BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,329
Na wakati huo huo mafisadi wa Lugumi, escrow, UDA, Pride na MV Dar bado anawagwaya mafisadi hawa ila anataka kutunisha muscles kuonyesha udikteta wake dhidi ya upinzani.
Wewe uasema nini, hakuna cha moto wala nini, lazima serikali iwawadabishe mpaka mtakapojifunza kutii sheria