kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,732
- 13,214
Kama senior nyerere alikubali chadema ni habari ya Tanzania na dunia wewe hapa jamiiforum hatapicha yako haipo unatoa ushauri
Kwani uwepo wa maalim seif ndio ulifanya Act kutokuwa mamluki wa ccm kama ambavyo sasa mnavyoiona?
We sema kama umeandika kumtafutia kiki tu otherwise sioni lamaana kwenye bandiko lako.Tatizo katika nchi hii Kuna kundi linajiona Lina hatimiliki ya upinzani kwenye siasa za Tanzania, wanawaona wapinzani wote ni mamluki wa watawala isipokuwa wao tu ni wazi kabisa kwa sasa hivi kwamba CHADEMA wameshindwa kufanya siasa bila kumtaja mwamba Zitto.
Tokea miaka ya 2009 Chadema wamewaaminisha Wafuasi wao kwamba Zitto ni CCM na wao ndo wapinzani, fanyeni siasa zenu.
Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:
1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations
2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?
3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi
Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:
1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM
Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki
Inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?
1. Yuko wapi Dkt. Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi
2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?
Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?
By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?
Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.
View attachment 2167787
Chadema ya zamani si ya sasa, wooooote ni wamefikia mahali ni Asante Mhe. Rais., mbowe alichukua muda tu kidogo lakini tunasema wote ni jora moja., Sasaiv mbowe na Lissu wanaeza kwenda Ikulu muda wowote mama akiwaitaTatizo katika nchi hii Kuna kundi linajiona Lina hatimiliki ya upinzani kwenye siasa za Tanzania, wanawaona wapinzani wote ni mamluki wa watawala isipokuwa wao tu ni wazi kabisa kwa sasa hivi kwamba CHADEMA wameshindwa kufanya siasa bila kumtaja mwamba Zitto.
Tokea miaka ya 2009 Chadema wamewaaminisha Wafuasi wao kwamba Zitto ni CCM na wao ndo wapinzani, fanyeni siasa zenu.
Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:
1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations
2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?
3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi
Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:
1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM
Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki
Inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?
1. Yuko wapi Dkt. Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi
2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?
Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?
By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?
Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.
View attachment 2167787
Kwa hio Chadema ina baraka ZOTE za ku chukua dola!!!?Nyerere 1995: Vyama vyote vya Upinzani vitakufa lakini Chadema itadumu!
Zitto unamtambua wewe ambaye unapata shibe kupitia kwake.Tatizo katika nchi hii Kuna kundi linajiona Lina hatimiliki ya upinzani kwenye siasa za Tanzania, wanawaona wapinzani wote ni mamluki wa watawala isipokuwa wao tu ni wazi kabisa kwa sasa hivi kwamba CHADEMA wameshindwa kufanya siasa bila kumtaja mwamba Zitto.
Tokea miaka ya 2009 Chadema wamewaaminisha Wafuasi wao kwamba Zitto ni CCM na wao ndo wapinzani, fanyeni siasa zenu.
Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:
1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations
2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?
3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi
Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:
1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM
Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki
Inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?
1. Yuko wapi Dkt. Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi
2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?
Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?
By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?
Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.
View attachment 2167787
Hao ndiyo wenzao wanaotegemea payroll kutoka lumumbaZitto aungane na TLP pamoja na CUF
Umemaliza kaziCHADEMA wapo serious na mambo ya msingi
Naona siku hizi akili zimeanza kukurudia taratibuNyerere 1995: Vyama vyote vya Upinzani vitakufa lakini Chadema itadumu!
Tena la kutupwaZitto ni tapeli la kisiasa, period.
Zitto ni mchumia tumbo tu zaidi ya hilo hana lolote.Zitto ana kitu wanakiona ambacho pengine hata Zitto mwenyewe hajui
Sasa mpinzani wa kweli angeenda chama ambacho ni mamluki wa ccm?Wapemba kwa asili sio wafuasi wa ccm, Maalim Seif alikuwa rais mfano halisi. Na hakuna ubishi Maalim Seif alikuwa mpinzani wa kweli wa ccm. Hawa wengine hawana misimamo bayana kama ilivyokuwa Maalim Seif hivyo ni rahisi kuburuzwa na Zito kwa ushawishi wa vyeo. Na fedha.
Sasa mpinzani wa kweli angeenda chama ambacho ni mamluki wa ccm? Mbona inashangaza? Au ndio maana akakubali na kile cheo ambacho mlitegemea atakikataa?
Kwani Zitto yupo ccm au mnasema anatumika na ccm? Sasa na Maalim seif ilikuaje akaenda kujiunga na mamluki wa ccm na tena akakubali cheo ambacho mlitegemea hatokikubali kwa sababu ya kilichotokea kwenye uchaguzi ila wapi Maalim aliamua kukikubali hicho cheo.Toka ameondoka ccm hajawahi kurejea. Labda unamzungumzia Maalim Seif wa Ngamiani.