Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe apoteza jimbo la Kigoma Mjini

Ukirejea majadiliano yetu ya awali utabaini kuwa unajitahidi kujiondoa mwenyewe kwenye mjadala. Mfano wa Trump nimeutoa kujibu mifano yako ya nchi za nje, unayopenda kutumia badala ya uhalisia wa nchini kwetu, kwa sababu uchaguzi uliomalizika siyo wa kwanza hapa.

Takwimu nilizokuwa nimemtoa hazihusiani kabisa na hicho unachotaka wanaJF wakuelewe, ambacho hutumika kwenye tafiti za kisayansi.

Kwamba, siasa za uchaguzi, kiuhalisia ni kama maji yayotiririka ambayo ufuata mkondo wowote yakielekezwa lakini yakilazimishwa yatafurika na kuleta athari. Na ndicho kilichotokea Uchaguzi Mkuu huu uliomalizika. Lissu, mgombea Urais kupitia CHADEMA, alitaka kulazimisha wapiga kura kuamini upuuzi wake, nao wamemjibu. Nawe umekiri udhaifu wake.

Ni kweli most voters expected an incumbent to win by a narrow margin possibly 60:40 ratio or rather 70:30!! But 85:15? No one saw it coming to be honest. Kwa hii hoja napenda kurudia na kusisitiza kuwa viongozi wa CHADEMA walifanya makosa makubwa kumsimamisha Lissu kama mgombea wao wa Urais wakati wanajua:
√ ni mtu jeuri, mwenye majivuno, haambiliki na mbinafsi wa kutupwa;
√ hana na hatakuwa na nguvu ya kisiasa ya Lowassa iliyokipa CHADEMA wabunge na madiwani wengi kiasi cha kuongoza Halmashauri ya miji mikubwa na kuwa chama kikuu cha upinzani; na
√ alizunguka dunia kuinanga nchi yake itengwe na Jumuiya ya Kimataifa. Kila mpiga kura alilijua hilo.

Itoshe kihitimisha kuwa vyama vya upinzani vijifunze kwa makosa yao wenyewe yaliyotendeka katika Uchaguzi Mkuu uliomalizika km kutokushirikiana na badala yake kuanza kuumbuana hadharani.
Leo ndio nimegundua nchi yetu ina watu wa ajabu kabisa. Kma lissu ndio hafai vp vyama vingine vyenye wagombea wastaarabu kma Membe ana madiwani wangapi? Lipumba je? Mbatia sio moderate ilikuaje kaanguka?

Maalim naye kaanguka kwa sababu ni mgombea mbaya au ni Lissu pekee ndio mbaya?

Kma wapinzani wote wameangushwa ina maana kuna common problem na sio specific to Lissu only? Yaani CHADEMA ikianguka ni sababu ya Lissu ila vyama vingine una maoni gani? Mbadala wa CHADEMA ni upi kwa upinzani ili wajifunzie huko kwa wagombea waliowekwa?

Kuhusu Lissu kuwa na ushawishi kma Lowassa ni subjective zaidi. Maadam kampeni za Lissu zilikua energetic kuliko wapinzani wengine wote naweza conclude alikua na ushawishi mkubwa sana. Sadly uchaguzi umeamuliwa na Tume na sio wapiga kura, ssa kma huwezi liona hilo basi tusemw tuna raia wapumbavu kuliko wote duniani.
 
Leo ndio nimegundua nchi yetu ina watu wa ajabu kabisa. Kma lissu ndio hafai vp vyama vingine vyenye wagombea wastaarabu kma Membe ana madiwani wangapi? Lipumba je? Mbatia sio moderate ilikuaje kaanguka?

Maalim naye kaanguka kwa sababu ni mgombea mbaya au ni Lissu pekee ndio mbaya?

Kma wapinzani wote wameangushwa ina maana kuna common problem na sio specific to Lissu only? Yaani CHADEMA ikianguka ni sababu ya Lissu ila vyama vingine una maoni gani? Mbadala wa CHADEMA ni upi kwa upinzani ili wajifunzie huko kwa wagombea waliowekwa?

Kuhusu Lissu kuwa na ushawishi kma Lowassa ni subjective zaidi. Maadam kampeni za Lissu zilikua energetic kuliko wapinzani wengine wote naweza conclude alikua na ushawishi mkubwa sana. Sadly uchaguzi umeamuliwa na Tume na sio wapiga kura, ssa kma huwezi liona hilo basi tusemw tuna raia wapumbavu kuliko wote duniani.

Katika hoja zilizo kwenye bandiko lako hilo, jipya ambalo ninajibu ni Kma wapinzani wote wameangushwa ina maana kuna common problem na sio specific to Lissu only?

Unajua wazi nguvu ya vyama vya upinzani, kimoja kimoja, ilivunjwa kwenye uchaguzi wa 2015 ambapo, kupitia UKAWA, CHADEMA kikajijenga kama chama kikuu cha upinzani.

Baada ya Uchaguzi wa 2015, viongozi wa CHADEMA badala ya kukijenga chama cha siasa, kwa kuwa kilikuwa na uwezo kifedha, viongozi wake wametumia uwezo huo kujijenga binafsi, na ushahidi usio na mashaka upo.

Ukaja Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, CHADEMA, kama chama kikuu cha upinzani kikasusia, na vyama vingine vikuu vikaiga, kumbe ndio kujichimbia kaburi. Laiti visingesusia baadhi ya vyama vingeweza kuwa vimeweka mizizi kama moja ya msingi kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Wakati wa kampeni, unajua wazi kuwa karibu vyama vyote vya upinzani vilifunikwa na ujio wa Lissu, kama mgombea Urais. Wewe nawe unakiri kampeni za Lissu zilikua energetic kuliko wapinzani. Ni kampeni hizo za Lissu zilizofuta nafasi finyu vyama vya upinzani wagombea wao kuchaguliwa ngazi zote. Kampeni zake zilichochea chuki na kuhamasisha vurugu. Hakuna sababu ya kurejea lugha na maneno aliyotumia kwenye kauli zake tata.
 
Mgombea wa CCM jimbo la Kigoma mjini, Kilumbe Ng'enda ametangazwa mshindi baada ya kupata kura 27, 688 huku Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo akipata kura 20, 600. Akitangaza matokeo hayo msimamizi wa uchaguzi, jimbo hilo Mwailwa Pangani amesema kura zilizopigwa ni 50268.

Zitto: Licha ya kuingiza kwenye vituo kura zilizokwishapigwa zipatazo 15,850 (kura 50 kila Kituo cha kupigia kura ) nimemshinda Mgombea wa CCM kwa kura 5218. Hata hivyo Mgombea wa CCM katangazwa mshindi kwa tofauti ya kura 7000. Tunafungua ukurasa Mpya wa mapambano ya demokrasia nchini.- Zitto Kabwe.
Upumzike sasa
 
Leo ndio nimegundua nchi yetu ina watu wa ajabu kabisa. Kma lissu ndio hafai vp vyama vingine vyenye wagombea wastaarabu kma Membe ana madiwani wangapi? Lipumba je? Mbatia sio moderate ilikuaje kaanguka?

Maalim naye kaanguka kwa sababu ni mgombea mbaya au ni Lissu pekee ndio mbaya?

Kma wapinzani wote wameangushwa ina maana kuna common problem na sio specific to Lissu only? Yaani CHADEMA ikianguka ni sababu ya Lissu ila vyama vingine una maoni gani? Mbadala wa CHADEMA ni upi kwa upinzani ili wajifunzie huko kwa wagombea waliowekwa?

Kuhusu Lissu kuwa na ushawishi kma Lowassa ni subjective zaidi. Maadam kampeni za Lissu zilikua energetic kuliko wapinzani wengine wote naweza conclude alikua na ushawishi mkubwa sana. Sadly uchaguzi umeamuliwa na Tume na sio wapiga kura, ssa kma huwezi liona hilo basi tusemw tuna raia wapumbavu kuliko wote duniani.

Acha kutetea ujinga, Tundu Lisu is loser, hajawahi kufanikiwa chochote popote siajabu katika maisha yake, he is not intelligent sema ni mzuri kwa kudanganya watu kama wewe, ona sasa kaiuwa chadema, hata Mkoa wa Kilimanjaro ambao ndiyo uliokuwa ngome ya chadema kihistoria wamemkataa Tundu Lisu, usitake kusingizia Tume, kama ni kweli Tume imepoka ushindi wa Tundu Lisu Mkoa wa Kilimanjaro mbona hakuna Mchaga hata mmoja aliyeprotest? Wachaga ni Wapinzani Kihistoria na hawawezi na hawajawahi kukubali Ushindi wao uibwe tu na wakae kimya, sasa kwa nini kuanzia Hai, Moshi mjini na kwingineko hakuna malalamiko yoyote yale ya kuibiwa kura? Na huko kote CCM imeshinda, kwa nini?

Wachaga wamemkataa Tundu Lisu kwa sababu hawamtaki na ndio maana chadema imekufa rasmi, ...
 
Kutokana na laana na manung'uniko ya watu, hili Bunge litakumbwa na mikosi mpaka watajuta.
Wee ota tu. Litakuwa bunge la hoja zenye mashiko, lenye kujadiri mipango ya kitaifa na sio mawazo ya mabeberu. Tuko pamoja tulijenge taifa letu. Achana na hao wajasiliamali
 
'Watanzania wanaoishi Mkoa wa Kilimanjaro' wamemkataa Tundu Lisu kwa sababu hawamtaki na ndio maana chadema imekufa rasmi, ...
Watanzania hawa wamemkataa Lissu, kwa sababu Lissu aliwadhalilisha wakati wa kampeni! Bila aibu aliwaambia kuwa akipata madaraka atahakikisha anawarejeshea madaraka kama ilivyokuwa wakati wa Ukoloni! Yaani Lissu aliwaona ndugu zetu hawa kuwa hawana uwezo wa kufikiri tofauti kati ya enzi ya Ukoloni na enzi baada ya uhuru!!

Pia kitendo cha Lissu kututakia mabaya watanzania kiliwakera pia! Ndugu zetu wanauelewa wa mambo yanayotokea duniani hivyo kitendo cha Lissu kuapa kuwa lazima Tanzania iwekewe vikwazo, wakati wanajua vikwazo vitawaumiza watanzania wote wakati yeye Lissu atakuwa Ubelgiji na familia yake wanakunywa 'mvinyo' kiliwakera zaidi.

Yangu ni hayo.
 
Upumzike sasa
Hapana sasa ndiyo aanze kutumia elimu yake ya Uchumi kuwasaidia wanakigoma na watanzania kwa ujumla kwa kuanzia akatumie elimu yake kusaidia kuipaisha Tanzania kiuchumi kwa kushirikiana na taasisi za kiserikali zilizopewa jukumu hilo. Hii ni kwa sababu, sasa atakuwa na muda nzuri wa kutafakari kwani hataangaika kwenda kutatua kero za wananchi!
 
Acha kutetea ujinga, Tundu Lisu is loser, hajawahi kufanikiwa chochote popote siajabu katika maisha yake, he is not intelligent sema ni mzuri kwa kudanganya watu kama wewe, ona sasa kaiuwa chadema, hata Mkoa wa Kilimanjaro ambao ndiyo uliokuwa ngome ya chadema kihistoria wamemkataa Tundu Lisu, usitake kusingizia Tume, kama ni kweli Tume imepoka ushindi wa Tundu Lisu Mkoa wa Kilimanjaro mbona hakuna Mchaga hata mmoja aliyeprotest? Wachaga ni Wapinzani Kihistoria na hawawezi na hawajawahi kukubali Ushindi wao uibwe tu na wakae kimya, sasa kwa nini kuanzia Hai, Moshi mjini na kwingineko hakuna malalamiko yoyote yale ya kuibiwa kura? Na huko kote CCM imeshinda, kwa nini?

