Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,753
- 15,227
Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Heche, Freeman Mbowe, John Mnyika baada ya kushindwa uchaguzi wa udiwani kwenye kata zote mtaendelea kumtaja hayati Magufuli kwamba ndiyo amewasababisha mshindwe au mtawapongeza Kinana na January Makamba kwamba matamko yao yamesababisha uchaguzi umekuwa wa huru na haki kwenye kata zote?
Kazi hamfanyi, kazi kula ruzuku tu mliyopewa bure bure na rais Samia ambayo ni kodi zetu sisi wananchi wanyonge. Ni faida ipi mliyoipata sasa?
Laana ya kushangilia kifo cha Rais wetu mpendwa iwatafune na itawatafuna kwelikweli mpaka mkome.
Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upulize.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
R.I.P shujaa Magufuli ulisingiziwa mengi.
Kazi hamfanyi, kazi kula ruzuku tu mliyopewa bure bure na rais Samia ambayo ni kodi zetu sisi wananchi wanyonge. Ni faida ipi mliyoipata sasa?
Laana ya kushangilia kifo cha Rais wetu mpendwa iwatafune na itawatafuna kwelikweli mpaka mkome.
Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upulize.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
R.I.P shujaa Magufuli ulisingiziwa mengi.