Zitto careful: Possible assassination: Wivu wa kisiasa

Zitto careful: Possible assassination: Wivu wa kisiasa

Status
Not open for further replies.
Hata kama anapendwa na wananchi wengi isiwe ndo njia ya kukisaliti chama, hata hao unaowaona kina magufuli, mwakyembe wanashine kwa sababu wako ndani ya chama na hawakisaliti. Ukisaliti chama na kutolewa huwezi tena kushine. Kama mnabisha wajaribu kujiunga na vyama vingine mwone kama watashine kama walivyo sasa. Uzuri wa Chadema wako well-informed na kwa kutolewa kwa Zitto kwenye uongozi haiwezi kuifanya chama kutetereka, watu watapiga kelele na baada ya siku mbili watanyamaza na chama kinaendelea. Tunatakiwa kujenga taasisi si kujenga jina la mtu. Nawashukuru sana CDM kwa kujitahidi kujenga taasisi badala ya watu binafsi. Hata CCM wao wamejitahidi sana kujenga taasisi si majina ya watu. Kama wewe unadhani kwamba unakubalika sana na watu si utoke ukaunde chama chako na hao watu watakufuata huko huko, Kwa nini ung'ang'anie sehemu moja?

Kitu ambacho mimi nasisitiza ni kwamba vyama vya kisiasa na serikali kwa ujumla vijenge taasisi imara na si watu maana watu hawa wanakuja na kupita. Kwa mfano serikali yetu ikiweza kujenga taasisi imara basi tutakuwa tumeshinda maana hatutategemea watu ndo binafsi ndo watuletee maendeleo. Watanzania tunategemea watu binafsi kuleta maendeleo. Mathalani kwa kuwa Tanesco haikujengwa kuwa imara basi hata awe nani kiongozi pale hawezi kufanya mabadiko.

Kuwaondo wenye mawazo tofauti na mabos zenu..eti kuimarisha taasisi/chama..eti usaliti..unaushahidi? yakuambiwa changanya na yako!

Mchango wa zzk kwa taifa hili na kwa chama chake ni wa kiwango cha kupigiwa mifano, badala yakumtia moyo au kujifunza na kufanya vizuri zaidi yake.. wengi wenu inawauma kwa wivu wa kijinga.....!Acheni porojo, majungu na unafiki!
Propaganda na Ushabiki wakujipendekeza upande wa wenye madaraka/fedha hauta wapeleka kokote kisiasa!
 
Kuwaondo wenye mawazo tofauti na mabos zenu..eti kuimarisha taasisi/chama..eti usaliti..unaushahidi? yakuambiwa changanya na yako!

Mchango wa zzk kwa taifa hili na kwa chama chake ni wa kiwango cha kupigiwa mifano, badala yakumtia moyo au kujifunza na kufanya vizuri zaidi yake.. wengi wenu inawauma kwa wivu wa kijinga.....!Acheni porojo, majungu na unafiki!
Propaganda na Ushabiki wakujipendekeza upande wa wenye madaraka/fedha hauta wapeleka kokote kisiasa!

Hivi wewe ndo yule mzee unayeongoza Umoja wa Vijana?
 
Zito alikuwa KIRUSI .NA MUIKOME CHADEMA KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

Siku laumu huo ndio ukomo wako wakufikiri!
Mchango wa zzk kwa taifa hili na kwa chama chake ni wa kiwango cha kupigiwa mifano, badala yakumtia moyo au kujifunza na kufanya vizuri zaidi yake.. wengi wenu inawauma kwa wivu wa kijinga.....!Acheni porojo, majungu na unafiki!
Propaganda na Ushabiki wakujipendekeza upande wa wenye madaraka/fedha hauta wapeleka kokote kisiasa!
 
Mkuu Zitto angekuwa na akili hata kidogo asingekubali kutumiwa na magamba kuangusha nyumba aliyosaidia kuijenga mwenyewe! Laiti kama angejua kwamba CCM wakishamtumia watamwangamiza angejirudi, lakini kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa mwacheni aendelee kupuyanga!
Zitto hatumiwi na Magamba,fungueni ufahamu wenu
 
Kweli mkuu, Zitto anacheza na Magamba, ni majambazi hatari sana ambao hutanguliza kwanza propaganda kisha wanaleta tukio linalofanana na propaganda hizo! Ziitto hata kama ulidai uliaga kwenu magamba ndio yamekutumia vya kutosha andaa wosia mapema, hata kama huna mke na watoto, ndugu zako watarithi mali zako!

Mama yupo, na ndio msemaji wake mkuu. Huoni kuhusu ule waraka Zito anaosema haujui ila mama anasema umebadilishwa na kuongezwa maneno sio ule wa awali. Mama anaujua huo waraka. FULL USWAHILI.
 
Zito habari ya mjini,mbowe amuwezi Zito,Mbowe anautajiri Zito ana Akili
 
Nakubaliana na mleta mada. Zitto ajichunge sana hawa wachagga wamemkalia vibaya sana, walimkosakosa kwa sumu akalazwa Aga Khan safari hii wanaweza kutumia hata risasi.

