Zitto Kabwe: ACT- Wazalendo, hatutajiunga na UKAWA

Zitto Kabwe: ACT- Wazalendo, hatutajiunga na UKAWA

Bwana zito mambo yamemwendea kombo sanaa, kila kitu kinaenda kinyume kabisa na matarajio yake. haya yanayomtokea siyo yale aliyoaidiwa na waliomtuma
 
Zitto aibuka shujaa dhidi ya mafisadi!
 
Zitto ni kibaraka hafai kabisa UKAWA hata akitaka kujiunga na CCM nawashauri msimpokee atawaonyeshea maadui silaha zenu hivyo kushambuliwa kirahisi.
 
Zitto Kabwe
# ACTWazalendo Tutaingia kwenye uchaguzi wenyewe. We will go it alone as a party to defend our principles. Mkutano Mkuu wa Chama wa Kidemokrasia ( National Convention) utafanyika tarehe 10 Agosti 2015.

Hiyo ni post aliyoiweka kwenye mitandao ya kijamii Twitter na Facebook.

Majibu sahihi yatapatikana 25/10/2015
 
Zitto ni mnafki na hana lolote

Ndg Ramadhani weka akiba ya maneno, inaonekana kwenye siasa ni mfuata mkumbo na kushabikia bila kufanya uchanbuzi japo kidogo tu. Leo Lowasa anaitwa kamanda kumbuka jana aliitwa fisadi. zitto ni mnafiki leo na inawezekana wewe unaemuita mnafiki hata wewe ni mnafiki hata jwenye maisha yako binafsi kwani hujui unachotaka wala unachotakiwa kukifuata ila ukiona watu wengi na wewe unafuata.siku Zitto akifanya kazi kwa ushirikiano na CDM sijui utamuita jina gani? Gari ililopanda hujui linatoka wapi na bila shaka hata kituo unachotakiwa kushuka hukitambui
 
Opposition parts bado wana kazi kubwa sana kuiondoa ruling part madarakani (CCM).
Wangekuwa na akili wangeungana kwanza, wakaongeza nguvu zao sio kulumbana kwanza! ACT bado wachanga yes they can stand by their own lakini ni juhudi zisizo na matunda instead wangesapport mgombea mmoja wa uraisi from UKAWA! Hao wanaojifanya wanajua siasa ZZK haoni mifano ya wengine? iangalie Zambia PF (patriotic...) was also the opposition party but were given the mandate!
 
Yeye na wasaliti wenzake ndiyo wamekataliwa UKAWA, akafie mbali huko na udini na ukabila wake.
 
Ni jana tu alioneshwa ITV akikanusha kujiunga na ukawa, halafu leo kuna tetesi kuwa zito naye kajiunga na ukawa
 
ZZK anatapatapa hana jipya.aende zake na udini wake na maazimio yake.anahubiri asichotenda.
 
Katika siasa chochote kitawezekana, japo jana alipinga, sio ajabu kesho ukasikia tofauti.
Ila akijiunga, itakuwa silaha ya muhimu kwa CCM kuisambaratisha UKAWA, maana siri zote na mipango yote itawekwa hewani na msaliti huyo mzoefu.
 
Nadhani ACT ndio chama pekee cha upinzani ambacho hakijaingia najisi ya UFISADI.

Hii ni sawa na kuokota parachichi chini ya mwembe...Zitto akijipanga atachukua viti vingi vyilivyokuwa vya upinzani.
 
Dah mleta mada upk vizur san big apu,ii ndo tanzania muungano wa vicwa vya zanzibar na zimbabwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom