Zitto ataja mawaziri mizigo

Zitto ataja mawaziri mizigo

To my side mimi nina na Matumaini makubwa sana juu yake.ila naona hapo ardhi matatizo ndo yamekuwa mingi.si umeona katibu mkuu wake aliamua kustaafu yaishe??
Anyways back to the topic
-Migogoro ya ardhi.
-watendaji wake wanaojimilikisha viwanja kila kona wanavizia hali ikiwa shwari wanaviuza kwa bei mara kumi.
-kwenye hotuba yake ya budget alidai wizara haina program ya kupima ardhi...je ni kweli? Au watu wamekalia mavyeo hawataki mabadiliko au kufundishwa???
Maana kuna vijana wazuri wa IT hapa tz wanaweza kuifanya hyo kazi tukapata mfumo mzuri tu..tena unaosyncronise between TRA,city,postal codes zake,na service zingine....
We need changes kwa kweli.serious on and not politics..
 
Huyu mama hakuna lolote, ardhi ni shida sana kwa sasa nadhani wao ndiyo wanataka wamiliki kila sehemu especially maeneo yaliyopimwa.
Ardhi ni shida sana kwa watu kama sisi wa kawaida
 
I fail to understand when I see someone being called prof. while one cannot provide a solution to anything disturbing the community, prof of what then? watu wanaokariri/meza sana watatusumba hii nchi.

Eh! humu ndani ya jamii forum hakuna mtu mzuri, kila mtu anatolewa makosa utadhani hao watoaji hayo makosa ndiyo waumbaji.
 
Kila mara tumezungumza sana humu kuhusu huyu mama , lakini tumeonekana tunafanya majungu , nilichogundua ni kwamba huyu Tibaijuka aliletwa kwenye wizara hiyo ili ikiwezekana aiuze DSM YOTE KWA WAWEKEZAJI , NA HASA WACHINA , poor mama ! Eti wanawake wakiwezeshwa wanaweza ! Nani kasema ?
 
Ndugu zangu mtaumiza sana vichwa vyenu kwa mawaziri wa JK.ni wazito kuanzia tangu kuteuliwa kwao kama mwabisha wapimeni utendaji kazi wao.Anaefanya vizuri ni ma lock peke take nae si unamwona anavyo aibishwa kila mara.Tatizo linaanzia kwa Rais hivyo wafa nyeje zaidi ku....b...AAA .Rai yangu tutaandika sana mabadiliko yapo n'gooo labda uongozi wrote uondoke kwa unga wamefanya mini je tembo wanakwisha nani mtetezi wao?
 
"kwa sasa tunataka nchi yetu iwe na rais mwanamke si mmeona shughuli ya madam spika?" huyu ni zana ya urais{presidential material}

Mkuu naona unachafua mazingira na hali ya hewa ya humu jamvini tafadhali Bwana.... kwa mateso anayotupa huyu madam spika mjengoni angekuwa ikulu dah sijui aise ...ila hili jambo la mwanamke Ikulu usiliseme seme bwana acahana nalo kabisaaa.... tuendelee na hoja ya Profesa alianza kwa kasi kidogo akuvunja tunyumba tuwili tutatu ghafla about turn akakaa chini bussiness as usual... Hii ni Tanzania kuna mwandishai mmoja ALIANDIKA KITABU " THE BEAUTIFULLY ONES ARE NOT YET BORN" .
 