Kweli wachaga wanaweza kama wanauana kwa sababu ya 6x6 sembuse nafasi za kisiasa? wachaga tuachieni zitto wetu nyie endeleeni kuuana kwenye ni nini hii yenu kama mlivyomfanyia UFO SARO kule kimara na CHRISTINA pale Ilala Bungoni. Zitto anatetea nchi sio chupi
 
Zitto kisiasa hatateteleka kwa hatua waliyochukua wenzake wa CDM. Kama alivyoamua kutoondoka yeye atulie na akubali kuwa mwanachama wa kawaida lakini kwa uwezo wake atakuwa kiongozi, mtegemewa, na mjenga chama kuliko hao akina Lema, na wengine wanaobwabwaja. Zitto usirudi nyuma, vitisho vya kifo usivipe nafasi kwani ipo siku utakufa kama na wao watakavyokufa. Kanyaga twende CDM itajengwa na wazalendo, mafisadi, wazandiku, wafitini hawana nafasi kwa maisha yako ya kisiasa
 
Kuwaondo wenye mawazo tofauti na mabos zenu..eti kuimarisha taasisi/chama..eti usaliti..unaushahidi? yakuambiwa changanya na yako!

Mchango wa zzk kwa taifa hili na kwa chama chake ni wa kiwango cha kupigiwa mifano, badala yakumtia moyo au kujifunza na kufanya vizuri zaidi yake.. wengi wenu inawauma kwa wivu wa kijinga.....!Acheni porojo, majungu na unafiki!
Propaganda na Ushabiki wakujipendekeza upande wa wenye madaraka/fedha hauta wapeleka kokote kisiasa!

Mzee wa mabinti wa lumumba..
 
zito anajimaliza mwenyewe kwa kujenga urafiki na watu wa usalama wa taifa anajiweka kwenye mazingira magumu sana usalama wake ni kubaki ndani ya chadema zimwi likujualo,,,,,
 
Nakubaliana na mleta mada. Zitto ajichunge sana hawa wachagga wamemkalia vibaya sana, walimkosakosa kwa sumu akalazwa Aga Khan safari hii wanaweza kutumia hata risasi.

mmhhh nimependa post yako lakini mara nyingi comments zako zipo biased dhidi ya wachaga na zimejaa generalization, samahani lakini kama hutopenda kukuambia "live live" hivi
 
Nakubaliana na mleta mada. Zitto ajichunge sana hawa wachagga wamemkalia vibaya sana, walimkosakosa kwa sumu akalazwa Aga Khan safari hii wanaweza kutumia hata risasi.

Dada faiza foxy Wewe mbona hatuhitaji kujua kabila lako!!! wewe ni mbaguzi wa ukabila na udini nimekufuatialia siku nyingi sasa wachaga wamekujaje hapa! serikali ya kikwete wana habari na wana harakati wamekufa bila hata ripoti za polisi kutolewa sasa hawa ni kabila gani? kama huna la kuongea shut UP!
 
CCM mmemtumia na sasa mnawaandaa watu kisaikolojia kuwa mnataka kumwua kama mlivyofanya kwa Dr. Mvungi, Mwangosi na maelfu ya wananchi wa Tanzania?


Kweli Zitto ni msaliti na mnafiki lakini iwapo mtamtoa uhai wake kama kawaida yenu, basi mjue nayo mtaitolea hesabu kwa Muumba.

Mmhh!!
 
Zitto ni maarufu zaidi kwa MaCCM kuliko kwa wanaCHADEMA!! go figure...:typing:
 
Hilo linawezekana kabisa,lakini watanzania tuko nyuma yake,

Wewe ukiona watu wameisaliti hadi kazi ya mungu na kukimbilia siasa na kufikia hatua hadi ya kubomoa ndoa za watu na kuwapora wake zao kwa hoja ya kumtafuta first lady kwa kujiandaa na URAIS bai ujue chochote wanaweza kufanya hata kuua,

Ni watu waliokosa hofu ya mungu,kwahiyo lolote lile wanaweza fanya,ila ole wao..!!
 
Dada faiza foxy Wewe mbona hatuhitaji kujua kabila lako!!! wewe ni mbaguzi wa ukabila na udini nimekufuatialia siku nyingi sasa wachaga wamekujaje hapa! serikali ya kikwete wana habari na wana harakati wamekufa bila hata ripoti za polisi kutolewa sasa hawa ni kabila gani? kama huna la kuongea shut UP!

Udini ni nin??

Kipi alichofanya hadi ukimbilie kumwita yeye ni mdini??yani mtu akiwa muislam tuh kosa..!!

Achen ubaguz wenu nyinyi..,
 
Zitto anapendwa na kila rika, kila mtu na anapendwa na jamii

uwezo huu na sifa hii hakuna aliyenayo mwingine ndani ya CDM, wivu huu wa kisiasa umefikisha hapa tulipo

kama magufuli na mwakyembe wanavyopendwa na hata wasio wana CCM wakiwamo chadema, Zitto anapendwa na kila mtu anayelitakia mema taifa hili

kazi zake zitadumu, pengo lake litaonekana, uwezo wako utaendelea kuongezeka, ukweli utasimama na jasho lake na historia yake haitafutika si chadema tu hata taifa zima

atasimama na kuunguruma ataongoza taifa hili, hata kama ni miaka kumi ijayo, wakati mijisahau na kushangilia na kupumabzwa kwa uongo mlioaminishwa, Taifa hili litamuhitaji mtu kama zito

hana hasira, hana siasa za ugomvi, bright young star,International figure, supported by everyone kupitia hoja zake

kilichomuondoa ni wivu, ni chukim ni hasira

Leo ulinzi uimarishwe, asije uawa kabla ya kusema lolote

trust me, labda uwe na moyo mgumu mtaujua ukweli

I TRUST ZITTO, we are behind you


CHADEMA MNGENKUWA NA AKILI NDOGO TU, YA KUFIKIRI LOLOTE LA KUMPATA ZITTO KIPINDI HIKI, MNAIUA CHADEMA LIVE, hata kama ccm watafanya kwa niaba ya mbowe
--Na usaliti wake ni hatari kuliko polonium!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom