Zitto Kabwe
# ACTWazalendo Tutaingia kwenye uchaguzi wenyewe. We will go it alone as a party to defend our principles. Mkutano Mkuu wa Chama wa Kidemokrasia ( National Convention) utafanyika tarehe 10 Agosti 2015.
Hiyo ni post aliyoiweka kwenye mitandao ya kijamii Twitter na Facebook.
Zitto ni mnafki na hana lolote
Bado tunangoja wale wabunge 50 wa kujiunga na ACT
We will go it alone as a party to defend
our principles.
Oooh, unajua mimi ni msomi sana...
"Thus why am so wonders..."