Zitto Kabwe ajisalimisha polisi

Zitto Kabwe ajisalimisha polisi

Na wakati huo huo mafisadi wa Lugumi, escrow, UDA, Pride na MV Dar bado anawagwaya mafisadi hawa ila anataka kutunisha muscles kuonyesha udikteta wake dhidi ya upinzani.

Wewe uasema nini, hakuna cha moto wala nini, lazima serikali iwawadabishe mpaka mtakapojifunza kutii sheria
 
Katika Taarifa ya Habari ya TBC1 ya Saa kumi Jioni Kamanda wa Polisi wa Kanda maalum ya DSM amekaririwa akisisitiza kwamba Polisi bado wanamtafuta Zitto Kabwe na kwamba watahakikisha anakamatwa ikiwa hatajisalimisha kama kweli yeye ni mzalendo.

UPDATES

Mwenyekiti moja ya kamati za Chama ametuma ujumbe huu

Habari.
Nimepata simu ya Kamanda wa Polisi Wambura saa tisa na nusu. Na akaniomba nimfikie Kiongozi wa Chama na kumwambia afike kituo cha polisi cha kati.

Mimi, Kiongozi wa Chama na Mwanasheria tuko njiani kuelekea kituoni.
Kiongozi wa chama ameomba tuwe watulivu tukawasikie wanachoitaji na tutawajuza yanatoendelea.

Naona tunawaonea wivu sana watu wa burundi kwa jinsi wanavyo ishi
 
Wewe unasema nini, hakuna cha moto wala nini, lazima serikali iwawadabishe mpaka mtakapojifunza kutii sheria

Mkuu unamka usingizini au? ni lini serikali ilifanikiwa kuwazima wapinzani, kila siku ndo kwanza wanazidi kukinukisha.... nasema mtajutraaa
 
Kweli kabisaaa after that anakuja na huku kwenye social network
hatareeee aiseee!

Aingilie mara ngapi, tayari kashaanza kuingilia JF hamuoni jina la bintiye limewekewa **** na lile neno k.ilaza nalo limewekewa star wakati ni yeye mwenyewe alilitamka, huyu jamaa ni mwoga sana kama kunguru anapenda kusikia mazuri ya kumsufu yeye a.k.a mr. Misifaz. Sijui ana shida gani?
 
Kumbe ndiko tulikofikia huku bahati nzuri Kura yangu sijawapa
 
He is far much better compared to Lowassa...

Hatujazoea uhuru kuminywa namna hii.....even freedom of expression inakuwa tabu

...better for what?, personality or what?!, jamaa yako ni mbumbumbu full kibuyu!
 
Zitto mtoto mdogo sana kwa magufuli pia magufuli ana dola

Ndo atumie dola kunyamazisha demokrasia??? Tatizo huyu jamaa na ushamaba unasumbua kidogo, popularity yake imeshuka sana, nakiri nilimpigia kampeni lakini I am no longer supporting him, najuta
 
Tatizo Magufuli hajazoea kukosololewa na atakuwa ni mtu wa kupanic sana
 
Back
Top Bottom