Zitto careful: Possible assassination: Wivu wa kisiasa

Zitto careful: Possible assassination: Wivu wa kisiasa

Status
Not open for further replies.
Teh teh teh! Wivu!!???
Jamaa ni msaliti mkuu siyo wivu!! ZZK hayuko juu ya chama hata kidogo,kwa hiyo kama unaona yuko bora sana mchukueni huko umagambani
 
Zitto anapendwa na kila rika, kila mtu na anapendwa na jamii

uwezo huu na sifa hii hakuna aliyenayo mwingine ndani ya CDM, wivu huu wa kisiasa umefikisha hapa tulipo

kama magufuli na mwakyembe wanavyopendwa na hata wasio wana CCM wakiwamo chadema, Zitto anapendwa na kila mtu anayelitakia mema taifa hili

kazi zake zitadumu, pengo lake litaonekana, uwezo wako utaendelea kuongezeka, ukweli utasimama na jasho lake na historia yake haitafutika si chadema tu hata taifa zima

atasimama na kuunguruma ataongoza taifa hili, hata kama ni miaka kumi ijayo, wakati mijisahau na kushangilia na kupumabzwa kwa uongo mlioaminishwa, Taifa hili litamuhitaji mtu kama zito

hana hasira, hana siasa za ugomvi, bright young star,International figure, supported by everyone kupitia hoja zake

kilichomuondoa ni wivu, ni chukim ni hasira

Leo ulinzi uimarishwe, asije uawa kabla ya kusema lolote

trust me, labda uwe na moyo mgumu mtaujua ukweli

I TRUST ZITTO, we are behind you


CHADEMA MNGENKUWA NA AKILI NDOGO TU, YA KUFIKIRI LOLOTE LA KUMPATA ZITTO KIPINDI HIKI, MNAIUA CHADEMA LIVE, hata kama ccm watafanya kwa niaba ya mbowe

lumumba fc mnaweweseka sana na post zisizo na mashiko!unaposema kuwa zitto ndiyo mwenyemvuto na kukubalika na rika zote kuliko mtu yoyote huo utafiti ulifanyika lini?
 
Ha ha ha. Unachekesha sana. Kwa hiyo badri aliyeasi na kuiba mke wa mtu apewe nchi kabisa. Yule aliyeshindwa kusimamia familia na kutelekeza watoto anafaa kuwa rais wa nchi.

Wahaa ni wabishi na washamba na wasaliti....zitto rudisha pesa za CCM ..
 
Zitto anapendwa na kila rika, kila mtu na anapendwa na jamii

uwezo huu na sifa hii hakuna aliyenayo mwingine ndani ya CDM, wivu huu wa kisiasa umefikisha hapa tulipo

kama magufuli na mwakyembe wanavyopendwa na hata wasio wana CCM wakiwamo chadema, Zitto anapendwa na kila mtu anayelitakia mema taifa hili

kazi zake zitadumu, pengo lake litaonekana, uwezo wako utaendelea kuongezeka, ukweli utasimama na jasho lake na historia yake haitafutika si chadema tu hata taifa zima

atasimama na kuunguruma ataongoza taifa hili, hata kama ni miaka kumi ijayo, wakati mijisahau na kushangilia na kupumabzwa kwa uongo mlioaminishwa, Taifa hili litamuhitaji mtu kama zito

hana hasira, hana siasa za ugomvi, bright young star,International figure, supported by everyone kupitia hoja zake

kilichomuondoa ni wivu, ni chukim ni hasira

Leo ulinzi uimarishwe, asije uawa kabla ya kusema lolote

trust me, labda uwe na moyo mgumu mtaujua ukweli

I TRUST ZITTO, we are behind you


CHADEMA MNGENKUWA NA AKILI NDOGO TU, YA KUFIKIRI LOLOTE LA KUMPATA ZITTO KIPINDI HIKI, MNAIUA CHADEMA LIVE, hata kama ccm watafanya kwa niaba ya mbowe

Vyovyote mtakavyompamba, msaliti atabakia kuwa msaliti tu
 
Nakubaliana na mleta mada. Zitto ajichunge sana hawa wachagga wamemkalia vibaya sana, walimkosakosa kwa sumu akalazwa Aga Khan safari hii wanaweza kutumia hata risasi.

Alshabaab1311.jpg
Vipi Uhusiano wako na hawa Jamaa?

alshabab.jpg

Kwa alama hii inawezekana unaetajwa ni wewe

gaid_2.jpg
 
Nakubaliana na mleta mada. Zitto ajichunge sana hawa wachagga wamemkalia vibaya sana, walimkosakosa kwa sumu akalazwa Aga Khan safari hii wanaweza kutumia hata risasi.

Wachaga! Wanasumbua akili zenu sana ndo walisha tangulia mbele ongeza kasi
 
Alichoandika mleta mada ni sahihi uwezo wa zitto ni wakipekee hauna mfano wazee wa chadema anawapa jofu ndiyo maana vitimbi hawamalizi kwa zito.

Simba walipomchunia Kaseja Yanga hawakuwashauri kitu bali walifanya fasta kumsajili kwa maana wanajua uwezo wake ambao Simba hawauthamini tena. Kwa nini kama zzk ni kifaa msimvutie lumumba kimyakimya mnajifanya kutoa ushauri kwa cdm !?? Si mmuchukue tu awafae huko?! Vinginevyo mnataka tuwaamini kuwa ni mtu wenu ila sasa kudhibitiwa kwake cdm hatawafaa akiwa nje ya hapo. Adui mwombee njaa. Nilidhani mngefurahi cdm kumkosa mtu muhimu lakini kinyume chake mbsonekana kuguswa zaidi ya wenye msiba. Kulikoni?!
 
ZZK ni chukizo kwa watanzania wengi sana wanaotaka mabadiliko katika Tanzania.
Watanzania wengi wanapigika sana usiku na mchana, wanaibiwa haki na mali zao na watu wachache ambao wanafikiri wana hati miliki na Tanzania.

Watanzania wanapigana kufa na kupona kutafuta uhuru wao wa kweli, lakini ZZK amekubali kununuliwa na kundi la shetani ili kuwauza watanzania wengi wanaotafuta uhuru na ukombozi wao wa kweli ndani ya Tanzania.

Huyu kijana amejiroga mwenyewe kwani dhamira itamuhukumu na atakufa mwenyewe kwa kihoro na laana ya kuwauza watanzania wanaotafuta haki na uhuru wao.
 
Zitto anapendwa na kila rika, kila mtu na anapendwa na jamii

uwezo huu na sifa hii hakuna aliyenayo mwingine ndani ya CDM, wivu huu wa kisiasa umefikisha hapa tulipo

kama magufuli na mwakyembe wanavyopendwa na hata wasio wana CCM wakiwamo chadema, Zitto anapendwa na kila mtu anayelitakia mema taifa hili

kazi zake zitadumu, pengo lake litaonekana, uwezo wako utaendelea kuongezeka, ukweli utasimama na jasho lake na historia yake haitafutika si chadema tu hata taifa zima

atasimama na kuunguruma ataongoza taifa hili, hata kama ni miaka kumi ijayo, wakati mijisahau na kushangilia na kupumabzwa kwa uongo mlioaminishwa, Taifa hili litamuhitaji mtu kama zito

hana hasira, hana siasa za ugomvi, bright young star,International figure, supported by everyone kupitia hoja zake

kilichomuondoa ni wivu, ni chukim ni hasira

Leo ulinzi uimarishwe, asije uawa kabla ya kusema lolote

trust me, labda uwe na moyo mgumu mtaujua ukweli

I TRUST ZITTO, we are behind you


CHADEMA MNGENKUWA NA AKILI NDOGO TU, YA KUFIKIRI LOLOTE LA KUMPATA ZITTO KIPINDI HIKI, MNAIUA CHADEMA LIVE, hata kama ccm watafanya kwa niaba ya mbowe

Mamaaa kumbe Mnamtaka halafu hamkuwa na njia nyingine ya kudespose?NIandika thread ikafutwa fasta
 
Nakubaliana na mleta mada. Zitto ajichunge sana hawa wachagga wamemkalia vibaya sana, walimkosakosa kwa sumu akalazwa Aga Khan safari hii wanaweza kutumia hata risasi.

Ilie sumu si ndio walikula akina mwa..mwa....?Duh ..kwani CCM hawakuwashitaki CDM?
 
Kwataarifa yako huyu bwamdogo si lolote CDM aliikuta akiwa 16 na ataiacha baada ya kutajirishwa kisiasa.....ss ndio CDM bwana unaingia kama jembe tunakuchomeka mpini inatulia....mpini ukikatika tu tunakuchomoa fasta
 
Ukiona maandiko kama haya yanaanza ujue kuna kitu kinatengenezwa. CCM imeshamtumia na sasa kashtukiwa huko alikokuwa anawafanyia shughuli zao sasa Zitto hana faida tena kwao. Ili kufanya mambo yawe magumu ni hiyo mipango ya assasination ili ionekane kuwa Chadema wamefanya hivyo na kuzidi kufanya watu waamini kuwa Chadema walimchukia Zito.
Namshauri Zitto akae na tahadhari, Hizo ni Ishara mbaya kwa utawala uliokutumia na ndivyo tawala nyingi zilivyo,zinakutumia kisha kukupotezea.
Ili kujua kuwa hawakuhitaji mbona hakuna hata mmoja anayetoa tamko la kukuhitaji huko CCM wanaishia kusema Kijana huyu ni mahiri,ana weledi nk nk? Nani hamtaki mtu wa hivyo?
Zitto alikuwa Jasusi ndani ya Chadema, na mara nyingi jasusi akigundulika anaye mu eliminate ni yule aliye mtuma ( kwa hapa ni CCM).
Kaa chonjo ishara ndio hizo Zitto!