"kwa sasa tunataka nchi yetu iwe na rais mwanamke si mmeona shughuli ya madam spika?" huyu ni zana ya urais{presidential material}

Magamba wanamwandaa aliyefukuzwa UN
 
Tunazungumzia ardhi ipi?hii iliyoko huko maneromango,mkuranga,morogoro, na mapori mengine ambapo ekari moja unauziwa 20000/?ardhi ipo ya kutosha ila inategemea unataka ya wapi.kama unataka kubanana hapahapa basi kubaliana na hali halisi!land cannot stop to appreciate just because you cant afford to buy it.wala sheria za ardhi si mbovu kiasi hicho cha kuhitaji sheria za mama tibaijuka,anaweza akaharibu na kuruhusu mianya ya wakoloni kumiliki arrdhi similar to locals!pia nadhani ukiangalia vidole vyako havilingani,vivyo hivyo huwezi mlinganiasha tibaijuka na magufuli wakafanana!pia sidhani hapa nchini kama kuna wizara inayokumbana na matatizo makubwa kama ilivyo ya ardhi, ukiipewa leo keshokutwa unaomba kustaafu kutokana na matatizo ya kiafya utakayopata.hebu tupunguze kulalamika, na ikiwezekana mwandikie ushauri wako umpelekee,naamini atakusikiliza!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
mimi nadhani hizi jinsia tuzitumie kama kusudi la mungu kwani ndipo wanapo paform vizuri.
 
Tatizo nililoongelewa hapa, mama hajaleta sera mbadala ya kufanya cc wananchi maskini kuona aridhi ni mali yetu wote na tunaweza pata kwa bei nafuu unayoridisha, huko unakosema aridhi nyingi kuna huduma za jamii? Mimi ni mwanamke lakini kwa hili sitaweza support hat kidogo:confused
 
I fail to understand when I see someone being called prof. while one cannot provide a solution to anything disturbing the community, prof of what then? watu wanaokariri/meza sana watatusumba hii nchi.

Mkuu nijuze, hivi huyu mama ni Profesa wa field gani? Inaudhi kuwa na watu wenye title na vyeti vikubwa kwenye mashirika ya umma na serikalini ambao hawana hata uwezo wa kuandika policy briefs achilia mbali kuandaa sera zenyewe. Tulitegemea mama Tibaijuka kama Profesa angekuja na sera mpya ya ardhi inayolenga jamii anuai; kipato cha chini, kati na juu na hatimaye sera hiyo itumike kutengeneza sheria mpya ya ardhi lakini wapi, yeye kakomaa na mipango ya mji mpya wa Kigamboni. Kwa nini Kigamboni? Kwa sababu ni mji wenye maslahi ya wakubwa na huenda kuna 10% pia.

Tanzania ni nchi ambayo wasomi wake hawajaelimika asilani. Ni wasomi ambao hawana uwezo wa kuweka sera mpya inayoendana na mahitaji ya wakati. Wasomi ambao tulitegemea walete mabadiliko wenyewe wamwendelea kukopi sera ya miaka ya 70 iliwekwa na mwl. Nyerere, wanaendesha nchi kwa sera za zamani na zile za mashirika ya kimataifa. Msomi halisi hawezi kuwa fisadi wala mla rushwa. Msomi nusunusu ndiye mla rushwa na fisadi na hawa ndo wamejaa Tanzania. Mawizarani, hazina, mashirika ya umma wamejaa watu wenye bachelor degree, masters na PhD lakini delivery zero, kila siku wanafikiria kupiga deals. Its shame.
 
Kweli kafeli kabisa. Ukisikia LIPROFESERI la O.K basi ndiyo yeye.
 
FIKIRIKWANZA Nilitegemea michango yako ingefanana fanana na NICKNAME yako lakini kumbe ni tofauti kabisa!. Pole. Bora ungelikuwa Verified User nikakufahamu kama unavyonifahamu na mimi ningelipata nafasi ya kukutathmini katika elimu na utendaji wako pale ulipo! Nakutoa maksi? Labda na mimi ningelijikuta ninamshauri mwajiri wako kutafuta mtu mwingine! Unajua mkuki kwa nguruwe, kwa mwanadamu mchungu! Hasira na chuki zitakutafuna, utabaki kutukana, hatimaye kukosa amani, kukata tamaa na maisha. Kila mtu utamwona mbaya, mjinga, fisadi, nkd. Utashindwa kujielimisha kwa kukata tamaa! Sasa nikusaidie kama ifuatavyo: Waziri wa Ardhi anatenda kazi kwa mujibu wa sheria zilizopo. Hakurupuki. Hana mamlaka ya ki-imla unayoonekana kudhani anayo! Usimamizi wa mipango miji, na maafisa ARDHI wote wapo chini ya Himaya ya TAMISEMI, Halmashauri ndizo Planning Authorities. Uliyosema mengi, kama vile kutopanga viwanja chini ya sqm400 (20X20) tayari Halmashauri zimeelekezwa kuzingatia ila wengine wanaweza kuwa hawatekelezi! Hapo wanakiuka mipango na jukumu la wananchi ni kuwa macho na kutujulisha. Viwanja ni aghali kwa sababu bajeti ya serikali haitoshi kuvipima, Halmashauri zinakopa benki kupima, na riba ziko juu! Wanarejesha mikopo kwa kuuza viwanja. Waziri na hata mamlaka za juu huwezi kuwaingilia bila kuwa na RUZUKU ya kuwapa! Kama wewe ni kijana nikusihi usikate tamaa na kufikiri kwanza utukane, tena watu wazima! Utajipotezea muda kwa sababu pamoja na mapungufu niliyonayo mimi naona nimeweza tena sana!. You cannot take that away from me! Ni wishful thinking! Jenga hoja. Dai haki yako kwa heshima na kujiamini ( ujitambulishe rasmi) nikusaidie? Mama T
 
Toa hoja matusi tena yanatoka wapi ndani ya jamii forums?Huna hoja achie wenye hoja wachangie lakini matusi si ustaarabu wetu watanzania.
 
FIKIRIKWANZA Nilitegemea michango yako ingefanana fanana na NICKNAME yako lakini kumbe ni tofauti kabisa!. Pole. Bora ungelikuwa Verified User nikakufahamu kama unavyonifahamu na mimi ningelipata nafasi ya kukutathmini katika elimu na utendaji wako pale ulipo! Nakutoa maksi? Labda na mimi ningelijikuta ninamshauri mwajiri wako kutafuta mtu mwingine! Unajua mkuki kwa nguruwe, kwa mwanadamu mchungu! Hasira na chuki zitakutafuna, utabaki kutukana, hatimaye kukosa amani, kukata tamaa na maisha. Kila mtu utamwona mbaya, mjinga, fisadi, nkd. Utashindwa kujielimisha kwa kukata tamaa! Sasa nikusaidie kama ifuatavyo: Waziri wa Ardhi anatenda kazi kwa mujibu wa sheria zilizopo. Hakurupuki. Hana mamlaka ya ki-imla unayoonekana kudhani anayo! Usimamizi wa mipango miji, na maafisa ARDHI wote wapo chini ya Himaya ya TAMISEMI, Halmashauri ndizo Planning Authorities. Uliyosema mengi, kama vile kutopanga viwanja chini ya sqm400 (20X20) tayari Halmashauri zimeelekezwa kuzingatia ila wengine wanaweza kuwa hawatekelezi! Hapo wanakiuka mipango na jukumu la wananchi ni kuwa macho na kutujulisha. Viwanja ni aghali kwa sababu bajeti ya serikali haitoshi kuvipima, Halmashauri zinakopa benki kupima, na riba ziko juu! Wanarejesha mikopo kwa kuuza viwanja. Waziri na hata mamlaka za juu huwezi kuwaingilia bila kuwa na RUZUKU ya kuwapa! Kama wewe ni kijana nikusihi usikate tamaa na kufikiri kwanza utukane, tena watu wazima! Utajipotezea muda kwa sababu pamoja na mapungufu niliyonayo mimi naona nimeweza tena sana!. You cannot take that away from me! Ni wishful thinking! Jenga hoja. Dai haki yako kwa heshima na kujiamini ( ujitambulishe rasmi) nikusaidie? Mama T


:A S thumbs_up: Ushauri murua kabisa! :A S thumbs_up:
 
Back
Top Bottom