Zitto ataja mawaziri mizigo

Zitto ataja mawaziri mizigo

pengine wanajua jk ndio anamaliza muda wake, so wanajaribu kuweka mazingira ya atapata urais kupitia ccm aweze kuwakumbuka waendelee kuwa mawaziri
 
Vipi shukuru kawambwa?
Sometimes inaniwia vigumu sana kumuamini zitto, hasa anavyojitahidi kubana watu wenyemrengo tofaut na yeye.

Kama Kawambwa siyo mzigo Zitto aweke hapa vigezo vya kupima mizigo. Yaani huyo ndiye waziri ZIGO ZITO SANA
 
Huyu mkimbizi naye mnafiki tu mi sioni anachozungumza ni comedy tu sasa hana cha maana hata kimoja.

Toa ushahidi kuthibitisha porojo zako.Vinginevyo hayo ni maneno ya mipasho tu pale Travetine hotel Magomeni.
 
Lukuvi na Wassira, hawa wana roho mbaya km wasafirishaji wahamiaji haram, wanataka kutufungia kwenye kontena lisilokuwa na ventilation halafu tufe tukijiona. Big Up sana Mh Zito ujumbe umewafikia!
 
Kama kuna watu wanamwangusha rais JK ni waziri wa Ardhi, huyu mama sijui anashida gani ama nyumbani ama ofisini. Tangu ameingia wizarani ameshindwa kwenda na kasi walau ya Magufuli, hivyo kuwa mtu wa business as usual, shame on her. Utaendeleza makazi vipi wakati umeshindwa kuja na sera na sharia nzuri za umiliki wa ardhi na viwanja?? umeruhusu halmashauri ambazo ni serikali za mitaa kugeuza ardhi chanzo kikuuu cha mapato ile hali utanzania Wangu ni pamoja na kumiliki kipande cha ardhi kwa pamoja na watanzania wenzangu. Iweje niwe mtanzania ambaye siwezi kumiliki kiwanja jap cha kujenga nyumba moja? pili kwa nini viwanja view 20x15, 20x20 hata 30x20, hii ni aibu kwani anashindwa nini kuweka sera ambayo kiwanja lazima kiwa 40x40 kwa ajili ya nyumba na sehemu za maua miti bustani ya mboga etc, waziri anayekaririshwa high density za nini? ameshindwa kuja na mpango wa kupima viwanja vya kutosha. Ameruhusu bei za kiwanja kuwa anasa, hivi kweli anaakili huyu profesaa au kaupata vipi uprofesa bila ujuzi na akili za kutatua shida na kero za wananchi??? kama mita square moja ni TZS 3500-8000/- hivi kweli watu wenye mishahara au kipato cha lak 2 kwa mwezi wataishi juu ya miti milele??? Rais alikupa uwaziri na wewe uuze sura kwenye mikutano na semina, au kwa wanabukoba??? ni aibu tangu umeingia hakuna kitu cha maana umefanya unakula posho tu ona haya dada, au mama. Umeachia ardhi imekuwa biashara, unamsaada gani kwa serikali???? iweje mtu ajigawie au agawiwe kijanja viwanja zaidi ya 30 harafu aanze kuuza kwa bei ghali utazani aliipanda hiyo ardhi, je kwanini isiwe kama mtu anataka kuuza kiwanja arudishiwe hela yake/cost recovery + inflation kidogo na mtu mwingine achukue, au arejeshe kiwanja serikalini ili mtu mwingine agawiwe, hakuna biashara ya kununua viwanja kwa rushwa harafu mtu afanye ulanguzi kwa watz wenzake ni wizi huo. Nawasilisha kwa maoni yangu huyo ndo waziri zero kabisa ktk serikali hii. Mbaya zaidi anafuatiwa na Sophia, mbaya zaidi anakukuja hawa fujo, anafuatia mkangara. Ni aibu hawa wamama.
 