Kweli mkuu, Zitto anacheza na Magamba, ni majambazi hatari sana ambao hutanguliza kwanza propaganda kisha wanaleta tukio linalofanana na propaganda hizo! Ziitto hata kama ulidai uliaga kwenu magamba ndio yamekutumia vya kutosha andaa wosia mapema, hata kama huna mke na watoto, ndugu zako watarithi mali zako!
 
kukusudia kuwania Uenyekiti ndo Usaliti? Mmemcheza Mwali wakati Bikra ishavunjwa subirini Bleeding!

Keshatumiwa na magamba sasa hivi ndo wanatafuta njia ya kumnyamazisha. Chezea magamba weye! Wenye akili fupi kama zako wanajiaminisha kuwa shida ni uwenyekiti! Kwa nini asihamie CHAUMA alichokianzisha yeye akawe Mwenyekiti kama uchu wake ni uenekiti tuuuuuuu hakuna kingine?
 
Kama kweli Zitto atauawa iwe kwa Risasi, Ajali au Sumu lazima,Lazima,Lazima Mbowe na Genge lake Lazima (Sio hiyari) Mjiandae , kisasi sio Hiyari ni Amri na Lazima itekelezwe Kikamilifu na kwa Wakati!

Tatizo lako hujui siasa za nchi hii, unafunika kichwa kwenye mchanga wakati kiwiliwili chote kiko nje! Magamba ndio yanachemsha dawa ya msaliti ili akishakamilisha mission basi wampumzishe kwa amani!
 
Zitto ni dhahabu hata wafanye vipi atachomoza tu.

Zitto ni dhahabu feki ambayo nje inang'aa lakini ndani ni kitu kingine! Wewe utasifiwaje na watu ambao kila siku wanaimba kwamba Chama chako watakiua hivi karibuni? Sasa kama magamba wanakazana kuua chama chako huo uenyekiti utakusaidia nini? Mambo yako wazi mno, Zitto hawezi kudanganya tena!
 
Hivi unavyoandika kuhusu wachaga ulishajaribu kutafakari kuwa wachaga hawako cdm tu, wako katika taasisi nyingine nyingi tu. Umeshajiuliza wachaga wengine wanajisikia je kuhusu kauli hizi? Unaweza pima na kuona madhara yake hata kama si ya moja kwa moja. Endeleeni na huu ujinga na upuuzi wenu na hakika mtavuna mlichopanda.

Mkuu wapuuze tu buku 7FC, hawajui watendalo, hawajui kwamba hata CCM kuna wachagga pia!
 
ila kuiba wake za watu ndio heshima?acha umburula binti

Huyo mke ni ng'ombe mpaka aibwe? Nijuavyo mimi mambo ya mapenzi ni maelewano, sasa huyo mke mpaka aibwe amejikalia tu hana maamuzi yake? Hata kama mlifundishwa hivyo Lumumba wakati mnagawiwa buku 7 jaribu kutumia na akili yako pia!
 
Zitto ana akili nyigi sana,Chacha yeye aliwaambia kabisa wamemwanga mboga yeye atamwaga ugali,si unaona walimwondoa.Zitto mjanja wanamprovoke lakini wamemshindwa

Mkuu Zitto angekuwa na akili hata kidogo asingekubali kutumiwa na magamba kuangusha nyumba aliyosaidia kuijenga mwenyewe! Laiti kama angejua kwamba CCM wakishamtumia watamwangamiza angejirudi, lakini kwa kuwa sikio la kufa halisikii dawa mwacheni aendelee kupuyanga!
 
Ila zzk ulionywa siku nyingi kuwa kuendelea na kisakos ya tengeru hautafika mbali. Hawa jamaa hawaaminiki kabisa unless uwe mtu wa kusema yes boss. Ukadai inataka mabadiliko ya kweli na demokrasia halisi. Katu mambo hayo huwezi kupata cdm maana ile ni kampuni iliyosajiliwa tengeru na mkurugenzi yuko kule kule. Unataka uenyekiti ili mkwe awe nani sasa? Jiangalie bwana mdogo.

Kwa hiyo msajili wa Vyama vya Siasa kahamishia Makao Makuu Tengeru siku hizi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom