Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,909
Jana alizikwa Kiongozi wa Chama cha CUF ndugu Julius Masaka anayesemekana kupewa sumu kwa sababu za kisiasa jimboni hapa .katika mazishi haya yaliibuka malalamiko ya kwa nini Zitto ambaye amengojewa sana kanda ya Ziwa na hasa Musoma na Buzwagi kwenyewe hajafika kuwaelezea kilicho mfika Bungeni .Watu walianza kusema Zitto safi ana tetea Taifa lakini wanashangaa kwa nini haji Musoma , Buzwagi na Tarime kuliko machimbo .
Ndipo wakaja watu wanaodai kuwa na ushahidi juu ya Zitto kusemekana kapewa kitu kidogo na mkono kwamba asifike huku . Nikiwa hapo msibani nilisimama makaburini na kuelezea kwa jinsi navyo mjua Zitto yuko busy na Musoma na kwinginek atafika .
Nilitaka kuuawa pale maana wanasema Mkono na wana CCM wote wanasema Zitto hatakuja maana wamesha malizana naye . Kwa kuwa mimi si msemaji wa Zitto , na kwa kuwa hapa ndipi tunako kata issues nimeona nije hapa kutoa habari hii ili Zitto ajibu tuhuma hizi.Kwa kifupi wanakata tamaa for a long waiting ya wewe ndugu Zitto kufika huku na wanaanza kushangaa kwa nini wakati wote wana madini na wanataka kujua ukweli wa yaliyo kupata ukiwa Bungeni .Ujumbe nimesha ufikisha kwako tafadhali wasiliana na watu wa Musoma na kanda ya Ziwa wanaelekea kuto kuelewa kwa nini Chadema hawafiki kuelezea mambo haya .
Ndipo wakaja watu wanaodai kuwa na ushahidi juu ya Zitto kusemekana kapewa kitu kidogo na mkono kwamba asifike huku . Nikiwa hapo msibani nilisimama makaburini na kuelezea kwa jinsi navyo mjua Zitto yuko busy na Musoma na kwinginek atafika .
Nilitaka kuuawa pale maana wanasema Mkono na wana CCM wote wanasema Zitto hatakuja maana wamesha malizana naye . Kwa kuwa mimi si msemaji wa Zitto , na kwa kuwa hapa ndipi tunako kata issues nimeona nije hapa kutoa habari hii ili Zitto ajibu tuhuma hizi.Kwa kifupi wanakata tamaa for a long waiting ya wewe ndugu Zitto kufika huku na wanaanza kushangaa kwa nini wakati wote wana madini na wanataka kujua ukweli wa yaliyo kupata ukiwa Bungeni .Ujumbe nimesha ufikisha kwako tafadhali wasiliana na watu wa Musoma na kanda ya Ziwa wanaelekea kuto kuelewa kwa nini Chadema hawafiki kuelezea mambo haya .