Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,594
- 25,719
Upo sahihi lakini ni kweli tunatakiwa tuwe na upungufu wa sukari kila mwaka Tanzania na kwa nini hicho kitu Nchi zingine majirani zetu hakuna na wana bei pungufu kuliko sisi na ni hao hao Ilovo...Sukari nayo ni addiction mzee
Ova