Zitto azomewa Bukoba


Naona povu linakutoka mno. Let us use our freedom of speech properly. Unapata kiasi gani unapoleta umbea wa walevi hapa.
 
Wewe ningekuwa admin ningekutoa humu jf..
Hicho sio kikao cha chama mpaka wawepo Act peke take

Wabakuja watu mbalimbali kusikilixa Sera ya chama
kwa akili yako ndo maana hukuwa adm....
sasa kama lengo ni kusikiliza sera kwa nini usimpuuze akiongea mengine we ukazingatia sera tu
 

"zotto" ndo nani mkuu?
 
Hapa makere act tumewapuuza wanafanya siasa za udini ni kundi la watu 8 kiongozi wao ni shabani na masudi.
 
Zitto sio kumzomea, anaitaji kipigo. Wazalendo mkimuona msaliti mpigeni maana kuzomewa kazoea.
 
Je kwenye wasifu wake ana tabia ya kupokea ushauri au yake ndio anaona yako sahihi?...Hayo yote amejitakia mwenyew
Hata Profesa Baregu alisema Zitto ni mtu asiyetaka ushauri. Yeye huamini alichokisema ndo kiko sahihi. Hiyo ni ishara ya ubinafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…