Zitto Kabwe aliwafanyia kitu gani CHADEMA?

Tatizo katika nchi hii Kuna kundi linajiona Lina hatimiliki ya upinzani kwenye siasa za Tanzania, wanawaona wapinzani wote ni mamluki wa watawala isipokuwa wao tu ni wazi kabisa kwa sasa hivi kwamba CHADEMA wameshindwa kufanya siasa bila kumtaja mwamba Zitto.

Tokea miaka ya 2009 Chadema wamewaaminisha Wafuasi wao kwamba Zitto ni CCM na wao ndo wapinzani, fanyeni siasa zenu.

Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:

1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations

2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?

3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi

Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:

1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM

Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki

Inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?

1. Yuko wapi Dkt. Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi

2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?

Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?

By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?

Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.

View attachment 2167787
Kuna mtu kamzuia kufanya kazi yake?

Huo ni uchambuzi mdogo mdogo unaomuhusu.

Huwezi zuia asichambuliwe, ccm wenyewe mmemchambua sana mbowe hadi kumfunga kuna wanachadema walio wazuia?

Iweje wewe uje kumkingia kifua asichambuliwe?
 
Tatizo katika nchi hii Kuna kundi linajiona Lina hatimiliki ya upinzani kwenye siasa za Tanzania, wanawaona wapinzani wote ni mamluki wa watawala isipokuwa wao tu ni wazi kabisa kwa sasa hivi kwamba CHADEMA wameshindwa kufanya siasa bila kumtaja mwamba Zitto.

Tokea miaka ya 2009 Chadema wamewaaminisha Wafuasi wao kwamba Zitto ni CCM na wao ndo wapinzani, fanyeni siasa zenu.

Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:

1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations

2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?

3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi

Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:

1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM

Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki

Inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?

1. Yuko wapi Dkt. Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi

2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?

Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?

By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?

Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.

View attachment 2167787

Chadema wako busy na katiba mpya ndugu:

IMG_20220329_083042_871.jpg
 
Ila ni kweli Chadema hujiona kuwa wao ndio wapinzani wa kweli pekee Tanzania na vyama vyengine vyote ni mamluki wa CCM, nakumbuka kabla ya Chadema na ACT azalendo kushirikiana ile 2020 huko nyuma Lissu aliwaita ACT kuwa wanatumika na CCM na kusema ACT hawakuwahi kuwa wapinzani na kumtaja hadi marehemu Anna mgwila kuwa alipewa kile cheo baada ya kuifanya kazi ya ccm 2015 ila nikashangaa 2020 wakashirikiana na hao hao.

Walishirikiana na ACT kwasababu ya uwepo wa Maalim Seif na sio zaidi ya hapo.
 
Tatizo katika nchi hii Kuna kundi linajiona Lina hatimiliki ya upinzani kwenye siasa za Tanzania, wanawaona wapinzani wote ni mamluki wa watawala isipokuwa wao tu ni wazi kabisa kwa sasa hivi kwamba CHADEMA wameshindwa kufanya siasa bila kumtaja mwamba Zitto.

Tokea miaka ya 2009 Chadema wamewaaminisha Wafuasi wao kwamba Zitto ni CCM na wao ndo wapinzani, fanyeni siasa zenu.

Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:

1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations

2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?

3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi

Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:

1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM

Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki

Inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?

1. Yuko wapi Dkt. Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi

2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?

Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?

By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?

Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.

View attachment 2167787
Alitaka kuwa mwenyekiti,kitunambacho ni dhambi kubwa sana chadema
 
Tatizo katika nchi hii Kuna kundi linajiona Lina hatimiliki ya upinzani kwenye siasa za Tanzania, wanawaona wapinzani wote ni mamluki wa watawala isipokuwa wao tu ni wazi kabisa kwa sasa hivi kwamba CHADEMA wameshindwa kufanya siasa bila kumtaja mwamba Zitto.

Tokea miaka ya 2009 Chadema wamewaaminisha Wafuasi wao kwamba Zitto ni CCM na wao ndo wapinzani, fanyeni siasa zenu.

Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:

1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations

2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?

3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi

Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:

1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM

Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki

Inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?

1. Yuko wapi Dkt. Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi

2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?

Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?

By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?

Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.

View attachment 2167787
Haihitaji miwani kuuona unafiki wa Zitto, achilia mbali historia ya wapinzani wa Kigoma mara nyingi wamekua wanafiki sana ukianzia kwa Dr. Aman Kaburu

Zitto ni mnafiki na ni mamluki wa CCM ipo hivyo Bro. haiwezi tena kubadilika unafiki upo kwenye damu na ni ASILI ya watu wa huko tunawajua vizuri.

Mimi ni jirani zangu huo ndio utaratibu wao
 
Tatizo katika nchi hii Kuna kundi linajiona Lina hatimiliki ya upinzani kwenye siasa za Tanzania, wanawaona wapinzani wote ni mamluki wa watawala isipokuwa wao tu ni wazi kabisa kwa sasa hivi kwamba CHADEMA wameshindwa kufanya siasa bila kumtaja mwamba Zitto.

Tokea miaka ya 2009 Chadema wamewaaminisha Wafuasi wao kwamba Zitto ni CCM na wao ndo wapinzani, fanyeni siasa zenu.

Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:

1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations

2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?

3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi

Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:

1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM

Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki

Inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?

1. Yuko wapi Dkt. Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi

2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?

Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?

By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?

Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.

View attachment 2167787
Unadhani kwanini Othman Masoud au Maalim Seif hawashambuliwi lakini anashambuliwa Zitto tu ?
 
Tatizo katika nchi hii Kuna kundi linajiona Lina hatimiliki ya upinzani kwenye siasa za Tanzania, wanawaona wapinzani wote ni mamluki wa watawala isipokuwa wao tu ni wazi kabisa kwa sasa hivi kwamba CHADEMA wameshindwa kufanya siasa bila kumtaja mwamba Zitto.

Tokea miaka ya 2009 Chadema wamewaaminisha Wafuasi wao kwamba Zitto ni CCM na wao ndo wapinzani, fanyeni siasa zenu.

Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:

1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations

2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?

3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi

Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:

1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM

Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki

Inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?

1. Yuko wapi Dkt. Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi

2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?

Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?

By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?

Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.

View attachment 2167787
Dogo mbona unalianani kakuzuia kufanya siasa

Tatizo lenu ni kuwa watu wenye akili hawataki utapeli wenu
 
Kwa maeneo mengi niliyopita upinzani ni Chadema.

Hili si la kupinga ukiacha Zanzibar ambako sijafika na maeneo ya Kigoma na Tanga ambako act imenufaika sana na mgogoro wa iliyokuwa cuf.

Lkn ilipo act Chadema ipo lkn ilipo chadema act haipo.

Huo ni ukweli.
Swali kutoka mtoa mada ni, 'zitto aliwafanyia kisa gani chadema?'!

Hilo ndo tunalohangaika nalo
 
Kama Wewe umetumwa kumshambulia basi nami nimetumwa kumtetea

ACT ingemteua Lowassa kuwa Mgombea Urais 2015 si pangechimbika

Hivi Zitto angekosa Ubunge 2020 halafu Mbowe na Lema wakapata sijui hali ingekuaje?


Inshallah 2025 wote Mbowe na Zitto watarudishwa Bungeni kwa udhamini wa Chama cha Mapinduzi japo wataingia kupitia vyama wanavyoongoza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kama Wewe umetumwa kumshambulia basi nami nimetumwa kumtetea

ACT ingemteua Lowassa kuwa Mgombea Urais 2015 si pangechimbika

Hivi Zitto angekosa Ubunge 2020 halafu Mbowe na Lema wakapata sijui hali ingekuaje?


Inshallah 2025 wote Mbowe na Zitto watarudishwa Bungeni kwa udhamini wa Chama cha Mapinduzi japo wataingia kupitia vyama wanavyoongoza
Watu wa Kigoma bana Inshallah nyingi hamna lolote wanafiki wakubwa tunawajua
 
Back
Top Bottom