Big up sana Wewe "former die hard supporter wa CCM"Eti CCM Chama dume wakati kinaogopa Vyama Vingine ukweli ni kwamba CCM ni Chama Shoga.kama wao ni wanaume waruhusu Mikutano halafu waone CHADEMA itakavyowanyoosha watu wana hamu kubwa nchi nzima,Buyungu tu Uharo ulikuwa unagonga chupi
Walati yule dogo wala hajulikani kitaifa lakini wananchi walijaa mikutano ya CHADEMA ilikua AIBU kuu kwa Chama Shoga.
Nilikuwepo na Polisi
Sasa tunakwenda wapi?!..wauache ulingo wa siasa uwe wazi.Dr Bashiru yupo Tabora kikazi? Dr Mashinji akifanya mkutano tu anakamatwa na kutiwa ndani.
Sasa tunakwenda wapi?!..wauache ulingo wa siasa uwe wazi.
kichwa umejaza usaha na kinyesi kinachovia na kunuka . huna ulijualo zaidi ya ubaguzi? kama zzk ni mkongo wewe ni nani? chama kikongwe kinasaidiwa kuiba kura na mapolisi? kumbuka ya kinondoni UCHAGUZI haram wa mtuliaBashiru Ally aache kukidhalilisha Chama Kikongwe Duniani
Msitu wa Amazon hauwezi kupungiwa na kitu Kwa kukosekana Mti mmoja
Bashiru asituletee damu za Kikongo kwenye chama chetu Pendwa
kichwa umejaza usaha na kinyesi kinachovia na kunuka . huna ulijualo zaidi ya ubaguzi? kama zzk ni mkongo wewe ni nani? chama kikongwe kinasaidiwa kuiba kura na mapolisi? kumbuka ya kinondoni UCHAGUZI haram wa mtulia
nakumbuka komputa za haki za binadam zilizoibwa na polisi. nakumbuka hata majeshi yaliwekwa standby ndo kulinda kura? bila polisi na usalama ccm ni wepesi kama changudoa tuChama kisichoweza kulinda kura kinaweza kulinda Nchi?
Nashangaa yaani sawasawa Donald Trump aanze kupanga kumnunua Hilary Clinton wakati Sera za vyama vyao ni tofauti kabisa!CCM ni watu wa ajabu sana, wana wenyeviti wa mitaa/vijiji, madiwani, wabunge wengi zaidi kuliko chama kingine chochote kile, lakini kwa kuwa hawajui ni kwa nini wako madarakani, wanaona hawawezi kuongoza nchi mpaka walioko kwenye vyama vingine nao wajiunge na chama chao!!
Hivi CCM wanataka wapewe nini ama wawe na nani ili waweze kuongoza nchi kwa ufanisi!? Siku nchi ikiongozwa na Rais toka chama kingine si CCM watawehuka!?
Ila wahutu wa burundi kuwemo ni sawa etii...?? Tafakari kwanza hii ukimaliza utaniuliza ni kujibu tena.Bashiru Ally aache kukidhalilisha Chama Kikongwe Duniani
Msitu wa Amazon hauwezi kupungiwa na kitu Kwa kukosekana Mti mmoja
Bashiru asituletee damu za Kikongo kwenye chama chetu Pendwa
Haaaaa haaaaaa mkongoman ndani ya greenBashiru Ally aache kukidhalilisha Chama Kikongwe Duniani
Msitu wa Amazon hauwezi kupungiwa na kitu Kwa kukosekana Mti mmoja
Bashiru asituletee damu za Kikongo kwenye chama chetu Pendwa
Huyo mgonjwa ni opportunist sana, zito mbele ya pesa!