Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,881
Umenena vema mkuu...na kuna watu wanamchochea afanye ayafanyayo ili watu wengi Zaidi wamchukieMzee wa majipu anaanza kuchezea katiba, amevunja nyumba za walalahoi tumekaa kimya amesababisha bei ya sukari na vitu vingine kupanda tumekaa kimya sasa ameanza kukandamiza upinzani, hili hatutakubali