POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.
Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.
Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.
Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.
Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.
Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.