Zitto careful: Possible assassination: Wivu wa kisiasa

Zitto careful: Possible assassination: Wivu wa kisiasa

Status
Not open for further replies.
Chadema ni taasisi hakuna mtu aliye juu ya cdm,ngojea haondoke huyo msaliti uone chama kitakavyopaa zzk ndio aliokuwa analeta majungu na kurudisha nyuma harakati za chama!!
 
Alichoandika mleta mada ni sahihi uwezo wa zitto ni wakipekee hauna mfano wazee wa chadema anawapa jofu ndiyo maana vitimbi hawamalizi kwa zito.

Hongera mkuu naona wewe bado upo kazini.



"........Kuhusu mapambano ya kuchafuana kwenye mitandao ya kijamii:


............Lazima wataendelea! Wataendelea kumchafua MM kwa kupitia wapuuzi kama yule kichaa wa ‘ars’ na kundi lake. Nini tutakuwa tunakifanya sasa? Tutahakikisha tuko busy kupost mambo mema na mazuri yatakayokuwa yakifanywa na MM kila wakati na kuzidi kusambaza sifa zake njema kila inapotokea nafasi. Atakayefanya kazi hiyo ni sisi wengine wala si yeye! Pia tutahakikisha kila post ya kumchafua inapatiwa majibu bila kutumia ID yake inayojulikana. Ni vema aidha akatupatia majibu na sisi kuyapost ama afungue ID mpya kabisa ambazo hazijawahi kuwepo kwenye mitandao halafu ndo awe anazitumia kujibu lakini kwa kuzingatia tuliyokwishayazungumza hapo juu yaani kutofanya kwa emotion na kuepuka jazba lakini pia kushauriana na watu wa karibu kabla ya kutoa majibu kwa jambo lolote linalomhusu."
 
ukweli utabaki pale pale kwa gharama yeyote wasaliti lazima watemwe
 
Zitto aende ccm wampe uenyekiti, mtu mhuni kabisa asiye na familia ndo maana anakuwa msaliti.hana cha kupoteza hyo. Hatakiwi cdm na wala hata akitoka cdm itadumu. Amuulize kaborou!

Kwan babu ako Slaa anafamilia?kuwa wewee
 
Nakubaliana na mleta mada. Zitto ajichunge sana hawa wachagga wamemkalia vibaya sana, walimkosakosa kwa sumu akalazwa Aga Khan safari hii wanaweza kutumia hata risasi.

Si vema kuanza kuwaza hivyo dada maneno huumba futa hiyo post please si vema
 
Ulitaka kumuua mbwa wako mpe jina baya,hko ndo walichokifanya Big Fish ndan ya chadema,walianza zaman kumpa majina mabaya huyu kjana baaba ya yy kutangaza hato ruk kigoma kuongea nao jukwaan kama mgombea wa ubunge tena,mzee mtei alikuwa wa kwanza kuja kwenye media na kumchafua huyu jembe kiongoz wa taif hl hapo baadae,sasa hadi lema nae anapata uwezo wa kumchafua kiongoz wake kweny mtandao hatua hajachukuliwa,,???yah yalyopangwa lazma yatimie Zitto tupo nyuma yako kwa lolote ulifanyalo,haka nje ya siasa mama yako kasema unavyeti vizur kulko mchadema yyte yule unaweza piga kazi popote pale Tz na ukawa na maisha bora tuuuu,akili ndoogo kuongoz akili kubwa n ndoto tunasubr maneno yako lao
Team ZZK
 
Chadema ni taasisi hakuna mtu aliye juu ya cdm,ngojea haondoke huyo msaliti uone chama kitakavyopaa zzk ndio aliokuwa analeta majungu na kurudisha nyuma harakati za chama!!

mimi naomba tu aondoke...
 
Nakubaliana na mleta mada. Zitto ajichunge sana hawa wachagga wamemkalia vibaya sana, walimkosakosa kwa sumu akalazwa Aga Khan safari hii wanaweza kutumia hata risasi.

