Poleni Wasukuma kwa kuchagua wabunge wa darasa la 7

Stuka

JF-Expert Member
Jul 19, 2022
294
923
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Tuwe wa kweli bunge letu hamna tofauti kati ya wa bunge wa darasa la saba na ma professor.......Nyerere aliharibu siasa za nchi hi.
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Ila kama kuna ukweli vile ila wasukuma badilikeni msiangalie mtu wa kununulia vitumbua na chai angalieni mtu atakayewawakilisha kweli bungeni waigeni hao watu wa pwani, tanga na kilimanjaro mchague wasomi somi kidogo
 
Ila we jamaa ni kenge kweli. Labda nikujulishe ni kwanini Wasukuma ilifika hatua wakaamua kuchagua Wabunge wasio na elimu kubwa:

(1)Miaka ya nyuma Wasukuma walikuwa wanachagua Wabunge wasomi ila wakaja wakabaini Wabunge hao hawakuwa na msaada, afadhali ya Wawakilishi wasiosoma. Mfano,Dr.William Shija (Sengerema),Dr.Festus Limbu(Magu),Dr.Raphael Chegeni(Busega),Dr. sijui Prof.Pius Mwandu(Maswa),Prof.Kahigi(Meatu/Kishapu),Dr.Lawrence Kego Masha(Nyamagana),huyu ndo alikuwa mpuuzi kabisa,.n.k. Na hao takribani wote wamewahi kuukwaa Uwaziri au Unaibu Waziri. Walikuwa na msaada gani ukimwacha Dr.John Magufuli we kenge?

2.Wasukuma unaowadharau baada ya kuona wasomi hawajawasaidia kwa lolote wakaona bora wachague wasiosoma wajue moja kuwa hawana wa kuwasaidia. Lakini pia wakigundua hao wasiosoma hawana kiburi,jeuri na dharau ukilinganisha na Wawakilishi waliosoma.

3.Hiyo mikoa uliyoitaja ya Wabunge wasomi ina maendeleo kuzidi mikoa yenye Wasukuma(Ukiacha Kilimanjaro)? Tanga na Kagera vina nini kikubwa Cha kuzidi mikoa ya Wasukuma?

4.Haya kwa upande wa mambo ya kisheria: Hivi waliohusika kuliingiza chaka taifa kwenye mikataba ya hovyo ni Wasomi au Wasiosoma?
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Acha kututania wewe, huna hata mbuzi, sembuse ng'ombe.
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Huko huwa wakati wa kampeni wanahongaga wapiga kura chumvi, huyo Msukuma anahongaga chumvi, ila akiwa Bungeni kule Dodoma anajifanya mjuaji sana
 
Ila we jamaa ni kenge kweli. Labda nikujulishe ni kwanini Wasukuma ilifika hatua wakaamua kuchagua Wabunge wasio na elimu kubwa:

(1)Miaka ya nyuma Wasukuma walikuwa wanachagua Wabunge wasomi ila wakaja wakabaini Wabunge hao hawakuwa na msaada, afadhali ya Wawakilishi wasiosoma. Mfano,Dr.William Shija (Sengerema),Dr.Festus Limbu(Magu),Dr.Raphael Chegeni(Busega),Dr. sijui Prof.Pius Mwandu(Maswa),Prof.Meshack Opulukwa (Meatu),Dr.Lawrence Kego Masha(Nyamagana),huyu ndo alikuwa mpuuzi kabisa,.n.k. Na hao takribani wote wamewahi kuukwaa Uwaziri au Unaibu Waziri. Walikuwa na msaada gani ukimwacha Dr.John Magufuli we kenge?

2.Wasukuma unaowadharau baada ya kuona wasomi hawajawasaidia kwa lolote wakaona bora wachague wasiosoma wajue moja kuwa hawana wa kuwasaidia. Lakini pia wakigundua hao wasiosoma hawana kiburi,jeuri na dharau ukilinganisha na Wawakilishi waliosoma.

3.Hiyo mikoa uliyoitaja ya Wabunge wasomi ina maendeleo kuzidi mikoa yenye Wasukuma(Ukiacha Kilimanjaro)? Tanga na Kagera vina nini kikubwa Cha kuzidi mikoa ya Wasukuma?

4.Haya kwa upande wa mambo ya kisheria: Hivi waliohusika kuliingiza chaka taifa kwenye mikataba ya hovyo ni Wasomi au Wasiosoma?
Kama anautani na wasukuma sawa lakini nikiingalia Kahama na haijawahi kuwa na Waziri lakini leo hii Kahama na Dodoma hakuna tofauti
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Unahoja mkuu mpaka leo hii nusu ya maeneo ya kanda ya ziwa hayana maji safi
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Nipe utofauti wa hao wabunge STD 7 na huyo Prof/Dr./CPA/Eng au wakili kutokea jimboni kwako mkuu
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Mh. Mnyeti, Jonh Heche (Ingawa chuoni alikuwa anaitwa jina jengine) na mimi tulikuwa kozi mmoja SAUT Malimbe 2006-2009.
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Hahaha kuna ukweli. Kwa haraka haraka la saba wapo ka 3 kuna lile libunge lilipiga magoti kuomba maji kwa waziri wa maji sijui jimbo gani ila huko huko
 
POLENI sana ndugu zangu Wasukuma kwa kufanya utani kwenye uchaguzi na kuacha vigezo vya uwezo wa kiakili ninyi wenzangu mnaangalia mtu ambaye ana uwezo wa kuwanunuliwa vitumbua, ubwabwa, soda na kuwagawia shilingi elfu 5 tano matokeo yake mnapeleka wabunge bungeni ambao hawana uwezo wa kujua jema au baya na wao wanaangalia wanapataje hela kupitia tenda na serikali na kuwasahau na kusahau hata hoja zenu kanda ya ziwa.

Mfano Angalia Majimbo ya Mkoa wa Mwanza, Kuna Tabasamu Darasa la 7, kuna Mnyeti elimu yake hata haijulikani, kuna Mansoor wa Kwimba hata elimu yake haijulikani, Angalia Jimbo la Magu Kiswaga elimu yake haijulikani, nenda Geita Msukuma darasa la 7, Maganga jimbo la Mbogwe darasa la 7, Amar jimbo la nyangwale darasa la 7, Jimbo la Ushetu, Cherehani elimu yake haijulikani, Solwa Ahmed elimu yake haijulikani, Jimbo la Kishapu Butondo elimu yake haijulikani. Nenda Simiyu jimbo la Itilima Njalu Darasa la 7.

Sasa kwa mfumo wa wasukuma kuendelea kuchagua wabunge wa darasa la 7 wakifika bungeni hawawezi kusoma miswada ya sheria, hawawezi kusoma mikataba inayopitishwa na bunge, wawezi hata kubeba hoja za wananchi wa kanda ya ziwa kama za pamba, mifugo na samaki matokeo yake sekta zote zimekufa kwa kukosa wasemaji bunge.

Lakini nenda Mkoa wa Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kagera na maeneo mengine huwezi kukuta ujinga wa darasa la 7 na ndiyo maana hata linapokuja suala la watu kupewa uwaziri wanaangalia majimbo yenye wasomi angalau digrii 2 na kuendelea.
Tulisha poa mkuu, ila kwa wabunge naomba jina la Kishimba, na msukuma liondolewe , hawa wapo na akili kubwa kuliko wasomi uchwara tulionao ndani ya Taifa hili
 
Ila we jamaa ni kenge kweli. Labda nikujulishe ni kwanini Wasukuma ilifika hatua wakaamua kuchagua Wabunge wasio na elimu kubwa:

(1)Miaka ya nyuma Wasukuma walikuwa wanachagua Wabunge wasomi ila wakaja wakabaini Wabunge hao hawakuwa na msaada, afadhali ya Wawakilishi wasiosoma. Mfano,Dr.William Shija (Sengerema),Dr.Festus Limbu(Magu),Dr.Raphael Chegeni(Busega),Dr. sijui Prof.Pius Mwandu(Maswa),Prof.Meshack Opulukwa (Meatu),Dr.Lawrence Kego Masha(Nyamagana),huyu ndo alikuwa mpuuzi kabisa,.n.k. Na hao takribani wote wamewahi kuukwaa Uwaziri au Unaibu Waziri. Walikuwa na msaada gani ukimwacha Dr.John Magufuli we kenge?

2.Wasukuma unaowadharau baada ya kuona wasomi hawajawasaidia kwa lolote wakaona bora wachague wasiosoma wajue moja kuwa hawana wa kuwasaidia. Lakini pia wakigundua hao wasiosoma hawana kiburi,jeuri na dharau ukilinganisha na Wawakilishi waliosoma.

3.Hiyo mikoa uliyoitaja ya Wabunge wasomi ina maendeleo kuzidi mikoa yenye Wasukuma(Ukiacha Kilimanjaro)? Tanga na Kagera vina nini kikubwa Cha kuzidi mikoa ya Wasukuma?

4.Haya kwa upande wa mambo ya kisheria: Hivi waliohusika kuliingiza chaka taifa kwenye mikataba ya hovyo ni Wasomi au Wasiosoma?
Kwahiyo tuendelee kuchagua darasa la saba?
 
Back
Top Bottom