mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,270
- 12,310
Mwanasiasa Zitto Kabwe ambaye hivi karibuni alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa jukwaa la demokrasia nchini (TCD) ameanza majukumu yake hayo kwa kukutana na kufanya mazungumzo na bwana John Mnyika Katibu Mkuu wa CHADEMA taifa.
Zitto Kabwe ameeleza dhamira yake ya kutumia jukwaa hilo kuleta maridhiano miongoni mwa watanzania
Chanzo: Zitto kabwe socially medias
Zitto Kabwe ameeleza dhamira yake ya kutumia jukwaa hilo kuleta maridhiano miongoni mwa watanzania
Chanzo: Zitto kabwe socially medias