Wala usihofu Mama, Hero ZITTO hawezi kupotezwa kirahisi kama Mh. Chacha Wangwe, yuko makini sana toka ameingia Bungeni amekuwa akiwindwa sana lakini wameshidwa, hawa wa Migombani wanahangaika tu.
 
Zitto anapendwa na kila rika, kila mtu na anapendwa na jamii

uwezo huu na sifa hii hakuna aliyenayo mwingine ndani ya CDM, wivu huu wa kisiasa umefikisha hapa tulipo

kama magufuli na mwakyembe wanavyopendwa na hata wasio wana CCM wakiwamo chadema, Zitto anapendwa na kila mtu anayelitakia mema taifa hili

kazi zake zitadumu, pengo lake litaonekana, uwezo wako utaendelea kuongezeka, ukweli utasimama na jasho lake na historia yake haitafutika si chadema tu hata taifa zima

atasimama na kuunguruma ataongoza taifa hili, hata kama ni miaka kumi ijayo, wakati mijisahau na kushangilia na kupumabzwa kwa uongo mlioaminishwa, Taifa hili litamuhitaji mtu kama zito


Halila Tusibiri TUONE, lakini na KUHAKIKISHIA kuongoza UPINZANI SIO LELE MAMA.
 
Zito alikuwa KIRUSI .NA MUIKOME CHADEMA KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
buku 7 sasa mtakuwa mnaandika nini?


kuna buku saba...kama wapo kweli ila najua wapo viroba ambao wapo kama mwana serere au karagosi ambao wakiambiwa nenda kwenye shimo basi wanaingia tu....
na viroba vikaragosi wapo wengi humu...akili si yao
 
Kama kweli Zitto atauawa iwe kwa Risasi, Ajali au Sumu lazima,Lazima,Lazima Mbowe na Genge lake Lazima (Sio hiyari) Mjiandae , kisasi sio Hiyari ni Amri na Lazima itekelezwe Kikamilifu na kwa Wakati!
Nikikumbuka ya chacha wangwe,acha kabisa,hawa wanaweza mfanyizia halafu wakasingizia CCM
 
Si vema kuanza kuwaza hivyo dada maneno huumba futa hiyo post please si vema

Hujasikia wachagga wanavyouwana hovyo kwa papuchi na mali tu, ndani ya miezi mitatu iliyopita tumesikia mwanamke wa kichagga akiuwa mumewe kwa mali, tumesikia Mushi akiuwa na kumkosakosa Ufo kwa mali, tumesikia mwingine juzi Ilala kataka kuuwa ukoo mzima kwa papuchi. Itakuwa hivi vyeo na umaarufu, ajichunge sana na Mwenyeezi Mungu atamlinda InshaAllah. Hawa si watu hawa, tamaa wameweka mbele kuliko kitu chochote.

Tumesoma humu JF kuwa wapo kina Ben Saanane wanatembea na vichupa vya sumu. Ni hatari sana hawa wachagga, hawana utu hata chembe, hata uwafanyie nini ni lazima wakugeuke, iko ndani ya damu yao.

Wanageukana wenyewe kwa wenyewe itakuwa mtu wa mbali kama Zitto.

Lakini huyu Zitto nae kiranga komo, niliwahi kumwambia humuhumu JF miaka ya Jambo forums, kuwa asiwaamini hawa watamgeuka, sasa yametimia. Awe ana sikiliza ya wakubwa zake, tumeiona dunia kabla yake, asiwe mbishi kama busha la babu yake.
 
Zitto anapendwa na kila rika, kila mtu na anapendwa na jamii...
Kama anapendwa na kila mtu, na kwamba hata hao waliomvua madaraka ni watu, basi unamaanisha kwamba anapendwa pia na hao waliomvua madaraka, na huenda walimvua madaraka kwa kuwa wanampenda!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom