguzi huu sio kuchukua dola, ni kupata wabunge wengi. kwa hiyo, wakimpata Membe anaweza akawasaidia kuongeza wabunge hasa ukanda wa kusini anakotokea...
Umenikumbusha mbali.Membe=MVUTOLESS
Zitto yuko kazini kama Kawaida yake,enzi zile Zitto anafukuzwa Chadema waliweka mpk transactions zake za bank akiingiziwa pesa na wakina Jack Zoka(huyu mwamba nadhani mnamfahamu vyema).
Na Zoka na Membe ni ofisi 1 hao.
Mkuu Hayupo wa kumtoa magufuli ikulu labda jua lihame uelekeo kuanzia kesho
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mimi nakuambia hayupo wa kumtoa magufuli,makamanda mnakwama wapi? Porojo zenu za mitandaoni sio zenye uhalisia ukilinganisha na huku uraianiMagufuli kwanini asitoke?
Uraiani wapi hakuna anayempenda huyo bwegeMimi nakuambia hayupo wa kumtoa magufuli,makamanda mnakwama wapi? Porojo zenu za mitandaoni sio zenye uhalisia ukilinganisha na huku uraiani
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mimi nakuambia,itajulikana octoba,baadae mje na hoja ya kuibiwa kura na kutaka maandamano,tutawavunja miguu sanaUraiani wapi hakuna anayempenda huyo bwege
Tutaona L7 km bwege wa Taifa atarudiki ikulu.Mimi nakuambia,itajulikana octoba,baadae mje na hoja ya kuibiwa kura na kutaka maandamano,tutawavunja miguu sana
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hakuna wa kumtoa kwa sababu atatumia dola wakati wa kura. Ingepigwa ngoma kwenye uwanja ulio sawa Magufuli anashindwa mapema sana. Na kungekuwa tena na kitu kama mdahalo.... mama wee! Angetia aibu.Mimi nakuambia hayupo wa kumtoa magufuli,makamanda mnakwama wapi? Porojo zenu za mitandaoni sio zenye uhalisia ukilinganisha na huku uraiani
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Lowassa hata mimi sikuwa na namkubali lakini nikuambie bila shaka yoyote kuwa kilichomrudisha CCM ni ugonjwa. Lowassa angekuwa na afya yake kama yule wa 2010 asingerudi CCM na safari hii huenda wangeunganisha nguvu na Membe.Zitto hajitambui, kiherehere na ujuaji mwingi ndio dira yake.
Somo walilolipata wapinzani mwaka 2015 linatosha