Wachaga wamemkataa Tundu Lisu kwa sababu hawamtaki na ndio maana chadema imekufa rasmi, ...
Wewe una inferority complex kubwa sana mbele ya wachagga. Ina maana lissu kashindwa Moshi tu?
Mkuu hao wachagga wamekuzidi kila kitu utakufa tu kwa chuki na wivu. Piga kazi uinue ukoo wenu ila kuchukia kabila fulani haiwezi kukuinua ukoo wenu unaokufa kwa umaskini huko Lwenzera!!
 
Wewe una inferority complex kubwa sana mbele ya wachagga. Ina maana lissu kashindwa Moshi tu?
Mkuu hao wachagga wamekuzidi kila kitu utakufa tu kwa chuki na wivu. Piga kazi uinue ukoo wenu ila kuchukia kabila fulani haiwezi kukuinua ukoo wenu unaokufa kwa umaskini huko Lwenzera

Wewe una inferority complex kubwa sana mbele ya wachagga. Ina maana lissu kashindwa Moshi tu?
Mkuu hao wachagga wamekuzidi kila kitu utakufa tu kwa chuki na wivu. Piga kazi uinue ukoo wenu ila kuchukia kabila fulani haiwezi kukuinua ukoo wenu unaokufa kwa umaskini huko Lwenzera!!

Unaleta majibu rahisi kwenye maswali muhimu, kwa nini chadema imeshindwa vibaya Kilimanajaro ambayo ndiyo ngome yake Kihistoria?
 
Unaleta majibu rahisi kwenye maswali muhimu, kwa nini chadema imeshindwa vibaya Kilimanajaro ambayo ndiyo ngome yake Kihistoria?
Imeshindwa koteee... Kwahyo sababu iliyofanya waanguke Tarime ni hiyo hiyo kwa Moshi na nchi nzima. Ssa Moshi umeiona peke yake?

Kma ulikua hujui ngome ya CHADEMA ilikua Mara na Mbeya/Songwe kuliko hta huko kaskazini. Ssa kma hujiulizi kote wameanguka ina maana inakuuma sana kwa wachagga tu.

Tafuta hela ukomboe ukoo wako unaokunywa maji ya tope huko Buhigwe kuliko kuwatolea mapovu wachagga ambao huwezi wafikia hta miaka 100.
 
Imeshindwa koteee... Kwahyo sababu iliyofanya waanguke Tarime ni hiyo hiyo kwa Moshi na nchi nzima. Ssa Moshi umeiona peke yake?

Kma ulikua hujui ngome ya CHADEMA ilikua Mara na Mbeya/Songwe kuliko hta huko kaskazini. Ssa kma hujiulizi kote wameanguka ina maana inakuuma sana kwa wachagga tu.

Tafuta hela ukomboe ukoo wako unaokunywa maji ya tope huko Buhigwe kuliko kuwatolea mapovu wachagga ambao huwezi wafikia hta miaka 100.

Unaelewa ninachomaanisha lkn ? Mkoa wa Kilimanjaro ni ngome ya chadema, na haijawahi kutokea chadema ikashindwa vibaya hivyo Mkoa wa Kilimanjaro, huko kwingine inaeleweka lkn siyo Mkoa wa Kilimanjaro, Kilimanjaro ndiyo huibeba chadema siku zote, hata Kampeni za tundu aliwekeza huko zaidi klk ssehemu nyingine yoyote na ndiyo maana alienda zaidi ya mara 3 lkn bado matokeo ni mabaya kihistoria, sasa kwa nini?
 
Huko ni kutapatapa, hakuna lolote! apambane na hali yake. Alitegemea nini kumchukua Membe ili kumaliza upinzani tz. Malipo ni hapa hapa duniani

Mwaka 2015 alikuwa anasema Lowassa fisadi, mchagueni Ana au Magufuli, alivuruga upinzani, 2020 kamuweka Membe ambaye hata jimbo lake la Mtama aliliweka rahani, NNAUYE kapita bila kupingwa!!! Ubinafsi tuuu, too much egoistic. Ni Magu mpaka 2035.
 
Back
Top Bottom