Wewe uasema nini, hakuna cha moto wala nini, lazima serikali iwawadabishe mpaka mtakapojifunza kutii sheria
Naona tunawaonea wivu sana watu wa burundi kwa jinsi wanavyo ishiKatika Taarifa ya Habari ya TBC1 ya Saa kumi Jioni Kamanda wa Polisi wa Kanda maalum ya DSM amekaririwa akisisitiza kwamba Polisi bado wanamtafuta Zitto Kabwe na kwamba watahakikisha anakamatwa ikiwa hatajisalimisha kama kweli yeye ni mzalendo.
UPDATES
Mwenyekiti moja ya kamati za Chama ametuma ujumbe huu
Habari.
Nimepata simu ya Kamanda wa Polisi Wambura saa tisa na nusu. Na akaniomba nimfikie Kiongozi wa Chama na kumwambia afike kituo cha polisi cha kati.
Mimi, Kiongozi wa Chama na Mwanasheria tuko njiani kuelekea kituoni.
Kiongozi wa chama ameomba tuwe watulivu tukawasikie wanachoitaji na tutawajuza yanatoendelea.
Maumivu ya nafsi ni makali sana kuliko malariaSasa naanza kuamini kuwa hakushinda kihalali,
Kama angeshida kihalali asingehangaika hivi na wapinzaniiiiiiiiiiiiiiiiiii
Wewe unasema nini, hakuna cha moto wala nini, lazima serikali iwawadabishe mpaka mtakapojifunza kutii sheria
WE SAID...RUNGU LAJAHofu yangu baada ya Wapinzani tutageukiwa sisi wa mitandao hasa JF...
Nakubaliana na wewe 100%.Behind ZK iko nguvu ya kummaliza Magu. ..
Kweli kabisaaa after that anakuja na huku kwenye social network
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hatareeee aiseee!
Cybercrime"Tanzania haijpata bado rais"TB Joshua
Hivi alivunja sheria IPI?Wewe unasema nini, hakuna cha moto wala nini, lazima serikali iwawadabishe mpaka mtakapojifunza kutii sheria
Aje tu atatukuta na akitupata tutachomozea kwingineHofu yangu baada ya Wapinzani tutageukiwa sisi wa mitandao hasa JF...
Labda ni kweli kabisa mkuu.Sasa naanza kuamini kuwa hakushinda kihalali,
Kama angeshida kihalali asingehangaika hivi na wapinzaniiiiiiiiiiiiiiiiiii
He is far much better compared to Lowassa...
Hatujazoea uhuru kuminywa namna hii.....even freedom of expression inakuwa tabu
Mbata kampige......... AkoVipi wamempiga mbata? Itakuwa kazi bure kama Askari wetu hawajamtia mbata!
Zitto mtoto mdogo sana kwa magufuli pia magufuli ana dola