Kama kuna watu wanamwangusha rais JK ni waziri wa Ardhi, huyu mama sijui anashida gani ama nyumbani ama ofisini. Tangu ameingia wizarani ameshindwa kwenda na kasi walau ya Magufuli, hivyo kuwa mtu wa business as usual, shame on her. Utaendeleza makazi vipi wakati umeshindwa kuja na sera na sharia nzuri za umiliki wa ardhi na viwanja?? umeruhusu halmashauri ambazo ni serikali za mitaa kugeuza ardhi chanzo kikuuu cha mapato ile hali utanzania Wangu ni pamoja na kumiliki kipande cha ardhi kwa pamoja na watanzania wenzangu. Iweje niwe mtanzania ambaye siwezi kumiliki kiwanja jap cha kujenga nyumba moja? pili kwa nini viwanja view 20x15, 20x20 hata 30x20, hii ni aibu kwani anashindwa nini kuweka sera ambayo kiwanja lazima kiwa 40x40 kwa ajili ya nyumba na sehemu za maua miti bustani ya mboga etc, waziri anayekaririshwa high density za nini? ameshindwa kuja na mpango wa kupima viwanja vya kutosha. Ameruhusu bei za kiwanja kuwa anasa, hivi kweli anaakili huyu profesaa au kaupata vipi uprofesa bila ujuzi na akili za kutatua shida na kero za wananchi??? kama mita square moja ni TZS 3500-8000/- hivi kweli watu wenye mishahara au kipato cha lak 2 kwa mwezi wataishi juu ya miti milele??? Rais alikupa uwaziri na wewe uuze sura kwenye mikutano na semina, au kwa wanabukoba??? ni aibu tangu umeingia hakuna kitu cha maana umefanya unakula posho tu ona haya dada, au mama. Umeachia ardhi imekuwa biashara, unamsaada gani kwa serikali???? iweje mtu ajigawie au agawiwe kijanja viwanja zaidi ya 30 harafu aanze kuuza kwa bei ghali utazani aliipanda hiyo ardhi, je kwanini isiwe kama mtu anataka kuuza kiwanja arudishiwe hela yake/cost recovery + inflation kidogo na mtu mwingine achukue, au arejeshe kiwanja serikalini ili mtu mwingine agawiwe, hakuna biashara ya kununua viwanja kwa rushwa harafu mtu afanye ulanguzi kwa watz wenzake ni wizi huo. Nawasilisha kwa maoni yangu huyo ndo waziri zero kabisa ktk serikali hii. Mbaya zaidi anafuatiwa na Sophia, mbaya zaidi anakukuja hawa fujo, anafuatia mkangara. Ni aibu hawa wamama.

si mlidhani prof atawaletea maisha bora? Wasomi wa kibongo ni majanga tu bora kuongozwa na darasa la saba
 
"kwa sasa tunataka nchi yetu iwe na rais mwanamke si mmeona shughuli ya madam spika?" huyu ni zana ya urais{presidential material}
 
Hata maji marefu ni Profesa. Siungi mkono kumwita huyu mama majina uliyo mwita lakini nakuunga mkono kwamba hajafanya lolote.
Tulitegemea sifa zake alizoonesha kule UN kuwa angetuambukiza hata kidogo tu hapa TZ lakini inaonesha chini yake kulikuwa na genious flani hivi aliyekuwa anachapa hiyo kazi na yeye kuisaini tu.
Naamini hajawahi hata siku moja kutoa utaalamu wa makazi. Hajui maana ya makazi huyu mama tena hajawahi kuandaa makazi ya watu. Huyu ni Ki.la.za tuu.
Lakini ni nani katika serikali ya JK asiye na vituko? Labda Kawambwa na Muhongo. Tena hawa ni Madokta.
 
Kuna watu watakataa hili lakini ni kweli.

She failed as UN Habitat ED as much as her beloved sister did as Deputy-SG. He hired people who followed her a few months after she was shown the door. Wamekuwa ni aibu mbele ya macho ya kimataifa isipokuwa Daudi Mwakawago na Dr. Augustine Mahiga. Kuna sehemu kuwataja hao wamama wawili ni aibu fulani.
 
She has not delivered at all, sasa anakaa wizarani kufanya nini??? urembo tu?? atoke
 
I fail to understand when I see someone being called prof. while one cannot provide a solution to anything disturbing the community, prof of what then? watu wanaokariri/meza sana watatusumba hii nchi.
 
Back
Top Bottom