Hujasikia wachagga wanavyouwana hovyo kwa papuchi na mali tu, ndani ya miezi mitatu iliyopita tumesikia mwanamke wa kichagga akiuwa mumewe kwa mali, tumesikia Mushi akiuwa na kumkosakosa Ufo kwa mali, tumesikia mwingine juzi Ilala kataka kuuwa ukoo mzima kwa papuchi. Itakuwa hivi vyeo na umaarufu, ajichunge sana na Mwenyeezi Mungu atamlinda InshaAllah. Hawa si watu hawa, tamaa wameweka mbele kuliko kitu chochote.
Tumesoma humu JF kuwa wapo kina
Ben Saanane wanatembea na vichupa vya sumu. Ni hatari sana hawa wachagga, hawana utu hata chembe, hata uwafanyie nini ni lazima wakugeuke, iko ndani ya damu yao.
Wanageukana wenyewe kwa wenyewe itakuwa mtu wa mbali kama
Zitto.
Lakini huyu
Zitto nae kiranga komo, niliwahi kumwambia humuhumu JF miaka ya Jambo forums, kuwa asiwaamini hawa watamgeuka, sasa yametimia. Awe ana sikiliza ya wakubwa zake, tumeiona dunia kabla yake, asiwe mbishi kama busha la babu yake.