Mchawi anamjua mchawi mwenzake........ukimuangalia usoni zitto utajua kuwa anaroho mbaya na mchawi achilia mbali kujitapa kuwa yeye ni mchawi
Na wewe weka picha yako tuamue!ukimuangalia usoni zitto utajua kuwa anaroho mbaya na mchawi achilia mbali kujitapa kuwa yeye ni mchawi
Mkuu najua humu JF wataifuta lkn Tweeter ipo na message imeshafika.Message sent
ukimuangalia usoni zitto utajua kuwa anaroho mbaya na mchawi achilia mbali kujitapa kuwa yeye ni mchawi
Mkuu najua humu JF wataifuta lkn Tweeter ipo na message imeshafika.
Mheshimiwa kuna wakati ukimya huzungumza . Sitarajii vyombo vya usalama viwe vinatoa taarifa za kina kwani kufanya hivyo kunaweza kutishia usalama wa ndugu yetu aliyetekwa nyara. Nakusihi tuwawache wafanye kazi yao.
kama uchawi wake utawezesha MO apatikane ni uchawi wa tija kuliko kujiita mlokole kumbe unapoteza watu! #Rudisha Moukimuangalia usoni zitto utajua kuwa anaroho mbaya na mchawi achilia mbali kujitapa kuwa yeye ni mchawi